Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Jaman uende majukwaa mengine
 
Asanteeee🧡🧡
 
Wivu tu......
 
Isiendelee
 
We kijana umegoma kabisa kutumia tafsida 😂😂
 
hii kitu imenikumbusha mbali kidogo

kuna kipindi nipo chuo nilikua namiliki bonge moja la pisi (chuo kizima hakukua na pisi yenye quality kufikia iyo pisi yangu kwa ule mwaka tuloripoti sisi kuanzia 1st - 3rd year) sasa bhana tulivoingia 2nd year kuna rafiki yake alimcheki iyo pisi yangu akawa anaomba kuna mgeni wake anakuja kuanza 1st year ampe hifadhi ndani ya siku kadhaa muda anafanya usajili then akishapata boom ataenda kutafuta room apange. huyo mgeni alivokuja mimi ndo nilienda kumpokea stendi maana aliwasili usiku wa manane, staki kumwelezea sana ila alikua kabarikiwa uzuri bhana (aliwahi kuwa miss mkoa X)

muda wote anakaa kwa huyo mpenzi wangu nilikua namnyemelea kiaina, nilikua naiba muda natoka nae out ile kishkaji ili mpenzi wangu asishtukie so kuna siku tupo tunapata moja baridi moja moto kumbe bia haziwezi alilewa sana akaanza kunikubatia mara kuniita majina ya mahaba na kunifanyia stuffs za ajabuajabu kibao uzalendo ukanishinda nikaamua kwenda kumaliza kazi kwangu then nikamrudisha kulala kwa huyo mpenzi wangu japo kishingo upande sana maana alinifungukia kunambia kuwa mpenzi wangu huwa anamlazimisha kufanya iyo michezo kila ifikapo usiku ambapo huyo mgeni alimkatalia kitu ambacho kiliwawekea bifu mpaka wakawa hawaongeleshani so ikanibidi nimwazime kiasi cha hela akapange ili boom likitoka anirudishie maana alnambia hawezi kuendelea kukaa pale ila baadae nilikuja kugundua intimacy baina yao haikuwa ya kawaida kwani walikuja kupatana sana na mara nyingi walikua wanatembeleana usiku endapo sipo around siku iyo.

sasa leo pia kuna ex wangu mwingine kanicheki anamuulizia huyo mpenzi wangu (sasaiv ni baby mama wangu) anadai kammiss na blaablaa kibao ilhali walishagazinguana kitambo na sababu ni iyoyo ya kusagana, it seems walisalitiana apo katikati mpaka ikapelekea kublockiana kila sehemu na kusemana vibaya kwa watu ikabidi nimjibu tu kuwa hata mimi sipo intact nae kwa muda sasa na namba zake sina nilishafuta. huyu sitaki kumwelezea sana maana iyo michezo kaanza tangu sekondari kulingana na nilivosimuliwa na rafiki yake aliekuwa mpenzi wangu

izo ni scenarios chache kati ya nyingi nilizokutana nazo enzi izo chuo, ila nilichokuja kugundua ni kuwa mahusiano ya hao lesbians ni yana very strong bond ambayo imejawa na wivu na maumivu makubwa sana endapo mmoja atakuwa heartbroken compared na bond iliyopo kati ya mwanaume na mwanamke na wahusika wakubwa ni hawa bff
 
Huyu mtoto akikua na akakuuliza baba yake ni nani uta-handle vipi hilo ?

Au huyo huyo 'mwenzako' ndio utamtambulisha kama baba...
 
Weeh mbaba taratibu nilikosifia wapi?
Kwahiyo mimi ni mlinzi wa viharage vya watu??!! 🤣😹😹

Uzi ufutwe wako? Si utafute nyuzi zingine ukasome? 😹🤣
Una uhakika na unachoongea??...kama huSupport huo mchongo basi ww ni MNAFIKI namba Moja hapa Jf.....Kwenye comments unaonekana wazi unaunga mkono upinde....ila ukikoselewa unajitetee, tukuelewe vipi Sasa???,,, acha ufala sawa ww mjinga wa mwisho hapa Jf Lamomy
 
😹😹😹 Uko wapi nikutoe ugwadu mkuu

Nyege hizo ebu punguza ashuo mtoto wa kiume..!!
Yani umebinua kalio lako unatafuta comments zangu uone nachangia nini?? Seriously?! 😹🤣🤣
 
Ww na wenzio mna support ushoga alafu unajibu kifala kama hivyo.....ww na mwenzio Lamomy ni upinde.....kama nipo tofauti basi mnatamani kufanya huo mchezo kwa grade ya hali ya juu NIMEMALIZA!!!!!! Shubaamit!!!!!
Sasa hata nikitamani wewe unaumia nini??
Naazima kiharage chako mkuu 😹🤣🤣
 
Mnagasana alafu nisiwaonye, Mimi sio MNAFIKI sawa ww waambie wenzio huo ufala haufai na Mimi nitaukemea daima....kulinda vizazi vizavyo,, kama sio vyako basi vya wengine wasio na Jf sawa ww kima
We nae Mr maadili pita hivi nenda kule jukwaa la dini.

We nae Mr maadili pita hivi nenda kule jukwaa la dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…