Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

JamiiForums ifikie sehemu muwe mnaangalia na nyuzi za kuziacha ziende hewani, huu uzi naona unawatamanisha wale wanaoonekana na i'ds za kike kujaribu mapenzi ya jinsia moja.

Sioni kama kuna sababu yoyote ya kuacha Baadhi ya replies za members ziendelee kuwepo.

Jitahidi kufuta Baadhi ya replies zinatoa muongozo wa kujifunza mapenzi ya jinsia moja.
Jaman uende majukwaa mengine
 
Inaendelea, SEHEMU YA MWISHO
Siku iliyofata mimi, babe wangu na donor wetu, habari za kutafuta donor nilizileta humu, nilirushiwa mishale sana ila sikujali wala nini, baadae nikapata mtu muelewa, tukaenda hospital na kupata vipimo vyote, kuna ka mzunguko sio mchezo, hiyo siku tuliambiwa wote tuko fresh na tulifanya zoezi la upandikizaji, (sitaiongelea hii ng'o)
Tulisubiri hadi wiki nne nikapima ikawa imoo 🥳, kuna wengine hupima in two weeks ni wewe tu na uharaka wako,

Back to Lily, familia ilifata ushauri wakampeleka sober house mkoa flan bangi na pombe zilimuathiri waswahili tunasema vilimkataa, alikaa kwa miezi mingi, nakumbuka siku hiyo nipo job naendelea na majukumu yangu ikaingia namba ngeni kupokea ni yeye aisee nilihisi kuzimia, nikakata simu, akapiga tena sikupokea akaandika meseji ndeeeeefu ya kuomba msamaha na kudai amebadilika amekua mtu mwema, blah blah, sikumuamini tena nikablock ile namba nikatulia, akaendelea kupiga na kutuma meseji akisisitiza anahitaji msamaha wangu ili aishi kwa amani,
Nilivyorudi home nikamuonesha babe akasema mjibu kua umemsamehe ili abaki na amani zake asikusumbue, nikawaza sana nikaona fresh tu, nikamjibu kua nimemsamehe abaki na amani ila asinitafute tena na namba yangu aifute hadi akilini akajibu kwa kushukuru hakunitafuta tena,

Turudi nyuma nilivyopata ujauzito babe akasema sasa inatosha kazi za mbali, tumejitafuta tumejipata anahitaji kua karibu na familia yake, akamalizia mkataba wake hakuongeza tena akarudi nyumbani, alikuwepo siku tunampokea mtoto wenu duniani awww🥰

Lily alikuja kusikia nina mtoto akanitafuta bila kupokea simu zake siku hiyo akajitoa ufahamu na kuja tulipokua tunaishi akaambiwa tulishahama kitambo, akatuma meseji eti ana zawadi za mtoto atajisikia vizuri kama akimuona na kumpatia, wala sikumjibu, tangu hapo mpaka jana Lily hajawahi kuacha kunipigia simu nakutuma meseji anajua japo nimemblock lakini naziona huenda siku moja nitakuja kumjibu, uzuri kwenye makazi yetu ya sasa hapajui angekua kishafika,
Najua wengine mtasema why nisibadilishe namba ya simu, hii namba ni ya miaka mingi na ipo kwenye vitu vingi kuipoteza ni kuanza moja,

Siwezi kuusahau ule mwaka 2020, mwaka ambao nilikutana na psycho, laiti kama siku zingerudi nyuma kwa hakika ningerudi na kurekebisha hilo kosa, namshukuru Mungu kwa kunipa mtu muelewa kwenye maisha yangu, angeniacha pengine na mimi ningekua kama Lily🥺 (Lord forbid),

Funzo kwa wote mtulie kwenye mahusiano yenu, kuonja onja ndio hayo mnaonja na vyenye sumu,

Nawashukuru kwa muda wenu

MWISHO.
Asanteeee🧡🧡
 
Nyie kina Lamomy @ephen_na wengine, ambao kupitia id zenu tunawatambua kwa jinsi ke ( maybe otherwise ).... Mpo eagerly kujua Nini kinaendelea kwenye hii story na wakati huyu mhusika Dr. Mariposa ni upinde na amekiri kabisa kwenye comments huko juu..

