Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Usaliti ulivyogharimu maisha ya watu niliowapenda

Sina muda wa kutype mkuu, just listen but don't judge, kazi ya kuamua achia Mwenyezi Mungu.!! We're not perfect, doesn't matter umezaa/umezaliwa na msagaji au shoga.

Kaa kwa kutulia hii Dunia ina mengi
Kauli za mkosaji, 🤣
 
Dr. Mariposa mtoto wako 2050 hapo 🤣🤣


Screenshot_20250113-230327~2.png
 
Kwa kipindi cha miaka michache dunia imebadilika sana,
Wanawake wanawataka wanawake wenzao,na wanaume wanawataka wanaume wenzao,
Ndo Hali halisi japo hatuukubali uhalisia Ila dunia ipo kwenye nguvu kubwa ya ushoga huku wengine wakiwa chini ya miamvuli ili kulinda status zao lakn hamna kitu
 
Inaendelea, SEHEMU YA MWISHO
Siku iliyofata mimi, babe wangu na donor wetu, habari za kutafuta donor nilizileta humu, nilirushiwa mishale sana ila sikujali wala nini, baadae nikapata mtu muelewa, tukaenda hospital na kupata vipimo vyote, kuna ka mzunguko sio mchezo, hiyo siku tuliambiwa wote tuko fresh na tulifanya zoezi la upandikizaji, (sitaiongelea hii ng'o)
Tulisubiri hadi wiki nne nikapima ikawa imoo 🥳, kuna wengine hupima in two weeks ni wewe tu na uharaka wako,

Back to Lily, familia ilifata ushauri wakampeleka sober house mkoa flan bangi na pombe zilimuathiri waswahili tunasema vilimkataa, alikaa kwa miezi mingi, nakumbuka siku hiyo nipo job naendelea na majukumu yangu ikaingia namba ngeni kupokea ni yeye aisee nilihisi kuzimia, nikakata simu, akapiga tena sikupokea akaandika meseji ndeeeeefu ya kuomba msamaha na kudai amebadilika amekua mtu mwema, blah blah, sikumuamini tena nikablock ile namba nikatulia, akaendelea kupiga na kutuma meseji akisisitiza anahitaji msamaha wangu ili aishi kwa amani,
Nilivyorudi home nikamuonesha babe akasema mjibu kua umemsamehe ili abaki na amani zake asikusumbue, nikawaza sana nikaona fresh tu, nikamjibu kua nimemsamehe abaki na amani ila asinitafute tena na namba yangu aifute hadi akilini akajibu kwa kushukuru hakunitafuta tena,

Turudi nyuma nilivyopata ujauzito babe akasema sasa inatosha kazi za mbali, tumejitafuta tumejipata anahitaji kua karibu na familia yake, akamalizia mkataba wake hakuongeza tena akarudi nyumbani, alikuwepo siku tunampokea mtoto wenu duniani awww🥰

Lily alikuja kusikia nina mtoto akanitafuta bila kupokea simu zake siku hiyo akajitoa ufahamu na kuja tulipokua tunaishi akaambiwa tulishahama kitambo, akatuma meseji eti ana zawadi za mtoto atajisikia vizuri kama akimuona na kumpatia, wala sikumjibu, tangu hapo mpaka jana Lily hajawahi kuacha kunipigia simu nakutuma meseji anajua japo nimemblock lakini naziona huenda siku moja nitakuja kumjibu, uzuri kwenye makazi yetu ya sasa hapajui angekua kishafika,
Najua wengine mtasema why nisibadilishe namba ya simu, hii namba ni ya miaka mingi na ipo kwenye vitu vingi kuipoteza ni kuanza moja,

Siwezi kuusahau ule mwaka 2020, mwaka ambao nilikutana na psycho, laiti kama siku zingerudi nyuma kwa hakika ningerudi na kurekebisha hilo kosa, namshukuru Mungu kwa kunipa mtu muelewa kwenye maisha yangu, angeniacha pengine na mimi ningekua kama Lily🥺 (Lord forbid),

Funzo kwa wote mtulie kwenye mahusiano yenu, kuonja onja ndio hayo mnaonja na vyenye sumu,

Nawashukuru kwa muda wenu

MWISHO.
Nice story, ila you still have feelings for Lily, also just thinking, hivi mpk kufikia hapo it means familia zote kuanzia yenu na Lily wanajua it's a queer thing!
Mnaishije? Wanawachukuliaje na how do you cope with it? Maana mnakinzana na maadili na culture mnazoishi.
 
