Elections 2010 Usalama wa Taifa wakanusha tuhuma za Dr. Slaa

Status
Not open for further replies.
Naona wootee waliotajwa wanakimbilia kukanusha....wanaogopa vivuli vyao??? hawajui kuwa kila jambo lililotendeka sirini litadhihirika machoni kwa wote, na baadao, gachuma naye kaja juu kama moto wa kifuu
 
Source: Mimi mwenyewe
Nimeipenda hii nadhani itakuwa valid and reliable. Binafsi sishangai hao jamaa kupinga we unadhani wangeweza kusimama na kusema ni kweli? Watu wenyewe have scrupulous and dead consciences unategemea nini!
 
kwanza kabisa sina chama chochote cha siasa. pili nimekuwa nikihudhuria mahakami mara kwa mara sijawahi kusikia mtuhumiwa anakubali kuwa ametenda kosa. hivyo TISS hawana jipya. ukweli huwa unauma. wasingetokea hadharani kusema.
 

Malaria sugu in action
 
Mwizi akifanya uhalifu ni ngumu sana kukubali kosa hivyo si ajabu kuona hili.Watanzani tuamke sasa wakati wa mabadiliko ni huu.Serikali naidara zake zote zipo chini ya ccm toka tupate uhuru kilichobaki ni sisi kuamua kuleta mabadiliko ya kweli through peoples power.
 
nchi hii, Usalama wa Taifa wanasahau wajibu wao, wanasahau kazi iliyowaweka pale.
ni hawa usalama wa Taifa waliowaandama kina Slaa walipoamua kutaja mafisadi hadharani, mimi nawashangaa, Hivi ajira zao utolewaje, unaweza ukakuta ni genge la watoto wa kina Lowassa, Mkapa, Rostam na kina Karamagi
 
Sasa hapo wachunguze nini, kwani kuna maombi yeyote yalipelekwa usalama wa taifa kuomba kuchunguza.

Kuchunguza tuhuma ni mpaka wapelekewe maombi, are you serious? Wenzetu wako mbali hata wakisoma gazeti limetoa tuhuma wanafanya uchunguzi.
 
Kwa mara ya kwanza tangu uhuru, Usalama wa Taifa wameongea na vyombo vya habari. Acha watulie. Sauti ya Umma haiwezi kuzimwa na Usalama wa Taifa.
 
Kwa mara ya kwanza tangu uhuru, Usalama wa Taifa wameongea na vyombo vya habari. Acha watulie. Sauti ya Umma haiwezi kuzimwa na Usalama wa Taifa.

Ama kweli hadi JK aondoke madarakani, Taifa litakua nyang'anyang'a
amejizungushia kundi la wasanii na waleta mizaha katika Ofisi za umma, wewe ujiulizi kwanini Taarifa za siri zinamfikia Dr Slaa, ni kwakua Waadilifu hawakubaliani na utani wa wasanii hawa, Na bado mtajionea Mengi.
 

Mkuu kweli hawa jamaa wamebanwa mbavu maana ingekuwa uwongo wala wasingetoka kujibu, mambo mangapi ya uwongo huwa wanayapuuza?? sasa wameona wamewekwa uchi
 
anasema dr slaa alete USHAIDI KAMA TISS walitumika ktk uchakachuaji wa matokeo ya UCHAGUZI MKUU,

ushauri kwa jack zoa, we subiri kuumbuka, dr atakupa tu ushaidi unaoutaka
 
Hata epa mwanzoni watu walijidai leten ushahidi. ngoja aumbuke huyo ndo atakapomjua Dr wa ukweli ni nani
 
Ndio maana Dr alisema akiwa raisi hii UWT anaibadilisha kumbe alishaona ni wazushi tu
 
Ataupata tu ushaidi. Dr Slaa hababaishi bwn jack zoa.
 
Zoa alifikiria watu huwa wanazungumza ovyo kama CCM yake walivyo!? watu usawa huu wanakwenda kwa datas! Go Dr. go and fool the fools!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…