Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

😹😹😹 Uko wapi nikutoe ugwadu mkuu

Nyege hizo ebu punguza ashuo mtoto wa kiume..!!
Yani umebinua kalio lako unatafuta comments zangu uone nachangia nini?? Seriously?! 😹🤣🤣
Haya ni wazi umekiri ww ni Mmoja wa watu wa kupiga mawe mpaka kufa....huna thamani huna thamani yoyote kuishi haijalishi unaingiza shngpi hata iwe bilioni ngapi.....nipo na ww Sanaa labda waniBlock
 
Haya ni wazi umekiri ww ni Mmoja wa watu wa kupiga mawe mpaka kufa....huna thamani huna thamani yoyote kuishi haijalishi unaingiza shngpi hata iwe bilioni ngapi.....nipo na ww Sanaa labda waniBlock
😹😹😹
Njoo basi unipige had uniue sweety 😘💋

Hakuna wa kukublock wewe kiazi, sanasana unatupa burudani na migazeti yako..!!
 
Michache sana bado
 
Kha! Nyie kiboko...mie sijafikia huko kwa ATM
 
Wee itakuwa hukusoma ule uzi wa Dr wa kutafuta sperm donor. Alisema yeye ni Lesb, hapendi mahusiano na Me ila anatafuta a temporary suitable guy wa kumpa mimba pekee. Ikishaingia tu wasijuane tena, atalea mwenyewe mimba na mtoto
Aloo niliikosa hii nafasi na CV yangu iliyoshiba niliituma.
Hata sikua shortlisted, sijui Dr. Mariposa alikua na vigezo gani!!.

Na avatar ilikua ni hii hii yangu, sijui aliogopa labda akiwa na kama mm bichwa halitapita akiwa ajanifungua.
 
mkuu umekwenda chaka... ...

nature ipi inayo kubariki? na unayemshauri hivyo aoe tu .. ujuwe yeye ni ke! .. ..
 
Aloo niliikosa hii nafasi na CV yangu iliyoshiba niliituma.
Hata sikua shortlisted, sijui Dr. Mariposa alikua na vigezo gani!!.

Na avatar ilikua ni hii hii yangu, sijui aliogopa labda akiwa na kama mm bichwa halitapita akiwa ajanifungua.
Kwanza mbona sikukuona au ulikuja na ID nyengine?
Ila kile kipindi jamani nilipokea meseji hadi macho yakawa hayaoni na wengine wakawa wanalalamika siwajibu,
JF members nimewavulia kofia🙌🏻
 
Wasagaji ni wengi ila kuwajua huwezi kwa jinsi wanawake wote wanavyojibehave. Wote wanaitana majina ya mahaba, kupostiana kwa sana, kuwekana dp na mambo kibao.

Ila Me umuite mchizi mpenzi, my, dear kudadeki kwanza jamaa lazima akupigie kujua umepatwa na nini.
 
Sasa Unasema kuwa una mpenzi na hajawahi kukusaliti ila kwenye mimba nashangaa sana eti umeibeba wewe, wewe ni wa kike au wa kiume.

Hii imekaaje wakuu mbona sielewi? Mnisaidie hapo
Dr. Mariposa
Huyu ni demu mkuuu lakini ni lesbian anasagana hana hisia na wanaume kabisa ni kama lile lishangingi la chadema anaenyoa nywele

Hizo mbegu amepandikizwa tu ili apate mtoto yy na babe wake au sijui ndo mme wake (lesbian) ili waleee

In short mtoa mada ni lesbian anasagana hana hisia na wanaume kabisa


Haya sasa uache kuchanganyikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…