Mimi siwezi kukuchukia mzee..... Nimepitia manyanyaso maneno, na kuonekana mtu wa ajabu

Lakini nilisha samehe hayo mimi kwa sasa siwezi tafuta kuonewa huruma kwa mtu yeyote hapana!

Kuwa na amani mkuu......

Naunga mkono hoja zako.....
Nashukuru.
Hata mie sijafikia kwenye ass to mouth, nimeishia kwenye threesome, demu yupi wa kibongo atakubali umfanyie hivyo labda Utafte malaya, umlipe pesa ndefu, mmh au labda Utafte malesbian wenye fantasy hio.

Ila wazeiya unajua kuna wadada wanapenda kunyonya tigo za wanaume, kuna afisa utamu mmoja moshi mjini nilimlipa tsh elf 4 nimnyonye tigo tu kwa dakika chache bila ku sex nae, yeye akanipa ofa ya kuninyonya dushe mpaka nikojoe (bure), akaniuliza kama anaweza kuninyonya 0713 nikamkatalia. Ila nlim-time vizuri coz kwa kumuona tu nlijua yeye ni mgeni na ndo ilikuwa mara yake ya Kwanza kujiuza, Nika take advantage ya ugeni wake mzabzab Mzee wa kupambania
JF
 
Ni biological kwa baby daddy aliyetoa shahawa zake mkuuu

Ila huyo mtoto akikuwa atafaidi sana kama ni Me imagine ataweza kuwala hata threesome mama zake walezi 😊😁😁😁

Hii simulizi imenifanya nitengeneze sexual fantasy nzuri sana

Asante sana Dr. Mariposa
Kwa hii comment nimekuvua vyeo vyote,🚮
Hivi kwanini waswahili bado mna mawazo kua mtoto ni hadi awe damu yako, mfano wewe umrescue mtoto mchanga wa kike kwa namna yoyote ukamlea hadi akakua obviously atakuita baba je baadae utamuoa kisa tu sio damu yako?

Jitafakari
 
Nice story, ila you still have feelings for Lily, also just thinking, hivi mpk kufikia hapo it means familia zote kuanzia yenu na Lily wanajua it's a queer thing!
Mnaishije? Wanawachukuliaje na how do you cope with it? Maana mnakinzana na maadili na culture mnazoishi.
Nope sina feelings zozote kwa Lily, i feel sorry for her, nachukulia kama ni failure yangu, nilitakiwa nimponye lakini ameharibika kwenye mikono yangu mbaya zaidi ananilaumu mie,

Nitasema kuhusu family yangu na babe wangu wao hawana shida wamekubali kua ni marafiki wawili wanaoishi pamoja yaani hakuna mtu anayetufatilia kiukweli,
Upande wa family ya Lily siwezi kujua sababu naamini kama kujua walijua kipindi kile cha polisi au kama kuna story nyengine behind hapo sijui.
 
Martial status Yako kwanza IPO vipiii, umeolewa??, upo single , au umezalishwa na kuachwa ( single mother )???....kama ww kweli ni KE halisi basi ungekubali kwanini Mimi Metronidazole 400mg nachukia huu ufala ambao ww Lamomy na wajinga wenzio mnau support, Mimi Nina amini katika future ambayo Mimi na ww hatutakuwepo, km ww unajitahidi kwa kiwango chako kuiharibu Mimi siwezi kuku Support.....MWISHO SIWEZI KUCHANGIA ZAIDI hizi mada za kifala nyie endeleeni na nawatakia mafanikio mema ww Lamomy ephen_.
Sijaolewa, sijaachika, Sina boyfriend ila mume ninaye upo nyonyo?!! 😹
Nirudie? Yani ndoa sina ila mume ninaye na natamba naye we huogopi?? 🤣😹😹

Mada za kifalah huku unasoma na kudindisha baba muongo wewe 🤭😹

Nwei uko wapi sasa tuijenge hiyo future mahi isibomoke 😜
 
Back
Top Bottom