Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Nawaahidi story itaisha chap, kwa kua sio ya kutunga basi tulieni wapenzi wangu sio tu muenjoy bali mjifunze pia
Should I call you mista? Dr. Mariposa
Screenshot_20241103-221007.jpg
 
Madam, it is true that we often differ from what we present online compared to our real lives. However, I believe that about 80% of what we display can still reflect our true selves.

The issue at hand is more emotional and spiritual. Matters that no one can truly hide. What you’ve written comes from your own pure desires, and I’m certain that this is what you are yearning for.

There are things we can pretend, but not something as fundamental as this.

Duuh!.
😁😁😁😁😁

Basi sawa you just talk its okei
 
Nataka niwasaidie wanaume wenzangu wakristo!

Mungu alituumba sisi Kwa asilimia kubwa kama polygamist na sio nucleated individual!

Utaoa wa kwanza baadae atakuja was pili na watatu na no Mungu ndio atakua amewaleta kwako sio tamaa tu!

Kama ni tamaa itaisha ghafla Wala haitakua endelevu lakini kama ni mapenzi yenye mwendelezo hayo ni mapenzi ya Mungu hayo unatakiwa uyakabili na kujua jinsi ya kuyaweka sawa!

Usikimbie mapenzi kisa eti unataka uwe mwaminifu Kwa mkeo !Bora umwambie unaoa tena na yeye atakua Bi mkubwa hasta kama kanisa halitaki kusikia nature itakusikia na kukubariki!!
Asante
 
Nyie kina Lamomy @ephen_na wengine, ambao kupitia id zenu tunawatambua kwa jinsi ke ( maybe otherwise ).... Mpo eagerly kujua Nini kinaendelea kwenye hii story na wakati huyu mhusika Dr. Mariposa ni upinde na amekiri kabisa kwenye comments huko juu..

Nisiongee mengii, ila kupitia huu Uzi nimejifunza nyie wanawake wa humu jf hasa ww ephen_ na wenzio mpo eagerly sana kujua Mambo ambayo yapo kinyume na jamii yetu, shida Nini??.....mnataka kujaribu au Nini??.....nilitegemea mada kama hizi mkemee na kukosoa ili kulinda jamii yetu ila ndio kama unaikoleza iendelee.....Nina mashaka na nyie inawezekana mnajuana nyingi na lengo lenu ni Moja....Mimi nakemea na ikiwezekana huu Uzi ufutwe ni kinyume na maadili yetu sisi watanzania Active Cookie
We nae Mr maadili pita hivi nenda kule jukwaa la dini.
 
Ndo maana sija like, sija comment

Anaamka mtu anakuja anasema ety mimi ni shoga ?

Huyo braza chogo Mimi sijawahi mpa userious kwenye hayo mambo yake na sijui kama anafanya au hafanyi

so mimi siungi mkono Ila akitaka nimshauri mtu yeyote nitafanya hivyo!

Napenda nione watu wanapona....

Afu kuwachukia hao wanaofanyiwa michezo sio suluhisho jaribu kutengeneza namna ya kuwa karibu ujue shida nini Mpe somo taratibu ana change

Shida ukiwa karibu nao unaonekana wewe ndo basha wake lakini wanahitaji kupona nakuambia ndg yangu wana msongo wa mawazo.... Kujihukumu plus ukute ni ana maambukizi yoyote ya fungus, ama STDI'S

kama una swali uliza pia mkuu
Watz hawatakuelewa, wao wanataka wauwawe, ukimpa panga aue hawezi, zaidi ya kubweka mtandaoni.
 
Back
Top Bottom