Pre GE2025 Useful pointers to CHADEMA: Civil disobedience and passive resistance

Pre GE2025 Useful pointers to CHADEMA: Civil disobedience and passive resistance

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CHADEMA,

Kwa vile sasa mmeshakiri rasmi kwamba CCM wamewacheza [played you], hamna budi kujaribu mbinu nyinginezo katika harakati zenu za kuleta mabadiliko ya kisiasa.

Civil disobedience na passive resistance.

Hamasisheni watu waanze kugomea matendo ya serikali ya CCM.

Mifano:

1. Msishiriki kabisa chaguzi zozote zile zilizopangwa kufanyika chini ya mazingira yaliyopo hivi sasa. Wahamasisheni na watu waache kushiriki. Wahamasisheni waache kujiandikisha kupiga kura. Pia, vishawishini na vyama vingine vya upinzani visishiriki kabisa katika chaguzi zozote zile.

2. Washawishini wananchi waache kujitokeza kwenye sherehe zozote zile zilizoandaliwa na serikali.

3. Washawishini wananchi waache kujitokeza kwa wingi sehemu ambazo viongozi wa CCM wanakuwepo. Mfano, kama Rais ana ratiba ya kwenda kufungua mradi sehemu, wananchi wasiende. Wamwache rais na maCCM wenzake washiriki peke yao.

4. Natamani sana waajiriwa wote wa serikali kufanya migomo inayolenga kuipa shinikizo serikali ya CCM ili yapatikane mabadiliko ya kweli ya kisiasa.

Mbinu zingine mtachangia na wengine. Ila ni lazima ziwepo kwenye wigo wa civil disobedience na passive resistance.

Natambua kwamba kuyatimiza yote hayo si kazi rahisi, hususan kwenye hii jamii yetu ambayo imejaa uoga wa kupitiliza.

İli yote hayo yatimie, ni lazima wengi wetu tuwe on-code. Bila ya kuwa codified, hakuna kitakachotimia.

Kwa wale waliopo Marekani, nawatakia siku njema ya mapumziko ya sikukuu ya MLK Jr. hapo kesho Jumatatu tarehe 16.

Binafsi ninamkubali sana MLK Jr. He was super brilliant.

MLK day ndo imenipa hamasa ya kufungua mjadala huu kwa sababu Dr. King na wenzake walitumia hizo mbinu za civil disobedience na passive resistance katika kuishinikiza serikali ya Marekani kuufuta ubaguzi wa rangi wa kitaasisi [institutional racism].

Mwamko huo wa kuipa shinikizo serikali ya Marekani ulichochewa na mwanamama Rosa Parks ambaye siku moja anatoka kazini akiwa amechoka, alikataa kuachia siti yake kwenye basi ili kumpisha mzungu akae kama ambavyo sheria ilivyokuwa inasema.

Kukataa kwake huko ndo kukazaa Montgomery Bus Boycott iliyodumu kwa mwaka mzima. Mgomo huo pia ndo uliomweka Dr. King kwenye chati za uanaharakati na mengineyo yaliyobaki yakawa ni historia.

Mgomo huo pia ulipelekea mahakama ya upeo ya Marekani [US Supreme Court] kutoa uamuzi kuwa sheria za jimbo la Alabama na za mji wa Montgomery zilikuwa zinaenda kinyume na katiba ya nchi.

Pata picha endapo watu wanagoma kupanda ndege za ATCL. Wanagoma kupanda mwendokasi, n.k., mwisho wa siku serikali haitakuwa na jinsi zaidi ya kuwasikiliza watu kwa umaanani.

Najua kuandika tu na kutoa mawazo huku umekaa nyumbani kwenye kiti chako ni rahisi zaidi kuliko kutenda.

Lakini pia, hakuna tendo la kibinadamu linalotokea tu bila kuanza kama fikra kichwani.

Katika jitihada za kuleta mabadiliko nchini, ni lazima kujaribu mbinu mbalimbali.

Civil disobedience na passive resistance ni mbinu ambazo zimeleta mabadiliko sehemu nyingi tu hapa duniani.