Nisiongee mengii, ila kupitia huu Uzi nimejifunza nyie wanawake wa humu jf hasa ww ephen_ na wenzio mpo eagerly sana kujua Mambo ambayo yapo kinyume na jamii yetu, shida Nini??.....mnataka kujaribu au Nini??.....nilitegemea mada kama hizi mkemee na kukosoa ili kulinda jamii yetu ila ndio kama unaikoleza iendelee.....Nina mashaka na nyie inawezekana mnajuana nyingi na lengo lenu ni Moja....Mimi nakemea na ikiwezekana huu Uzi ufutwe ni kinyume na maadili yetu sisi watanzania Active Cookie
Wivu tu......
 
Wakuu kwanza leo ndio nimejua kua nimetimiza miaka 10 jamii forum, mnipigie makofi tafadhaliiii🥳🥳🤣
Okay, nashare na ninyi hadithi hii ya kweli iliyonitokea mimi mwenyewe, hua naumia sana kila nikiwaza kwa ujinga wangu nilivyohatarisha mahusiano yangu na kuharibu maisha ya huyu binti,

Mwaka 2020, nilienda kwenye semina ya vijana juu ya uelewa wa Afya ya Akili, kulikua kuna taasisi nyingi zilialikwa ikiwemo na sisi, basi muda wa kupata chakula cha mchana nikamuona binti mmoja mrembo amekaa meza ya peke yake anakula taratiibu, akilini nikahisi anajitenga kwa hiyo nilibeba chakula changu na kuwaacha wenzangu wanaelekea kukaa meza nyingine nikaenda kukaa na yule binti, nilimsamlimia na kumuuliza kama ninaweza kukaa akanikaribisha kwa tabasamu zuri, basi tukaanza kupiga story za hapa na pale hadi tulipomaliza kula tukaagana na kila mmoja akarejea alipokaa awali, kiukweli mimi sikumtilia maanani tena,
Semina ilivyoisha wakati najiandaa kuondoka yule binti akaja mbio na kuniomba namba ya simu, nilisita kidogo akadai ana shida ya ushauri basi nikampa chap nikaondoka,
Nilivyofika home mida ya saa moja jioni sms ikaingia muhusika akajitambulisha anaitwa LILY (sio jina halisi) tulikutana kwenye semina hapo ndipo mawasiliano yalipoanza rasmi,

Nitajaribu kuifupisha maana sina kipaji cha uandishi,
Mimi na Lily tukawa marafiki sana, mimi nilimchukulia kama mdogo wangu (alikua chuo mwaka wa pili) huku yeye akitengeneza hisia za mapenzi kwangu licha ya kujua nipo kwenye mahusiano,

Siku moja akanipigia simu niende kwake alikua anaumwa sana, nakumbuka jioni baada ya kumaliza kazi nikanunua matunda na mazaga mengine nikaenda kumuona mdogo wangu mgonjwa, ilikua mara ya kwanza kufika kwake, alikua amepanga chumba master na jiko, alifurahi sana kuniona kila mara alisema hakuamini kama ningeenda, nakumbuka alivyoifakamia chocolate niliyomletea, anapenda sana chocolate, nilikaa kama masaa mawili nikaaga, akaniomba aoge kisha anisindikize japo nje tu, nikasema poa, alipotoka kuoga dah! hata sielewi ilikuaje nikajikuta namsaliti babe wangu 😭😭 pia nikanasa kwenye mtego mbaya sana ambao unanitesa hadi leo, just one mistake 🙌🏻.......

Mnisamehe siwezi kuandika yote hapa itakua ndefu sana itawaboa.

Itaendelea
Isiendelee
 
FMF threesome, humo humo kunakua na scat (wote watatu mnajipaka nnya ya demu mmoja kati ya wawili waliopo), kunakua na anal, kunakua na rimjob, kunakua na ass to mouth (dushe linatoka kwenye tigo ya demu mmoja, linaingia kwenye mdomo wa demu mwingine) aaaii 😋 Mzee wa kupambania Mwachiluwi Poor Brain mzabzab
We kijana umegoma kabisa kutumia tafsida 😂😂
 
Mimi ndo maana huwaga na mashaka na wanaojiita ma bff wa kike, utakuta wadada wanapakatana, wanapigana mabusu ya mashavu, wanapigana vibao vya makalio, wanawekana profile na ku-postiana Whatsapp status almost kila wiki picha wakiwa vacation, haswa haswa hawa wadada wanaopostiana status, unakuta wadada wazuri haswa ila najiuliza hawana boyfriends wa kuwaweka status🤔 au kuna mambo mengine chini ya pazia. Halafu jamii kwa asilimia kubwa haiangalii hizo interaction kwa macho ya mashaka.

