Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Usalama wa Taifa: Mpo likizo?

Status
Not open for further replies.
atrqwx.jpg

Kwanza nisaidie jambo moja.. ni nani "Minister responsible for Intelligence and Security"? wa Tanzania...
 
Kwanza nisaidie jambo moja.. ni nani "Minister responsible for Intelligence and Security"? wa Tanzania...

I have always thought wako chini ya Ofisi ya Rais, waziri wa ofisi ya rais whatever his name is ndio anaweza kuwa boss au wawe wameiamishia kwenye Usalama wa Raia.
 
I have always thought wako chini ya Ofisi ya Rais, waziri wa ofisi ya rais whatever his name is ndio anaweza kuwa boss au wawe wameiamishia kwenye Usalama wa Raia.

angalia msisitizo wa "intelligence and security"...
 
wakuu, kwa usiri wa serikali yetu, yawezekana hawakuwa watalii kama media ilivyoambiwa, yawezkana wanaangalia eneo ya kuweka mkambi wa jeshi
 
So hili lilianza kama ifuatavyo,

Katika Baadhi ya ziara ya Rais katika nchi mbali mbali alikuwa na lengo la kutangaza utalii. Katika ziara moja aliambatana na waziri wa Maliasili pamoja na maofisa kadhaa wa wizara kwa lengo la kutangaza utalii.

Siku moja ikulu wakaiandikia wizara kuwa kuna wageni wa ikulu ambao wangependa kufanya ziara ya kiutalii katika mbuga za wanyama ikiwa ni pamoja na kupiga picha. Haikujulikana kama hawa wageni walikuwa na ziara ya kikazi nchini Tanzania na hivyo kuamua kuunganisha na ziara ya kitalii baada ya kazi, au ilikuwa ni ziara rasmi ya kutalii. Pia haikujulikana mara moja uhusiano wa hawa wageni na ikulu. Lakini uchunguzi wangu unaonyesha walikuwa ni rafiki zake mheshimiwa ambao alikutana nao huko majuu katika ziara ya kutangaza utalii. Mheshimiwa alitoa ofa ya hawa wageni kuja Tanzania kama moja wapo ya kampeni za kutangaza utalii. ilisadikiwa baada ya ujio wa hawa wageni watalii zaidi kutoka nchi hizo wangeweza kuja. Inawezekana kabisa watu hawa walikuwa ni ujumbe wa baadhi ya kampuni huko kwao ambazo zinahusika na uuzaji wa safari za kitalii ambazo zilikutana na rais pamoja na ujumbe wake wakati wa mkakati huu wa kutangaza utalii, na hivyo kuamua kuja kupata na kujionea hali halisi ya vivutio kabla ya kuanza kuuza safari hizo huko kwao.

Basi baada ya ratiba ya wageni hao ambao walikuja kwa mwaliko wa Rais kumfikia Mama nyoni katibu mkuu wa wizara ya maliasili, mara moja alianza taratibu za kuandaa safari hiyo akishirikiana na idara ya utalii. Mama nyoni hakutaka kumlet down mheshimiwa (Si mnamju yule mama kwa kimbelembele na kujipendekeza) hivyo kukuru kakara za maandalizi zilianza kwa kishindo huku kila mkurugenzi akitakiwa kutoa shangingi moja kabambe kwa ajiri ya ugeni huo. Ikaundwa kamati ya muda kuratibu ziara hiyo. Awali ndege za idara ya wanyapori zilikuwa zitumike kuwapeleka watalii hao mbugani, hata hivyo ikaonekana kuwa hawatakuwa very flexible kama watatumia ndege. Hivyo mmoja wa wanakamati akapendekeza itumike helkopta. Baada ya majadiliano na kutokana na ukata uliokuwa unaikabiri wizara, ilionekana kuwa ni vyema wizara ikaomba helkopta kutoka jeshini. Mara moja mama nyoni akakubaliana na wazo hilo na kumuandikia katibu mkuu wizara ya ulinzi kutumia helkopta moja ya jeshi. Katibu mkuu hakuwa na hiana kwani serikali si hii hii moja hivy akaruhusu chopa itumike. Before kulikuwa na majadiliano kati ya jeshi na wizara ya maliasili na jeshi wali toa taarifa kuwa chopa iko safi na ingeweza kutumika bila wasi wasi. I ngawa wizara ilitakiwa kugharimia mafuta na mahitaji mengine.

