USD 1.30 billion zimetumika Kwa usiku Jana kuzuia makombora ya Iran

USD 1.30 billion zimetumika Kwa usiku Jana kuzuia makombora ya Iran

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia.
Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets zingine zikizuia makombora kutoka Yemen, Syria na Iraq.

Hizo ndege Zinatumia jet fuel Kwa kiwango kikubwa Sana huku zikirusha patriot za kuzuia makombora na kupiga drones, bila ya hizi ndege za F-35 leohii Israel ingekuwa majivu matupu maana iron Dome system ilizidiwa na mfululizo wa makombora ya Iran.

SAA 3 asubuhi ya Leo uingereza wamepekeka fighter jets za kutosha nchini Cyprus kwajil ya ulinzi, Kwa kifupi nahisi bado mapigano kati ya iran na Israel yataendelea maana na marekani nao wametuma mafuta mengi zaidi kwajili ya ndege zao za F-35
20240414_130811.jpg
 
Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia.
Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets zingine zikizuia makombora kutoka Yemen, Syria na Iraq.

Hizo ndege Zinatumia jet fuel Kwa kiwango kikubwa Sana huku zikirusha patriot za kuzuia makombora na kupiga drones, bila ya hizi ndege za F-35 leohii Israel ingekuwa majivu matupu maana iron Dome system ilizidiwa na mfululizo wa makombora ya Iran.

SAA 3 asubuhi ya Leo uingereza wamepekeka fighter jets za kutosha nchini Cyprus kwajil ya ulinzi, Kwa kifupi nahisi bado mapigano kati ya iran na Israel yataendelea maana na marekani nao wametuma mafuta mengi zaidi kwajili ya ndege zao za F-35View attachment 2963304
Mkuu wakati mwingine iteendeni jukwaa hili haki, kwa jinsi ulivyoandika hiyo USD 1.3Bilion iliyotumika inapatikana vipi? Ukiamua kuleta taarifa jaribu kuwa mkweli ili wengine waweze kuokoteza chochote.
 
Unasubiri kauli ya israel mkuu wao wameshasema wameyatungua 99.9% hila wamewakataza raia wao kurusha clip zilivyopga target jamaa waongo sana
Wameuliwa wayahudi wangapi na wairan?
 
Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia.
Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets zingine zikizuia makombora kutoka Yemen, Syria na Iraq.

Hizo ndege Zinatumia jet fuel Kwa kiwango kikubwa Sana huku zikirusha patriot za kuzuia makombora na kupiga drones, bila ya hizi ndege za F-35 leohii Israel ingekuwa majivu matupu maana iron Dome system ilizidiwa na mfululizo wa makombora ya Iran.

SAA 3 asubuhi ya Leo uingereza wamepekeka fighter jets za kutosha nchini Cyprus kwajil ya ulinzi, Kwa kifupi nahisi bado mapigano kati ya iran na Israel yataendelea maana na marekani nao wametuma mafuta mengi zaidi kwajili ya ndege zao za F-35View attachment 2963304
kama fighter jets hizi zinatungua makombora na kufanikiwa, kwenye kupiga itakuwaje sasa, si zitamchakaza kabisa iran?
 
Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia.
Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets zingine zikizuia makombora kutoka Yemen, Syria na Iraq.

Hizo ndege Zinatumia jet fuel Kwa kiwango kikubwa Sana huku zikirusha patriot za kuzuia makombora na kupiga drones, bila ya hizi ndege za F-35 leohii Israel ingekuwa majivu matupu maana iron Dome system ilizidiwa na mfululizo wa makombora ya Iran.

SAA 3 asubuhi ya Leo uingereza wamepekeka fighter jets za kutosha nchini Cyprus kwajil ya ulinzi, Kwa kifupi nahisi bado mapigano kati ya iran na Israel yataendelea maana na marekani nao wametuma mafuta mengi zaidi kwajili ya ndege zao za F-35View attachment 2963304
Ndio kazi ya pesa hio,ulitaka zitumike wapi sasa
Acha ziingie kwenye mzunguko
 
Kama mzuiaji katumia ela nyingi ivo mpigaji atakua katumia kiasi gani cha hela alafu wanaenda kuua mtu ambae hatumii ata dola 10 kwa siku kweli vita ni garama
 
Back
Top Bottom