Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Hatari sana... Wacha tuendelee kujifunza mkuu, maana Dunia inamengi tusiyo yajua au tunayoyaskia skia tu ila hatujawahi kupata watu wanao yajua kiundani wakapata kutufunulia ili tujue namna sahihi ya kukabiliana nayo.
Mimi najaribu kuwaeleza hapa......

Nishashauri watu kwenye case kama hizi so naelewa nacho type

Mtu anakuja anakwambia una sapoti ushoga

Mimi nawaambia mna marafiki zenu wengine washikaji kindaki ndaki ni mabasha, mashoga, wasenge smart sijui na watoto, wao lakini wanabisha
 
Kwenye upandikizaji ungeshea sema umetukatili 😝
 
Kama usaliti una gharama kiasi hiki basi nimeacha usaliti 😜🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
 
Sasa huyo babe wako anabond vipi na mtoto ambaye hana vinasaba naye??
 
Sasa kule polisi alisema mlikuwa wapenzi?
 
Hii sehemu ya mwisho ndo imenipa uhakika wa kuelewa kuwa watu wanasagana..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…