officialBossmtoto
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 370
- 1,189
Saivi kama umekuja kuona wasanii wa bongo wanapenda kukaaa sana midomoni mwa watu kuliko kazi zao. Yaani wanafanya mambo wazungumziwe wao na sio kazi zao. Japo kuna namna inawasaidia ila kuna namna inawapoteza kwenye Ramani ya usanii na kuonekana kanjanja tu.
Hizo ni baadhi tu. Ila kilichonifurahisha kidogo ni hii style ya Diamond Platnumz ya kuja na ucomedian kwenye video zake [emoji1787]
Tulianza na Buti la jeje
Sasa ivi naona tumeletewa SURUWALI LA WAAAH
Hii kama zile PPE za madokta kujikinga na Korona ama white Trash Bags [emoji16]
Hizo ni baadhi tu. Ila kilichonifurahisha kidogo ni hii style ya Diamond Platnumz ya kuja na ucomedian kwenye video zake [emoji1787]
Tulianza na Buti la jeje
Sasa ivi naona tumeletewa SURUWALI LA WAAAH
Hii kama zile PPE za madokta kujikinga na Korona ama white Trash Bags [emoji16]