Inawezekana approach au maamuzi yaliyofanywa hayakuwa sahihi, ila hakuna dalili yoyote ya kuwa na ufisadi katika hili jambo. Nia ilikuwa nzuri kabisa kabisa. Hata hivyo siwezi kuhakikisha kama hakukuwa na ufisadi.
 
Naomba mtu yeyote ambaye anajua katika mgawanyo wa mawaziri uliofanyika ni nani alipewa jukumu la kusimamia Idara ya Ujasusi (TISS)?

Wakati huo huo, napenda kuwakaribisha majasusi kadhaa ambao wameungana nasi hapa Marekani na Ulaya siku chache zilizopita wakiwa katika shughuli zao za kawaida.

Natumaini kuwa ziara yenu ya "utafiti" itaendelea vizuri na mtapewa ushirikiano mzuri toka Balozi zetu UK, Paris na DC na hiyo ya NY.

Mwanzoni ilitajwa kwamba mnakuja kwa sababu ya JF na wanachama wake waandamizi (kitu kilichotufanya wengine tuwe a "little it nerveous" lakini sasa ninafahamu mmekuja kwa shughuli gani na kwanini mnapenda kutembelea JF; Ni matumaini yangu kuwa lililowaleta mtalimiza mapema na ushirikiano wowote toka upande wangu nitawapatia.

Ila mkianza za kuleta msijikute mnarudi mikono mitupu baadaya kutumia fedha zetu kuja kutalii. Hata hivyo ushauri wangu (kama Mjapani aliyeletwa nchini hivi karibuni) ni kuwa stick to what you came here for.. iacheni JF alone we are already fighting enough mafisadi, hatutaki kuhangaika na nyinyi...

Ila mnaweza kusaidia kujibu swali hilo hapo juu, ni nani Waziri wenu?

Na mwisho, sijui kama ni kweli au uongo lakini inadaiwa mlipewa majina fulani fulani ya wanachama wa JF. Sasa msihangaike kuuliza uliza pembeni, nyie wa PM hapa hao watu na mjitambulishe na ombeni kuzungumza nao watawasaidia.. vinginevyo fanye lililowaleta!!
 
Naomba mtu yeyote ambaye anajua katika mgawanyo wa mawaziri uliofanyika ni nani alipewa jukumu la kusimamia Idara ya Ujasusi (TISS)?

Wakati huo huo, napenda kuwakaribisha majasusi kadhaa ambao wameungana nasi hapa Marekani na Ulaya siku chache zilizopita wakiwa katika shughuli zao za kawaida.

Natumaini kuwa ziara yenu ya "utafiti" itaendelea vizuri na mtapewa ushirikiano mzuri toka Balozi zetu UK, Paris na DC na hiyo ya NY.

Mwanzoni ilitajwa kwamba mnakuja kwa sababu ya JF na wanachama wake waandamizi (kitu kilichotufanya wengine tuwe a "little it nerveous" lakini sasa ninafahamu mmekuja kwa shughuli gani na kwanini mnapenda kutembelea JF; Ni matumaini yangu kuwa lililowaleta mtalimiza mapema na ushirikiano wowote toka upande wangu nitawapatia.

Ila mkianza za kuleta msijikute mnarudi mikono mitupu baadaya kutumia fedha zetu kuja kutalii. Hata hivyo ushauri wangu (kama Mjapani aliyeletwa nchini hivi karibuni) ni kuwa stick to what you came here for.. iacheni JF alone we are already fighting enough mafisadi, hatutaki kuhangaika na nyinyi...

Ila mnaweza kusaidia kujibu swali hilo hapo juu, ni nani Waziri wenu?

Na mwisho, sijui kama ni kweli au uongo lakini inadaiwa mlipewa majina fulani fulani ya wanachama wa JF. Sasa msihangaike kuuliza uliza pembeni, nyie wa PM hapa hao watu na mjitambulishe na ombeni kuzungumza nao watawasaidia.. vinginevyo fanye lililowaleta!!

