Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
- Thread starter
- #761
Shukrani dear, ushauri wa kupima akili ni mzuri kwa hakika tunaingia kwenye matatizo kwa kudate na vichaaSubhanallah! Mkasa wako unatetemesha, mie nawashauri tu sio michepuko hata watu mnaoingia nao kwenye mahusiano ni kumuomba sana Mungu au hata vipimo vya akili mfanye ikibidi, kuna movie yaitwa ACRIMONY itizame pia,
Pole dear.