Na kama huko kwingine mafanikio yalipatikana, basi naamini hata hapa Tanzania inawezekana pia.

CHADEMA, NCCR, and others, add this arrow in your quiver. It works.
Ushauri tu

Usibet kabisa kwa chadema…. Wana badilika mno kulingana na wallet

Unakumbuka 2015?
 
Ujinga ni mtaji wa wanasiasa Tanzania. Mtaji kwa watawala na hao wengine.

Tusingekuwa wajinga lowasa asingepewa kugombea urais chadema 2015, hakuwa na sifa za kuiwakilisha chadema.
Huwa nashangaa chadema kuona kwamba ujinga wa watanzania upo kwa wenye kushabikia ccm tu ila wao wana akili hawana ujinga wenye kutumika na viongozi wa chadema.

Hilo la Lowassa na Chadema ni mfano mzuri sana.
 
CHADEMA,

Kwa vile sasa mmeshakiri rasmi kwamba CCM wamewacheza [played you], hamna budi kujaribu mbinu nyinginezo katika harakati zenu za kuleta mabadiliko ya kisiasa.

Civil disobedience na passive resistance.

Hamasisheni watu waanze kugomea matendo ya serikali ya CCM.

Mifano:

1. Msishiriki kabisa chaguzi zozote zile zilizopangwa kufanyika chini ya mazingira yaliyopo hivi sasa. Wahamasisheni na watu waache kushiriki. Wahamasisheni waache kujiandikisha kupiga kura. Pia, vishawishini na vyama vingine vya upinzani visishiriki kabisa katika chaguzi zozote zile.

2. Washawishini wananchi waache kujitokeza kwenye sherehe zozote zile zilizoandaliwa na serikali.

3. Washawishini wananchi waache kujitokeza kwa wingi sehemu ambazo viongozi wa CCM wanakuwepo. Mfano, kama Rais ana ratiba ya kwenda kufungua mradi sehemu, wananchi wasiende. Wamwache rais na maCCM wenzake washiriki peke yao.

4. Natamani sana waajiriwa wote wa serikali kufanya migomo inayolenga kuipa shinikizo serikali ya CCM ili yapatikane mabadiliko ya kweli ya kisiasa.

Mbinu zingine mtachangia na wengine. Ila ni lazima ziwepo kwenye wigo wa civil disobedience na passive resistance.

Natambua kwamba kuyatimiza yote hayo si kazi rahisi, hususan kwenye hii jamii yetu ambayo imejaa uoga wa kupitiliza.

İli yote hayo yatimie, ni lazima wengi wetu tuwe on-code. Bila ya kuwa codified, hakuna kitakachotimia.

Kwa wale waliopo Marekani, nawatakia siku njema ya mapumziko ya sikukuu ya MLK Jr. hapo kesho Jumatatu tarehe 16.

Binafsi ninamkubali sana MLK Jr. He was super brilliant.

MLK day ndo imenipa hamasa ya kufungua mjadala huu kwa sababu Dr. King na wenzake walitumia hizo mbinu za civil disobedience na passive resistance katika kuishinikiza serikali ya Marekani kuufuta ubaguzi wa rangi wa kitaasisi [institutional racism].

Mwamko huo wa kuipa shinikizo serikali ya Marekani ulichochewa na mwanamama Rosa Parks ambaye siku moja anatoka kazini akiwa amechoka, alikataa kuachia siti yake kwenye basi ili kumpisha mzungu akae kama ambavyo sheria ilivyokuwa inasema.

Kukataa kwake huko ndo kukazaa Montgomery Bus Boycott iliyodumu kwa mwaka mzima. Mgomo huo pia ndo uliomweka Dr. King kwenye chati za uanaharakati na mengineyo yaliyobaki yakawa ni historia.

Mgomo huo pia ulipelekea mahakama ya upeo ya Marekani [US Supreme Court] kutoa uamuzi kuwa sheria za jimbo la Alabama na za mji wa Montgomery zilikuwa zinaenda kinyume na katiba ya nchi.

Pata picha endapo watu wanagoma kupanda ndege za ATCL. Wanagoma kupanda mwendokasi, n.k., mwisho wa siku serikali haitakuwa na jinsi zaidi ya kuwasikiliza watu kwa umaanani.

