Ushabiki pembeni: Mayele hastahili kucheza soka barani Afrika, atafute mawakala wazuri wa kumvusha

Ushabiki pembeni: Mayele hastahili kucheza soka barani Afrika, atafute mawakala wazuri wa kumvusha

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Unazi pembeni!!!

Nikiwa kama mwana msimbazi nikiri tu kuwa mshambuliaji wa timu ya Taifa DRC, Fiston Kalala Mayele hastahili kucheza tena soka barani Afrika.

Nimeicheki game yao leo dhidi ya Gabon, jamaa amefunga goli safi sana na kwa kiwango chake, kama akipata mawakala wazuri basi tutegemee kumuona akisukuma kabumbu barani Ulaya.

Hongera Mayele kwa kuendelea kutetema ndani ya Jezi ya DRC. Umeiheshimisha NBC premier league. Umeiheshimisha Yanga.

NB
Eng. Hersi Said usimfanyie kauzibe huyu jamaa kama ulivyofanya kwa Fei Toto. Waache wachezaji wakatafute maisha mbele kwa mbele. Career ya wachezaji mpira ni fupi mno, wanapofikia kwenye peak waruhusu wakatafute changamoto mbele zaidi.
 
Unazi pembeni!!!

Nikiwa kama mwana msimbazi nikiri tu kuwa mshambuliaji wa timu ya Taifa DRC , Fiston Kalala Mayele hastahili kucheza tena soka barani Africa.

Nimeicheki game yao leo dhidi ya Gabon, jamaa amefunga goli safi sana na kwa kiwango chake kama akipata mawakala wazuri basi tutegemee kumuona akisukuma kabumbu barani Ulaya.

Hongera Mayele kwa kuendelea kutetema ndani ya Jezi ya DRC. Umeiheshimisha NBC premier league. Umeiheshimisha Yanga.

NB
Eng. Hersi Said usimfanyie kauzibe huyu jamaa kama ulivyofanya kwa Fei Toto. Waache wachezaji wakatafute maisha mbele kwa mbele. Career ya wachezaji mpira ni fupi mno, wanapofikia kwenye peak waruhusu wakatafute changamoto mbele zaidi.
Africa ya DRC kwao tu ananza benchi bado unataka akacheze bara gani? Yule wa kawaida ila kakuta Tanzania kuna viwango duni ndiyo mnamuona mchezaji. Mayele si lolote zaidi ya kuabudiwa Yanga.
 
Dah! Inauma kuacha ila naona hakuna namna, Thamani yake imepanda juu saaa
Kwenye nchi ya vipofu, mwenye jicho moja ndiyo mfalme. Tanzania ina vipofu watupu kwenye vipaji vya mpira.

Ila Mayele hana lolote, tutarudi hapa tena muache aondoke Yanga
 
Africa ya DRC kwao tu ananza benchi bado unataka akacheze bara gani? Yule wa kawaida ila kakuta Tanzania kuna viwango duni ndiyo mnamuona mchezaji. Mayele si lolote zaidi ya kuabudiwa Yanga.
Mayele na Samatta nani mkali
 
Kwenye nchi ya vipofu, mwenye jicho moja ndiyo mfalme. Tanzania ina vipofu watupu kwenye vipaji vya mpira.

Ila Mayele hana lolote, tutarudi hapa tena muache aondoke Yanga
Kikosi cha Gabon unakijua vizuri?
 
Ila mayelee kumpeleka ulayaa hapo uongo, suala dogo tyuuh aende hapo Al Ahly akaprove km kweli anamudu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila bao lake la leo zuri na la kiufundi mnoo.
 
Back
Top Bottom