Usanii wa Mwigulu Nchemba ni wa kitoto sana. Kwamba haya ndo Watanzania wanataka?

Usanii wa Mwigulu Nchemba ni wa kitoto sana. Kwamba haya ndo Watanzania wanataka?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
Screenshot_2024-11-26-06-21-46-812_com.whatsapp~2.jpg
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Kwamba yeye ni part of a common mam, tungelikuwa na rais wa maana, huyu unafukuza maana anawadanganya alioahidi kuwatumikia.
 
Huyo hana tofauti na wale mawaziri waliosema
  1. Kila mtu arauchukua mzigo wake mwenyewe
  2. Watanzania watakula hata nyasi ila ndege ya rais lazima inunuliwe
  3. Wasioweza kulipa nauli wapige mbizi
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Halafu watu wamejaa kwenye mlango kumshangilia😱😱
 
Huyu jamaa ni mbinafsi,kwenye jimbo lake ni km raisi anawasaidia sana watu wake,watu wengi sana toka mkoani kwao anawasaidia mno tena sana fanya tafiti vzr nje ya hapo hana habari nao ndio maana anakua kiburi kwakua akirudi jimboni hakuna wakumpinga
 
Huyu jamaa ni mbinafsi,kwenye jimbo lake ni km raisi anawasaidia sana watu wake,watu wengi sana toka mkoani kwao anawasaidia mno tena sana fanya tafiti vzr nje ya hapo hana habari nao ndio maana anakua kiburi kwakua akirudi jimboni hakuna wakumpinga
Kama anafanya haya kwenye jimbo lake basi HANA BAYA.
Wewe mlaumu mbunge wako kwa kula na kipofu huku anamshikashika mikono.
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Siasa ya Tanzania ni rahisi sana, hapo huko bila shaka wanamsifu jamaa mtu simple, mtu wa watu yani anajichanganya.
Watanzania wanyime maendeleo, kula pesa yao, fanya yote halafu siku moja moja nenda kakaae nao kijiweni, kunywa nao kahawa, pita sokoni beba watoto, kaa na mama ntilie wape mitaji ya buku 50,000 basi watakupenda na kusema wewe ni mtu wa watu kabisa. Pia usisahau kupanda daladala siku moja moja hata kama basi zima limejaa walinzi wako ili mradi upande daladala, au boda boda.
Yani hata kama hawana maji, hawana barabara, watoto wanakaa chini, watakuona wewe mtu wa maana sana.
Hebu mtazame, yani kahakikisha mpiga picha wake anapata picha nzuri ya kupost.
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Hana Akili huyo na anajisahau kudhan kila mtu ana Akili ndogo kama zake
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga..Analeta
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Analeta
usanii kwenye jumba la sanaa
 
tukiacha roho mbaya na choyo Mwigulu ni mzalendo na mchapa kazi
 
Back
Top Bottom