Usanii wa Mwigulu Nchemba ni wa kitoto sana. Kwamba haya ndo Watanzania wanataka?

Usanii wa Mwigulu Nchemba ni wa kitoto sana. Kwamba haya ndo Watanzania wanataka?

Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?
Mkuu Chizi Maarifa , mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!, huyu jamaa ni bonafide genuine down to earth, angalia tarehe ya bandiko hili Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze?
Kama hali inakuruhusu, you give out the best education kwa mtoto wako, kwa vile uwezo huo anao wa kumsomesha mtoto shule nzuri, then ni haki ya mtoto wake kusomeshwa shule nzuri. Na kwa watu wenye uwezo kusomesha watoto wao shule nzuri, usiposomesha shule nzuri, unapata dhambi!
Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?
Hapo ni yuko Singida kijijini kwao kabisa, akiwa Dar, ataendelea kunyoa BM Salaan.

P.
 
Mkuu Chizi Maarifa , mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!, huyu jamaa ni bonafide genuine down to earth, angalia tarehe ya bandiko hili Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Kama hali inakuruhusu, you give out the best education kwa mtoto wako, kwa vile uwezo huo anao wa kumsomesha mtoto shule nzuri, then ni haki ya mtoto wake kusomeshwa shule nzuri. Na kwa watu wenye uwezo kusomesha watoto wao shule nzuri, usiposomesha shule nzuri, unapata dhambi!

Hapo ni yuko Singida kijijini kwao kabisa, akiwa Dar, ataendelea kunyoa BM Salaan.

P.
Haujawahi kuacha kutetea msisyemu mwenzako hata kwenye mahovyohovyo.
 
Mkuu Chizi Maarifa , mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!, huyu jamaa ni bonafide genuine down to earth, angalia tarehe ya bandiko hili Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

Kama hali inakuruhusu, you give out the best education kwa mtoto wako, kwa vile uwezo huo anao wa kumsomesha mtoto shule nzuri, then ni haki ya mtoto wake kusomeshwa shule nzuri. Na kwa watu wenye uwezo kusomesha watoto wao shule nzuri, usiposomesha shule nzuri, unapata dhambi!

Hapo ni yuko Singida kijijini kwao kabisa, akiwa Dar, ataendelea kunyoa BM Salaan.

P.
Huyu ni msanii tu pascal. Huyu aliyesema kama watu hawataki tozo wahamie Burundi. Kuna jambo gani jipya amefanya wizarani ?zaidi ya kuwaongezea mzigo watanzania. Ana kiburi sana and dont ever mention that he is humble. Ana kauli nyingi za arrogance hasa kielimu na kudhani he is the master.
 
Wanasiasa wenyewe wanaita ‘charm offensive’, ila huyu jamaa mzushi sana.

Halafu kesho utamsikia anatukaripia twende Burundi kama atutaki tozo zake.
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Huyu fala ni mshamba sana
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Halafu unakuta kuna lijinga linaandika mama awabubujisha machiz wananchi Yani linaandika kama chiz fresh hivi
 
Watu wajinga ni mtaji wa wanasiasa...
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
Unataka ugomvi na mazwazwa (wazalendo).
 
Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida?

Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii anayopigia picha leo? Ni kweli miaka yote hii anakula kwa mama ntilie?then why apige picha?

Ni usanii wa kitoto, usio na tija. Na si jambo ambalo watanzania wanahitaji. Huyu alitumia msafara mkubwa kwenda wasilisha bajet ambao haukuwa na ulazima. Zilitumika kodi za Watanzania. Huyu amekosa ubunifu kwenye wizara anapandisha kodi na kuongeza tozo ambazo zinaenda kununulia magari yao.

Wananchi maskini wanaishi kimaskini na matajiri wanazidi kuwa matajiri. Yeye anakuja leta usanii? Ooooh Masharti ya Mganga.....
View attachment 3161798
huo ni uzalendo wa kiwango cha juu sana Dr Mwigulu ameonyesha, ili kuwaunga mkono vija kiuchumi kwenye uwekezaji wao.

well done ndugu waziri 💪👊
 
Back
Top Bottom