Tukichunguza vizuri unaeza kuta ishu ya usagaji huenda ikawa imeenea mno kuliko hata ushoga Dr. Mariposa MFALME WETU Lamomy Mzee wa kupambania
hii kitu imenikumbusha mbali kidogo

kuna kipindi nipo chuo nilikua namiliki bonge moja la pisi (chuo kizima hakukua na pisi yenye quality kufikia iyo pisi yangu kwa ule mwaka tuloripoti sisi kuanzia 1st - 3rd year) sasa bhana tulivoingia 2nd year kuna rafiki yake alimcheki iyo pisi yangu akawa anaomba kuna mgeni wake anakuja kuanza 1st year ampe hifadhi ndani ya siku kadhaa muda anafanya usajili then akishapata boom ataenda kutafuta room apange. huyo mgeni alivokuja mimi ndo nilienda kumpokea stendi maana aliwasili usiku wa manane, staki kumwelezea sana ila alikua kabarikiwa uzuri bhana (aliwahi kuwa miss mkoa X)

muda wote anakaa kwa huyo mpenzi wangu nilikua namnyemelea kiaina, nilikua naiba muda natoka nae out ile kishkaji ili mpenzi wangu asishtukie so kuna siku tupo tunapata moja baridi moja moto kumbe bia haziwezi alilewa sana akaanza kunikubatia mara kuniita majina ya mahaba na kunifanyia stuffs za ajabuajabu kibao uzalendo ukanishinda nikaamua kwenda kumaliza kazi kwangu then nikamrudisha kulala kwa huyo mpenzi wangu japo kishingo upande sana maana alinifungukia kunambia kuwa mpenzi wangu huwa anamlazimisha kufanya iyo michezo kila ifikapo usiku ambapo huyo mgeni alimkatalia kitu ambacho kiliwawekea bifu mpaka wakawa hawaongeleshani so ikanibidi nimwazime kiasi cha hela akapange ili boom likitoka anirudishie maana alnambia hawezi kuendelea kukaa pale ila baadae nilikuja kugundua intimacy baina yao haikuwa ya kawaida kwani walikuja kupatana sana na mara nyingi walikua wanatembeleana usiku endapo sipo around siku iyo.

sasa leo pia kuna ex wangu mwingine kanicheki anamuulizia huyo mpenzi wangu (sasaiv ni baby mama wangu) anadai kammiss na blaablaa kibao ilhali walishagazinguana kitambo na sababu ni iyoyo ya kusagana, it seems walisalitiana apo katikati mpaka ikapelekea kublockiana kila sehemu na kusemana vibaya kwa watu ikabidi nimjibu tu kuwa hata mimi sipo intact nae kwa muda sasa na namba zake sina nilishafuta. huyu sitaki kumwelezea sana maana iyo michezo kaanza tangu sekondari kulingana na nilivosimuliwa na rafiki yake aliekuwa mpenzi wangu

izo ni scenarios chache kati ya nyingi nilizokutana nazo enzi izo chuo, ila nilichokuja kugundua ni kuwa mahusiano ya hao lesbians ni yana very strong bond ambayo imejawa na wivu na maumivu makubwa sana endapo mmoja atakuwa heartbroken compared na bond iliyopo kati ya mwanaume na mwanamke na wahusika wakubwa ni hawa bff
 
Inaendelea, SEHEMU YA MWISHO
Siku iliyofata mimi, babe wangu na donor wetu, habari za kutafuta donor nilizileta humu, nilirushiwa mishale sana ila sikujali wala nini, baadae nikapata mtu muelewa, tukaenda hospital na kupata vipimo vyote, kuna ka mzunguko sio mchezo, hiyo siku tuliambiwa wote tuko fresh na tulifanya zoezi la upandikizaji, (sitaiongelea hii ng'o)
Tulisubiri hadi wiki nne nikapima ikawa imoo 🥳, kuna wengine hupima in two weeks ni wewe tu na uharaka wako,

