Huyo aliyefanyia kazi info hizo kwa kunyima watumishi stahiki zao kwa miaka 6!?RAIS gan?? RAIS PEKEE aliyefanyia kazi infoo za Usalama ni JPM.
Waziri Mkuu Yuko wapi??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo aliyefanyia kazi info hizo kwa kunyima watumishi stahiki zao kwa miaka 6!?RAIS gan?? RAIS PEKEE aliyefanyia kazi infoo za Usalama ni JPM.
Waziri Mkuu Yuko wapi??.
Ni uzembe wa wakurugenzi wa halmashauri. Nadhani Mh Rais kama ana mkeka wa ma DED, DC Ndiyo wakati muafaka wa kuwapima, maana serikali ilishatuma hela zote kitambo ila hawa wakurugenzi wapo wapo tu na hizo hela watu mpaka wanafanya migomo ya kazi. Ila Mh. Rais ana kazi sana maana kila sehemu anahujumiwa kisa ni mpole.Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu.Ninaomba usalama wa Taifa kuanzia ngazi ya wilaya, mkoa na Taifa mpeni mhe Rais taarifa sahihi ili afanye maamuzi sahihi.Kama nyinyi mnampa taarifa sahihi ila yeye hachukui hatua? hilo ni swala jingine.
Kwenye hili swala la sensa na makazi ya mwaka 2022 sitaki kuamini kuwa nyinyi hamjui yanayoendelea ngazi za chini hasa taarifa za unyanyasaji unaofanywa na mamlaka za ngazi ya wilaya. Kwa mfano Kuna halmshauri za wilaya hazijalipa makarani na watu wote hadi Leo je Maafisa usalama wa wilaya na mkoa wamechukua hatua gani kuripoti kadhia hii kwa mamlaka husika ?? ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wahusika.
Serikali Inatumia mabilion ya fedha katika swala hili iweje mtu alihujumu zoezi kwa kutowalipa.
Kuanzia Jana makarani walipaswa wahudhurie mikutano kwa ajili ya kutoa elimu ya sensa 2022.Lakini baadhi ya wilaya hata vifaa hawajapewa.Narudia kutoa wito usalama wa Taifa msaidieni mhe Rais kwa kumpa taarifa sahihi ili kazi yake iwe nyepesi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TISS Kitengo cha Economic Intelligence kiko mahututi
Ianguke sabubu ya sensa? Itisha mkutano wa Katiba mpya ndio utajua kama watu wako kazini au la!NCHI HII ITAKUJA KUANGUKA KIZEMBE SANA.
Alifanyia zinazohusu uchaguzi na uhai wa ccm tu.Nope hakufanyia zote. Nyakat za baadae hakuwasikiliza sana.. ikapelekea kutokewa na yaliyo mtokea
Wewe mkuu umezeeka lini!?Vijana wa Bongo mnakwama wapi? Mnasubiri kufanyiwa kila kitu? Amkeni teteeni haki zenu. Viongozi wanajua uoga wenu ndiyo maana hawajali. Mnachonga vijago halafu vinawatisha?
Sipo kwenye hilo kundi linalosubiri kazi za muda za sensa.Wewe mkuu umezeeka lini!?
Umeandika madudu gan haya?? Huyu wenu na hizi elfu kumi kumi mlokesha mitandaoni mkilalamika ??Huyo aliyefanyia kazi info hizo kwa kunyima watumishi stahiki zao kwa miaka 6!?
Ukiwaeleza ukweli huu wanakua wakali, uzuzu,uoga,unafiki na middle class kujifanya wapo mbali na reality on the ground, working class ndio centre ya kuleta msukumo pamoja na wanafunzi, kwetu hapa kila siku kulalama na viajira uchwara hivi kwenye keyboard humu, kuna tatizo kwenye idara yako pigana, sio kukimbilia JFVijana wa Bongo mnakwama wapi? Mnasubiri kufanyiwa kila kitu? Amkeni teteeni haki zenu. Viongozi wanajua uoga wenu ndiyo maana hawajali. Mnachonga vijago halafu vinawatisha?
Nina mashaka na IQ za watumishi wa idara ya usalama wa Taifa wa Tanzania.Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ninaomba usalama wa Taifa kuanzia ngazi ya wilaya, mkoa na Taifa mpeni Rais taarifa sahihi ili afanye maamuzi sahihi.
Kama nyinyi mnampa taarifa sahihi ila yeye hachukui hatua? hilo ni swala jingine.
Kwenye hili swala la sensa na makazi ya mwaka 2022 sitaki kuamini kuwa nyinyi hamjui yanayoendelea ngazi za chini hasa taarifa za unyanyasaji unaofanywa na mamlaka za ngazi ya wilaya.
Kwa mfano Kuna halmshauri za wilaya hazijalipa makarani na watu wote hadi Leo je Maafisa usalama wa wilaya na mkoa wamechukua hatua gani kuripoti kadhia hii kwa mamlaka husika ?? ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wahusika.
Serikali Inatumia mabilion ya fedha katika swala hili iweje mtu alihujumu zoezi kwa kutowalipa.
Kuanzia Jana makarani walipaswa wahudhurie mikutano kwa ajili ya kutoa elimu ya sensa 2022.Lakini baadhi ya wilaya hata vifaa hawajapewa.
Narudia kutoa wito usalama wa Taifa msaidieni mhe Rais kwa kumpa taarifa sahihi ili kazi yake iwe nyepesi
RAIS gan?? RAIS PEKEE aliyefanyia kazi infoo za Usalama ni JPM.
Waziri Mkuu yuko wapi?
Nina mashaka na IQ za watumishi wa idara ya usalama wa Taifa wa Tanzania.
Pengine kigezo kikubwa cha kuwapata ni kadi ya CCM?.
Haiwezekani mtu anatoa rushwa ili apate ajira ya sensa,na nyie idara ya usalama wa Taifa mpo mpo tu.
You're useless.
Kwamba hata wewe unajua hayo madudu alafu yeye hajui ?!!!!
Sasa si bora tukupe hata wewe nchi....