mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kwenye kampeni ya kuomba kuchaguliwa kuwa rais Zelensky alisema hivi:
“Our first priority is a ceasefire [in Kiev’s war with the Donbass]…I would not hesitate to lose my position for the sake of peace.”
Yaani "Kipaumbele chetu cha kwanza ni kusitisha vita (kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa majimbo ya Donbass yaliyojitenga). Sitajali kupoteza nafasi yangu kwa ajili ya kusaka amani"
Mara baada ya kuupata urais, Zelensky aliachana na ahadi yake na kuwasaliti watu wake watumike kutekeleza mpango wa Marekani kuidhoofisha Urusi!! Ili kufanikisha. lengo hilo Ukraine ilitiwa kiburi kuwa iendelee kuyashambulia majimbo yaliyojitenga kwa kuahidiwa kuingizwa NATO.
Ikadanganywa kwamba lazima itaogopa kupambana na NATO. Lakini Marekani ilijua kabisa kuwa Urusi haitaweza kuvumilia lazima itaingia vitani. Ndiyo lengo la Marekani, kupigana na Urusi kwa kutumia mikono na damu ya wa-ukraine. Zelensky kawasaliti watu wake!
A president elected on a promise to bring peace is offering his people as cannon fodder for external powers who are using them to fight a proxy war!
Marekani haikuweza kufikiria kuwa Urusi itaweza kuhimili kupigana vita huku ikikabiliwa na vikwazo lukuki vya kiuchumi!! Mpaka kufikia hapa Marekani inajua kabisa kuwa ilikosea mahesabu na mwisho wa siku watamgeuka Zelensky na kumfanya mbuzi wa kafara!!
“Our first priority is a ceasefire [in Kiev’s war with the Donbass]…I would not hesitate to lose my position for the sake of peace.”
Yaani "Kipaumbele chetu cha kwanza ni kusitisha vita (kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa majimbo ya Donbass yaliyojitenga). Sitajali kupoteza nafasi yangu kwa ajili ya kusaka amani"
Mara baada ya kuupata urais, Zelensky aliachana na ahadi yake na kuwasaliti watu wake watumike kutekeleza mpango wa Marekani kuidhoofisha Urusi!! Ili kufanikisha. lengo hilo Ukraine ilitiwa kiburi kuwa iendelee kuyashambulia majimbo yaliyojitenga kwa kuahidiwa kuingizwa NATO.
Ikadanganywa kwamba lazima itaogopa kupambana na NATO. Lakini Marekani ilijua kabisa kuwa Urusi haitaweza kuvumilia lazima itaingia vitani. Ndiyo lengo la Marekani, kupigana na Urusi kwa kutumia mikono na damu ya wa-ukraine. Zelensky kawasaliti watu wake!
A president elected on a promise to bring peace is offering his people as cannon fodder for external powers who are using them to fight a proxy war!
Marekani haikuweza kufikiria kuwa Urusi itaweza kuhimili kupigana vita huku ikikabiliwa na vikwazo lukuki vya kiuchumi!! Mpaka kufikia hapa Marekani inajua kabisa kuwa ilikosea mahesabu na mwisho wa siku watamgeuka Zelensky na kumfanya mbuzi wa kafara!!