Usaliti unaofanywa kwa watu wa karibu

Usaliti unaofanywa kwa watu wa karibu

ndoa ndoano!msemelee kwa watu wa karibu,ukizubaa atakula mpk mama yako!h
 
Mambo ya kawaida kabisa hayo. Akae na mumewe wayaonhgee na wayamalize

Nyie ndio mnazaliwa na laana toka matumboni mwa mama zenu... na ndio maana tabia zenu kwenye ngono n sawa na wanyama!

hivi ni kawaida watu wa karibu hivi kubonyezana?
Siyo kawaida aisee! Ni wanyama tu ndio hufanya hivi

Hivi vitabia vimeanza kukua kwa kasi sana, sijui kwa nini. Mungu na atulinde na kutuepusha na hizi tabia za kishetani.

hii ni laana ya kuzaliwa nayo.

ndoa ndoano!msemelee kwa watu wa karibu,ukizubaa atakula mpk mama yako!h
Anaelekea huko aisee.Cha kufanya ni kuafanya ibada maalum ya kuvuja laana. Its spiritual....wanahitaji msaada wa ziada na siyo kushtaki kwa ndugu wa karibu
 
Habari za sunday wana mmu?
Ni hivi leo shemeji yangu yaani mke wa jamaangu kaja akilalamika kuwa mme wake katembea na mtoto wa kaka yake aliyekuja kuwatembelea baada ya kuhitimu kidato cha nne(huyo binti ni mtoto wa kakaake tumbo moja),
pamoja na hilo anadai kuwa aliwahi kutembea na binti mwingine anayemwita mama mdogo siku za nyuma japo alikuja gundua baadaye,
pia kuhusu mabeki tatu anadai kuwa yeye huwa anaweka vitoto vidogo ndio maana labda hajihusishi navyo,kiufupi huyo dada ni mzuri, mweupe mrefu mwembamba na analipa vzr na wote ni waajiriwa,
pia huyo jamaa yey ni kijana aliyeingia ktk ndoa akiwa na miaka 21,na ni kijana mwenye mvuto,mtaratibu ,anayejiendeleza kielimu na ni mpenda maendeleo,
sasa huyo dada anaomba ushauri kuhusu kuwaeleza ndugu zake juu ya tabia ya mme wake halafu ndio aachane na mme wake japo nnavyomuona hawezi kumuacha kwani anaonesha kumpenda na kumhitaji sana kwani wana mtoto mmoja mwenye miaka 5,
naomba mnisaidie namna ya kumshauri huyu dada leo jioni juu ya hilo tatizo lake pia hili jambo naona kwenye jamii zetu naona kama lipo sana.nawakaribisha.
Ahsanteni
Dada ajiangalie ana mapungufu gani ktk ndoa yake!Mabeki3 kuliwa iyo hpo ila watoto wa nduguzo ni laana zaidi.Kama dada ana tabia zisizompendeza mmewe abadilike na mmewe atatulia2
 
Dada ajiangalie ana mapungufu gani ktk ndoa yake!Mabeki3 kuliwa iyo hpo ila watoto wa nduguzo ni laana zaidi.Kama dada ana tabia zisizompendeza mmewe abadilike na mmewe atatulia2
MHH NA WEWE!
Ina maana hiyo ndo adhabu mwafaka?
oooovyoooo!
 
Dada ajiangalie ana mapungufu gani ktk ndoa yake!Mabeki3 kuliwa iyo hpo ila watoto wa nduguzo ni laana zaidi.Kama dada ana tabia zisizompendeza mmewe abadilike na mmewe atatulia2


nyie ndio mkiona hamridhishwi na wake zenu na mienendo yao,mnatafuta kugonga nje badala ya kutafuta suluhu...mkidhani mnawakomoa hao wake zenu,baadae familia nzima inaangamia kwa ujinga wenu.....
 
Japo si tabia nzuri suluhu ni kwamba wamalizane ki utu uzima tu.
 
naye ajilipe iwe ngoma droo, ila akisema kumuacha?! Ataenda kutana na wanaomuomba tigo

aisee kumbe una akili wewe. maana kuondoka haimaanishi anaenda kuolewa na mtu ambaye hana 'kitendea kazi', itakuwa ni kama unahamisha matatizo kuotka mkono wa kulia kwenda wa kushoto.
 
Habari za sunday wana mmu?
Ni hivi leo shemeji yangu yaani mke wa jamaangu kaja akilalamika kuwa mme wake katembea na mtoto wa kaka yake aliyekuja kuwatembelea baada ya kuhitimu kidato cha nne(huyo binti ni mtoto wa kakaake tumbo moja),
pamoja na hilo anadai kuwa aliwahi kutembea na binti mwingine anayemwita mama mdogo siku za nyuma japo alikuja gundua baadaye,
pia kuhusu mabeki tatu anadai kuwa yeye huwa anaweka vitoto vidogo ndio maana labda hajihusishi navyo,kiufupi huyo dada ni mzuri, mweupe mrefu mwembamba na analipa vzr na wote ni waajiriwa,
pia huyo jamaa yey ni kijana aliyeingia ktk ndoa akiwa na miaka 21,na ni kijana mwenye mvuto,mtaratibu ,anayejiendeleza kielimu na ni mpenda maendeleo,
sasa huyo dada anaomba ushauri kuhusu kuwaeleza ndugu zake juu ya tabia ya mme wake halafu ndio aachane na mme wake japo nnavyomuona hawezi kumuacha kwani anaonesha kumpenda na kumhitaji sana kwani wana mtoto mmoja mwenye miaka 5,
naomba mnisaidie namna ya kumshauri huyu dada leo jioni juu ya hilo tatizo lake pia hili jambo naona kwenye jamii zetu naona kama lipo sana.nawakaribisha.
Ahsanteni

isije ikawa ndo unausemea moyo wako mwenyewe indirectly madam!
 
mmmh huyo si mume!
hata mwanae wa kumzaa atamlamba tu!
 
KWANI UKISIKIA NDOA NGUMU MAANA YAKE NINI..? ni pamoja na hayo. avumilie tu wala asitake kuvunja ndoa, huyo jamaa yake ni beberu ( asumani samaki hapishi chambo, mambo valuvalu) atafute watu wenye busara na ambao wana kauli juu ya huyo mume wake awaeleze na wao wamuweke kitako jamaa, atapunguza ila si kuacha bado damu inamchemka, na huenda ikasaidia akawa na staha juu ya ndugu wa karibu. bila kusahau maradhi pia.
 
Back
Top Bottom