Usaliti wa kisiasa: Ukraine wameuona zaidi kuliko pengine

Usaliti wa kisiasa: Ukraine wameuona zaidi kuliko pengine

Vita ya 2022? Huna habari na 2014? In any case, unatamani Rais wa Ukraine angesalimu amri mara baada ya uwanja wa ndege na air force ya Ukraine kubomolewa na ule msafara wa vifaru vya Warusi wa kilometer kadhaa kufika nje ya Kyiv 2022? Kisha Putin kutoa amri wajisalimishe kwa majeshi ya Urusi mara moja? Do you live in a dreamworld; sort of utopia?

Halafu, unadai Ukraine na Urusi ni nchi moja in the past? Unafahamu historia na demography ya nchi zote za Ulaya? Unafahamu demography ya USA? Tunajadili nini hapa? Hivi umewahi kusoma na kuelewa historia ya continental Europe? This is utter wastage of time!
Umemjibu vyema kabisa
 
amna cha time will tell kuanzia leo na kuendelea kaa ukijua hakutakuwa na nchi inaitwa ukarine tena inamegwa mdogo mdogo ....afu inakuwa sehehem ya urusi....sawa bwasheee..
Says someone akiwa kituo cha daladala huko Mbagala Kibondemaji akitafuna visheti na kashata za machicha ya nazi, huku akisubiri hiece imfikishe Zakeem ili aende kupanda magari ya Mkuranga. kununua nazi za kuuza gengeni kwake
 
Back
Top Bottom