Najua kuandika tu na kutoa mawazo huku umekaa nyumbani kwenye kiti chako ni rahisi zaidi kuliko kutenda.

Lakini pia, hakuna tendo la kibinadamu linalotokea tu bila kuanza kama fikra kichwani.

Katika jitihada za kuleta mabadiliko nchini, ni lazima kujaribu mbinu mbalimbali.

Civil disobedience na passive resistance ni mbinu ambazo zimeleta mabadiliko sehemu nyingi tu hapa duniani.

Na kama huko kwingine mafanikio yalipatikana, basi naamini hata hapa Tanzania inawezekana pia.

CHADEMA, NCCR, and others, add this arrow in your quiver. It works.
Ni bahati mbaya sana kwamba hayo uliyoyasema hakuna linalowezekana wanaloweza kujaribu ni kususia uchaguzi lakini napo hawatofanikiwa vyama vingine vitashiriki na italeta mtafaruku na hatimaye kukigawa chama maana kuna wapenda madaraka hawatakubali kususia uchaguzi
 
Chini ya carpet, kugomea uchaguzi ni kuinua mapandikizi ndani ya chama kufanya Yao kama NCCR mageuzi.

Maandamano ndio njia sahihi kuhakikisha bila Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya, haufanyiki uchaguzi wowote.

TABIA za kususa tuwaachie wamama!!
 
Chini ya carpet, kugomea uchaguzi ni kuinua mapandikizi ndani ya chama kufanya Yao kama NCCR mageuzi.

Maandamano ndio njia sahihi kuhakikisha bila Tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya, haufanyiki uchaguzi wowote.

TABIA za kususa tuwaachie wamama!!
Tulio bongo tunajua… hayana impact
 
CHADEMA,

Kwa vile sasa mmeshakiri rasmi kwamba CCM wamewacheza [played you], hamna budi kujaribu mbinu nyinginezo katika harakati zenu za kuleta mabadiliko ya kisiasa.

Civil disobedience na passive resistance.

Hamasisheni watu waanze kugomea matendo ya serikali ya CCM.

Mifano:

1. Msishiriki kabisa chaguzi zozote zile zilizopangwa kufanyika chini ya mazingira yaliyopo hivi sasa. Wahamasisheni na watu waache kushiriki. Wahamasisheni waache kujiandikisha kupiga kura. Pia, vishawishini na vyama vingine vya upinzani visishiriki kabisa katika chaguzi zozote zile.

2. Washawishini wananchi waache kujitokeza kwenye sherehe zozote zile zilizoandaliwa na serikali.

3. Washawishini wananchi waache kujitokeza kwa wingi sehemu ambazo viongozi wa CCM wanakuwepo. Mfano, kama Rais ana ratiba ya kwenda kufungua mradi sehemu, wananchi wasiende. Wamwache rais na maCCM wenzake washiriki peke yao.

4. Natamani sana waajiriwa wote wa serikali kufanya migomo inayolenga kuipa shinikizo serikali ya CCM ili yapatikane mabadiliko ya kweli ya kisiasa.

Mbinu zingine mtachangia na wengine. Ila ni lazima ziwepo kwenye wigo wa civil disobedience na passive resistance.

Natambua kwamba kuyatimiza yote hayo si kazi rahisi, hususan kwenye hii jamii yetu ambayo imejaa uoga wa kupitiliza.

İli yote hayo yatimie, ni lazima wengi wetu tuwe on-code. Bila ya kuwa codified, hakuna kitakachotimia.

Kwa wale waliopo Marekani, nawatakia siku njema ya mapumziko ya sikukuu ya MLK Jr. hapo kesho Jumatatu tarehe 16.

Binafsi ninamkubali sana MLK Jr. He was super brilliant.

MLK day ndo imenipa hamasa ya kufungua mjadala huu kwa sababu Dr. King na wenzake walitumia hizo mbinu za civil disobedience na passive resistance katika kuishinikiza serikali ya Marekani kuufuta ubaguzi wa rangi wa kitaasisi [institutional racism].

