Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

View attachment 1371762

Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera

Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
Angalau ana uhakika wa utendaji kata. Mbowe hana uhakika na ubunge.
 
Ninathibitisha kuwa Mimi siyo Mtendaji Wilaya ya Ngara wala sina marufuku yoyote kwenye Uhuru wangu wa kisiasa.

Take it from me.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bali ni Mtendaji wa Kata gani , iliyo wilaya gani ? yanaweza kutokea kama yaliyompata Mkuu wa Mkoa wa Dodoma , wakati wa uteuzi alitajwa kuchukua Mkoa mwingine lakini baadaye ikabadilishwa na akahamishiwa Dodoma ili kubadilishana na DC wa Dodoma aliyepandishwa na kuwa RC.

Jambo kubwa ulilotuthibitishia hapa ni kwamba hujakanusha kuhusu wewe kuwa mtendaji wa kata .

Bali ukae ukifahamu kwamba laana ya usaliti itaendelea kukukomesha kwa kila hatua , Biblia inaitaja dhambi ya usaliti kukikumba hadi kizazi chako cha 4 , kama huamini muulize Askofu Gamanywa
 
Back
Top Bottom