Back to Lily, familia ilifata ushauri wakampeleka sober house mkoa flan bangi na pombe zilimuathiri waswahili tunasema vilimkataa, alikaa kwa miezi mingi, nakumbuka siku hiyo nipo job naendelea na majukumu yangu ikaingia namba ngeni kupokea ni yeye aisee nilihisi kuzimia, nikakata simu, akapiga tena sikupokea akaandika meseji ndeeeeefu ya kuomba msamaha na kudai amebadilika amekua mtu mwema, blah blah, sikumuamini tena nikablock ile namba nikatulia, akaendelea kupiga na kutuma meseji akisisitiza anahitaji msamaha wangu ili aishi kwa amani,
Nilivyorudi home nikamuonesha babe akasema mjibu kua umemsamehe ili abaki na amani zake asikusumbue, nikawaza sana nikaona fresh tu, nikamjibu kua nimemsamehe abaki na amani ila asinitafute tena na namba yangu aifute hadi akilini akajibu kwa kushukuru hakunitafuta tena,

Turudi nyuma nilivyopata ujauzito babe akasema sasa inatosha kazi za mbali, tumejitafuta tumejipata anahitaji kua karibu na familia yake, akamalizia mkataba wake hakuongeza tena akarudi nyumbani, alikuwepo siku tunampokea mtoto wenu duniani awww🥰

Lily alikuja kusikia nina mtoto akanitafuta bila kupokea simu zake siku hiyo akajitoa ufahamu na kuja tulipokua tunaishi akaambiwa tulishahama kitambo, akatuma meseji eti ana zawadi za mtoto atajisikia vizuri kama akimuona na kumpatia, wala sikumjibu, tangu hapo mpaka jana Lily hajawahi kuacha kunipigia simu nakutuma meseji anajua japo nimemblock lakini naziona huenda siku moja nitakuja kumjibu, uzuri kwenye makazi yetu ya sasa hapajui angekua kishafika,
Najua wengine mtasema why nisibadilishe namba ya simu, hii namba ni ya miaka mingi na ipo kwenye vitu vingi kuipoteza ni kuanza moja,

Siwezi kuusahau ule mwaka 2020, mwaka ambao nilikutana na psycho, laiti kama siku zingerudi nyuma kwa hakika ningerudi na kurekebisha hilo kosa, namshukuru Mungu kwa kunipa mtu muelewa kwenye maisha yangu, angeniacha pengine na mimi ningekua kama Lily🥺 (Lord forbid),

Funzo kwa wote mtulie kwenye mahusiano yenu, kuonja onja ndio hayo mnaonja na vyenye sumu,

Nawashukuru kwa muda wenu

MWISHO.
Huyu mtoto akikua na akakuuliza baba yake ni nani uta-handle vipi hilo ?

Au huyo huyo 'mwenzako' ndio utamtambulisha kama baba...
 
Weeh mbaba taratibu nilikosifia wapi?
Kwahiyo mimi ni mlinzi wa viharage vya watu??!! 🤣😹😹

Uzi ufutwe wako? Si utafute nyuzi zingine ukasome? 😹🤣
Una uhakika na unachoongea??...kama huSupport huo mchongo basi ww ni MNAFIKI namba Moja hapa Jf.....Kwenye comments unaonekana wazi unaunga mkono upinde....ila ukikoselewa unajitetee, tukuelewe vipi Sasa???,,, acha ufala sawa ww mjinga wa mwisho hapa Jf Lamomy
 
Una uhakika na unachoongea??...kama huSupport huo mchongo basi ww ni MNAFIKI namba Moja hapa Jf.....Kwenye comments unaonekana wazi unaunga mkono upinde....ila ukikoselewa unajitetee, tukuelewe vipi Sasa???,,, acha ufala sawa ww mjinga wa mwisho hapa Jf Lamomy
😹😹😹 Uko wapi nikutoe ugwadu mkuu

Nyege hizo ebu punguza ashuo mtoto wa kiume..!!
Yani umebinua kalio lako unatafuta comments zangu uone nachangia nini?? Seriously?! 😹🤣🤣
 
Ww na wenzio mna support ushoga alafu unajibu kifala kama hivyo.....ww na mwenzio Lamomy ni upinde.....kama nipo tofauti basi mnatamani kufanya huo mchezo kwa grade ya hali ya juu NIMEMALIZA!!!!!! Shubaamit!!!!!
Sasa hata nikitamani wewe unaumia nini??
Naazima kiharage chako mkuu 😹🤣🤣
 
Mnagasana alafu nisiwaonye, Mimi sio MNAFIKI sawa ww waambie wenzio huo ufala haufai na Mimi nitaukemea daima....kulinda vizazi vizavyo,, kama sio vyako basi vya wengine wasio na Jf sawa ww kima
We nae Mr maadili pita hivi nenda kule jukwaa la dini.

We nae Mr maadili pita hivi nenda kule jukwaa la dini.
 
Back
Top Bottom