Mkuu sijatetea usaliti wakeKwanini wabongo mnawaza kula tu ? hamuwazi uaminifu na heshima yenu kwa jamii ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sijatetea usaliti wakeKwanini wabongo mnawaza kula tu ? hamuwazi uaminifu na heshima yenu kwa jamii ?
Dah Yaani hata katibu kata mnapublicize utadhani ni mbunge au waziri duh...View attachment 1371762
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
Hata hivyo akili yako haiko vizuri na Mungu atakuangamiza siku moja! Huwezi kuwasaliti watu waliokupigania kwa ajili ya njaa!Ninathibitisha kuwa Mimi siyo Mtendaji Wilaya ya Ngara wala sina marufuku yoyote kwenye Uhuru wangu wa kisiasa.
Take it from me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa imekutafuna ubongo na ccm wamekutoa akili ulivyosasa hata msukule una afadhaliNinathibitisha kuwa Mimi siyo Mtendaji Wilaya ya Ngara wala sina marufuku yoyote kwenye Uhuru wangu wa kisiasa.
Take it from me.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alijijengea heshima kubwa sana kisha akaibomoa ndani ya sekunde mojaView attachment 1371762
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
5M! Nyingi sana. Za bure kabisaa...View attachment 1371762
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
Ccm walinunua umaarufu wake ili wamshushe chini asiwasumbue na sio yeye labda aingie kwenye kwaya ya kuabudu ili aonekane apate japo UDCHata hivyo akili yako haiko vizuri na Mungu atakuangamiza siku moja! Huwezi kuwasaliti watu waliokupigania kwa ajili ya njaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtendaji wa kata ni nafasi atakayoifanya mpaka atakapoamua yeye mwenyewe.
Ni nafasi ya kiutumishi, kuliko yale mambo ya siasa
Chapa kazi mkuu!Ninathibitisha kuwa Mimi siyo Mtendaji Wilaya ya Ngara wala sina marufuku yoyote kwenye Uhuru wangu wa kisiasa.
Take it from me.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asifu na kusujudu ili aonekane atapata ubunge safari hii majina ya wagombea yatatoka chato hakuna cha sijui halimashauri kuu,wagombea ubunge wote anzisheni na kanisa kabisa maana asiye na chapa atoruhusiwa kugombea
Uongo wako umethibitika, mtaishia kujenga viwanda vya uongo na kila siku vinaharibikaOhooooo !!!
Aiseee !!!Hasara ya usaliti,unatumika kama condom