USD 1.30 billion zimetumika Kwa usiku Jana kuzuia makombora ya Iran

Nyie watu mnajua akili zenu zipo kwenye makalio kama mud....kwahiyo aliyerusha hajapata hasara ila kapata hasara aliyezuia 🤣🤣
 
Kuna watu ni watoto wa yule baba wa uongo.
Wanapenda propaganda za baba yao wa uongo.
Video za moto wa nyikani huko Texax ndio zinatumika kuonyesha eti madhara ya makombora ya Iran. Hawa Wairan wa Buza ni vimeo kweli kweli.
Wamechanganyikiwa, walijua kuyasifu makombora ya Ayatollah Ila Jana tumeujua ukweli kama ni joka LA kibisa.
 
Unasubiri kauli ya israel mkuu wao wameshasema wameyatungua 99.9% hila wamewakataza raia wao kurusha clip zilivyopga target jamaa waongo sana
Dunia ya leo vichekesho aise. Watu wanakufa,wengine wanarekodi video tu.
 
Ninasubiria kuona malipizo ya 🇮🇱 yanakuwaje si ajabu ukasikia kombola limetua kwa yule gaidi mwandamizi ayatollah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…