Hay mambo haya kunauhusiano gani na mJapani?
 
Naomba mtu yeyote ambaye anajua katika mgawanyo wa mawaziri uliofanyika ni nani alipewa jukumu la kusimamia Idara ya Ujasusi (TISS)?

Wakati huo huo, napenda kuwakaribisha majasusi kadhaa ambao wameungana nasi hapa Marekani na Ulaya siku chache zilizopita wakiwa katika shughuli zao za kawaida.

Natumaini kuwa ziara yenu ya "utafiti" itaendelea vizuri na mtapewa ushirikiano mzuri toka Balozi zetu UK, Paris na DC na hiyo ya NY.

Mwanzoni ilitajwa kwamba mnakuja kwa sababu ya JF na wanachama wake waandamizi (kitu kilichotufanya wengine tuwe a "little it nerveous" lakini sasa ninafahamu mmekuja kwa shughuli gani na kwanini mnapenda kutembelea JF; Ni matumaini yangu kuwa lililowaleta mtalimiza mapema na ushirikiano wowote toka upande wangu nitawapatia.

Ila mkianza za kuleta msijikute mnarudi mikono mitupu baadaya kutumia fedha zetu kuja kutalii. Hata hivyo ushauri wangu (kama Mjapani aliyeletwa nchini hivi karibuni) ni kuwa stick to what you came here for.. iacheni JF alone we are already fighting enough mafisadi, hatutaki kuhangaika na nyinyi...

Ila mnaweza kusaidia kujibu swali hilo hapo juu, ni nani Waziri wenu?

Na mwisho, sijui kama ni kweli au uongo lakini inadaiwa mlipewa majina fulani fulani ya wanachama wa JF. Sasa msihangaike kuuliza uliza pembeni, nyie wa PM hapa hao watu na mjitambulishe na ombeni kuzungumza nao watawasaidia.. vinginevyo fanye lililowaleta!!

Mimi nimewasubiria siku nyingi sasa waje kuongea nami lakini naona wameishia kuongea na wrong people. Tatizo lao ni kuwa wanasoma too much kwenye kinachoandikwa hapa JF.
 
Mimi nimewasubiria siku nyingi sasa waje kuongea nami lakini naona wameishia kuongea na wrong people. Tatizo lao ni kuwa wanasoma too much kwenye kinachoandikwa hapa JF.

Wakiendelea kuongea na "wrong people" kuhusu JF tutawataja hadharani...
 
Kwanini unafikiria nazungumzia mambo ya Mjapani? Hivi unajua Waziri wa Intelligence ni nani?

mimi nadhani hawana wizara hawa jamaa ila watakuwa ofisi ya Rais. hata ajira zao huwa hazitangazwi, sijui wanaajiriwa vipi, na qualification zao ni zipi. swali la msingi kwanini wanaiwinda JF? kwani inahatarisha usalama wa taifa? kivipi? akina Mohamed Gire ndiyo walipaswa kuwindwa na hawa jamaa ili wasimwingize mkenge Rais kuingia mkataba bomu.
 
Hapana wanaye waziri.. na binafsi nahisi ni nani lakini nataka watu wajaribu kufikiri maana wakipata jibu la hilo wataelewa what happened kwenye suala la JF ..
 
Hii ofisi siyo kwamba ipo chini ya monitor wa mawaziri ( EL enzi hizo)?? Kwa maana hiyo braza pinda sasa ndio monitor mwenyewe na TISS iko chini yake.
 
Hii ofisi siyo kwamba ipo chini ya monitor wa mawaziri ( EL enzi hizo)?? Kwa maana hiyo braza pinda sasa ndio monitor mwenyewe na TISS iko chini yake.

Sidhani hivyo, lakini kuna mtu ameniambia kuwa ilikuwa chini ya Marmo na sasa hivi iko chini ya Batilda..
 
Mimi nawathubutisha waje wanitafute mimi Nyani Ngabu....kwikwikwiiiii

Yaani kwa akili zao wanakuja kiwanja kuchunguza watu wa jamboforums...hivi wanadhani wakimtafuta mtu aitwaye Mwafrika Wa Kike watampata...they have their work cut out for them
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom