Usanii wa Bongo kweli Usanii

officialBossmtoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
370
Reaction score
1,189
Saivi kama umekuja kuona wasanii wa bongo wanapenda kukaaa sana midomoni mwa watu kuliko kazi zao. Yaani wanafanya mambo wazungumziwe wao na sio kazi zao. Japo kuna namna inawasaidia ila kuna namna inawapoteza kwenye Ramani ya usanii na kuonekana kanjanja tu.





Hizo ni baadhi tu. Ila kilichonifurahisha kidogo ni hii style ya Diamond Platnumz ya kuja na ucomedian kwenye video zake [emoji1787]

Tulianza na Buti la jeje



Sasa ivi naona tumeletewa SURUWALI LA WAAAH

Hii kama zile PPE za madokta kujikinga na Korona ama white Trash Bags [emoji16]
 
hii sio ya zamani hii ni mpya kabisa, mabishoo wa siku hizi unaweza kaa nao maskani ukajikuta umedisa.../

mara vipensi mara vibukta vya kuchanika dunia imekwisha, mwanaume anatamanisha../
 
hii sio ya zamani hii ni mpya kabisa, mabishoo wa siku hizi unaweza kaa nao maskani ukajikuta umedisa.../

mara vipensi mara vibukta vya kuchanika dunia imekwisha, mwanaume anatamanisha../
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
hii sio ya zamani hii ni mpya kabisa, mabishoo wa siku hizi unaweza kaa nao maskani ukajikuta umedisa.../

mara vipensi mara vibukta vya kuchanika dunia imekwisha, mwanaume anatamanisha../
We ni fala jamaa angu
 
Wasanii wetu ni wasenge tu kama wasenge wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…