Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Subhanallah! Mkasa wako unatetemesha, mie nawashauri tu sio michepuko hata watu mnaoingia nao kwenye mahusiano ni kumuomba sana Mungu au hata vipimo vya akili mfanye ikibidi, kuna movie yaitwa ACRIMONY itizame pia,
Pole dear.
Shukrani dear, ushauri wa kupima akili ni mzuri kwa hakika tunaingia kwenye matatizo kwa kudate na vichaa
 

Una kanamba kake, nakaomba inbox
 
Mwanzo nilikuwa sielewi comment za watu kuhusu mambo ya upinde ila sehemu ya mwisho ya story ndio nimeelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…