Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Kaka una hoja. Lakini usisahau masimulizi kama hivi yanalenga kutoa picha ya Nini kitatokea kama utafanya jambo fulani kwa walengwa.

Kazi inabaki kwa msomaji, achukukie stori kama darasa au kama burudani.
Mwandishi kongole.
 
Just simple like that? Vp kihusu mtoto hawajui?
Mtoto wanajua na process zote nilizofanya niliwashirikisha before na after,
Wanampenda mtoto hatarii kila mtu anamtaka aishi nae sio bibi na babu zake sio ankos na aunties zake,

Yes, simple like that may be we both lucky kua na familia zinazoheshimu maamuzi ya watoto wao.
 
You are indeed lucky, kama ni kweli! Mambo ya queer relationships ni taboo hasa kwa Africa. Mtakua mnaishi kizungu
 
Nakazia mkuu🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…