Mwamko huo wa kuipa shinikizo serikali ya Marekani ulichochewa na mwanamama Rosa Parks ambaye siku moja anatoka kazini akiwa amechoka, alikataa kuachia siti yake kwenye basi ili kumpisha mzungu akae kama ambavyo sheria ilivyokuwa inasema.

Kukataa kwake huko ndo kukazaa Montgomery Bus Boycott iliyodumu kwa mwaka mzima. Mgomo huo pia ndo uliomweka Dr. King kwenye chati za uanaharakati na mengineyo yaliyobaki yakawa ni historia.

Mgomo huo pia ulipelekea mahakama ya upeo ya Marekani [US Supreme Court] kutoa uamuzi kuwa sheria za jimbo la Alabama na za mji wa Montgomery zilikuwa zinaenda kinyume na katiba ya nchi.

Pata picha endapo watu wanagoma kupanda ndege za ATCL. Wanagoma kupanda mwendokasi, n.k., mwisho wa siku serikali haitakuwa na jinsi zaidi ya kuwasikiliza watu kwa umaanani.

Najua kuandika tu na kutoa mawazo huku umekaa nyumbani kwenye kiti chako ni rahisi zaidi kuliko kutenda.

Lakini pia, hakuna tendo la kibinadamu linalotokea tu bila kuanza kama fikra kichwani.

Katika jitihada za kuleta mabadiliko nchini, ni lazima kujaribu mbinu mbalimbali.

Civil disobedience na passive resistance ni mbinu ambazo zimeleta mabadiliko sehemu nyingi tu hapa duniani.

Na kama huko kwingine mafanikio yalipatikana, basi naamini hata hapa Tanzania inawezekana pia.

CHADEMA, NCCR, and others, add this arrow in your quiver. It works.
Anaetoa huu ushauri yupo marekani anakula maisha sasa wewe mtumishi wa umma jichanganye
 
Anaetoa huu ushauri yupo marekani anakula maisha sasa wewe mtumishi wa umma jichanganye
So just because the principal place of abode of the person that gave the pointers is the US, therefore, those pointers proffered are, ipso facto, invalid?
 
Tukianza na kugomea chaguzi zote, itakuwa ni mwanzo mzuri sana.
Kugomea chaguzi mnawapa mteremko, usifikiri na wao watasusa hivyo vyeo 😀 😀 😀. Dawa ni kupiga kura na kuzilinda. Mnyika alitoa ushauri mzuri sana,inabidi kuanza na uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambapo kura zinahesabiwa hapo hapo kituoni!
 
1. Msishiriki kabisa chaguzi zozote zile zilizopangwa kufanyika chini ya mazingira yaliyopo hivi sasa. Wahamasisheni na watu waache kushiriki. Wahamasisheni waache kujiandikisha kupiga kura. Pia, vishawishini na vyama vingine vya upinzani visishiriki kabisa katika chaguzi zozote zile.
CHADEMA watawahamasisha vipi/kwa njia zipi wananchi ambao nimateka wakuu wa CCM? Uchaguzi wowote ambao hata watu milioni moja wakijitokeza kupiga kura, huo tayari ni ushindi kwa CCM.

Ninacho kubaliana na wewe ni kwa CHADEMA kuelimisha na kufanya kazi na wananchi wawe tayari kujitokeza kwa wingi wao wote kwenda kupiga kura; na baada ya kupiga kura, wananchi hao hao wahakikishe kura zao hazitachezewa na mtu yeyote, awe polisi, msimamia uchaguzi au mwingine yeyote.
Wananchi kila kituo cha kupigia kura wahakikishe kura sahihi zilizo pigwa ndizo matokeo yake yanatangazwa.

Ni wananchi pekee wanaoweza kulitekeleza hili wakiwa wameandaliwa vizuri na kuwa na elimu ya kutosha.

Kuharibu kura za wananchi kunakofanywa na serikali na CCM huo ni uhalifu. Kwa hiyo wananchi wakiongozwa na CHADEMA wawe tayari kuzuia uhalifu huu kwa gharama yoyote.
 
