Usaliti wenye ulazima

Hongera kwa kukatafuna endelea mpaka wife wako ajue ,halafu mwambie hako katoto wala hakajui kama wewe ndie mumewe kalikuwa kadogo sana.
Farra wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakiwepo wanawake kama wewe 1000. Tanzania itakuwa ya viwanda haswa. BIG UP.

Maendeleo hayana jinsia.
 
Hapo kwny kumsalimia kaka jafari , kama maisha yao yalikuwa ya kawaida basi alikuwa anataka kushow off kuonekana sasa hv ni maisha safi
 
Dah ***** piga mimba kabisa ako katoto dawa ya moto ni moto hapo hakuna ndoa bali mnaishi tu pamoja na hao watoto wapime DNA
 

Kila mtandao unafaida yake FB kwny kufanya biashara ni Rahisi sana ,alaf kiingne inategemea na matazamo wa mtu kwahyoo kama ww hauwez kutumia au haupendi funga bakuri lako
 
Dah mwamba nimekukubali. Ndioninavyotakiwa mzee baba wee ichakate hiyo papuchi mpaka mke aje ajue without a shadow of a doubt kuwa unasambua papuchi mbichi
 
kuna wifiake mmoja nilianza wasiliana naye sasaivi hajibu meseji wala nini ngoja niendelee tafuna mtoto wao wakijua maumivu yanatosha.
Sijasema utembee na ndugu za ex wake wote. Huyo mmoja anatosha lakini hakikisha mkeo anajua hilo. Na akishajua mwambie "hata fulani na fulani nao tayri" na umuambie siri chache unazojua alimwambia huyo dogo. Nakuhakikishia hata hautatumia nguvu kusema akate mawasiliano, na ikiwezekana mwambie kabisa kuwa hata mama wa ex anajua mahusiano yako na huyo dogo. Ilimradi tu uwachanganye halafu kaa pembeni uwaangalie wakitifuana wenyewe.
 
Daah hiyo ndoa yako ngumu.Vp kipindi upo nae ktk uchumba ashawahi kukuonyeshea hayo mapicha picha ya maex wake?
 
da mda mwingine pasts / kuchimba chimba na kufukua makaburi ya mwenza wako ni kujipa mastress . kuna mwamba anasisitiza tuoe mabikira kuepuka mambo kama hayo.
 
Ndicho kinachoenda kutokea
 
yupo mjini hapa hapa yupo NIT sijawahi ona wanawasiliana ila kupitia ndugu ni rahisi kunizunguka.
Kwanini msiachane tu kama hamuaminiani tabu yote ya nini?? Mi nakuona famba kweli ukute mwenzako hacheat sa jiandae na moto utakao fuata atakukata nyeti hizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…