Kugomea chaguzi mnawapa mteremko, usifikiri na wao watasusa hivyo vyeo 😀 😀 😀. Dawa ni kupiga kura na kuzilinda. Mnyika alitoa ushauri mzuri sana,inabidi kuanza na uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambapo kura zinahesabiwa hapo hapo kituoni!
Hujawahi kumsoma 'Kalamu' kuhusu hili?

Hata hivyo, CHADEMA wamechelewa sana kuwaendea wananchi na kuwaandaa kwa kazi hiyo muhimu.
 
Ccm imeshakuwa mhimili wa 4 wa nchi, tena wenye mamlaka kuliko mihimili yote.

Katiba mpya pekee ndiye itakayoweza kusawazisha hilo.
Taratibu mkuu 'Proved'. Hivi huoni ulivyo jichanganya hapo? Hiyo Katiba itapatikana vipi kama hali ni kama hiyo uliyo ielezea!
 
Chadema wakisikia Tu neno RUZUKU mate yanawajaa mdomoni....COVID19 wamewatoa kamasi..
Njaa ni mbaya Sana?
 
Hili la kugomea chaguzi Chadema wanaflip-flop tu, mara waseme kwa katiba hii hawatoshiriki chaguzi , mara wageuke kuwa watashiriki hivyohivyo. Kiufupi maslahi binafsi yanawekwa mbele ya masilahi mapana ya nchi
 
Hili la kugomea chaguzi Chadema wanaflip-flop tu, mara waseme kwa katiba hii hawatoshiriki chaguzi , mara wageuke kuwa watashiriki hivyohivyo. Kiufupi maslahi binafsi yanawekwa mbele ya masilahi mapana ya nchi
Hapo ndo CHADEMA waliponipoteza kabisa.

Dawa migomo tu!

Wananchi wakigoma hata kwa siku tatu tu, CCM itanyooka na katiba mpya itapatikana.
 
Namba 2 na 3 tayari , wengine unaowaona ni Chawa au wale watu wa misiba wanaojiita Mama ongea na Mwanao
Huyo anaweza kuwa na mawazo ya namna hiyo akidhani anasaidia chochote, lakini sioni katika andiko lake lolote la maana sana mbali ya kusaidia tu hao wananchi kuhusu hizo namba 2 na tatu.

Ushauri wa "KUSUSIA UCHAGUZI", bila ya kuwa njia nyingine mbadala ya kuwaondoa CCM madarakani ni wenda wazimu ule ule wa siku zote.

CHADEMA walitakiwa wakati huu, Septemba 13, 2024 wawe wamefanya kazi kubwa zaidi na wananchi katika maandalizi ya chaguzi zinazofuata. Wananchi wawe tayari wanayo elimu ya kutosha, na wawe wanaielewa barabara mikakati ya kuhakikisha kura zao haziharibiwi kwa njia yoyote ile. Haya tulianza kuya shauri tokea miaka mitano iliyo pita.
 
Hili la kugomea chaguzi Chadema wanaflip-flop tu, mara waseme kwa katiba hii hawatoshiriki chaguzi , mara wageuke kuwa watashiriki hivyohivyo. Kiufupi maslahi binafsi yanawekwa mbele ya masilahi mapana ya nchi
Kwa hali ilivyo nchini kwa sasa hivi; CHADEMA wakidhamiria kufanya kazi na wananchi wenyewe kuhakikisha uhalifu unaofanywa na serikali na CCM nyakati za uchaguzi hautavumiliwa tena, ninaamini uchaguzi utafanyika na matokeo sahihi ya uchaguzi huo yatappatikana.

Kinacho takiwa sasa ni CHADEMA na wengine wote wanaoitakia mema nchi hii ni kuwaelimisha wananchi kuhusu 'sanctity' ya kurav zao; na kubuni mikakati sahihi ya kuhakikisha hali hiyo inakuwepo wakati wa uchaguzi.

CHADEMA walivurugwa hapo wakati wa "mazungumzo ya Maridhiano". Sasa wame tambua ulaghai ulio waingiza mkenge. Ni vyema basi, wajisahihishe na kuanza kazi ii ngumu mara moja bila kupoteza muda zaidi.
 
Back
Top Bottom