Watu kwa kutunga mambo! Mayele ni timu gani kubwa inamuhitaji na kwa dau la sh ngapi?Mmoja kaitwa timu ya taifa na kafunga
Mwingine hajaitwa
Mmoja anawindwa na timu nyingi kwa dau kubwa
Mwingine hata tetesi hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kwa kutunga mambo! Mayele ni timu gani kubwa inamuhitaji na kwa dau la sh ngapi?Mmoja kaitwa timu ya taifa na kafunga
Mwingine hajaitwa
Mmoja anawindwa na timu nyingi kwa dau kubwa
Mwingine hata tetesi hakuna
Punguza makasiriko, sasa kama Samatta wanacheza ulaya Mayele ashindwe vipi?Africa ya DRC kwao tu ananza benchi bado unataka akacheze bara gani? Yule wa kawaida ila kakuta Tanzania kuna viwango duni ndiyo mnamuona mchezaji. Mayele si lolote zaidi ya kuabudiwa Yanga.
Mayele ana Jina kubwa CongoAfrica ya DRC kwao tu ananza benchi bado unataka akacheze bara gani? Yule wa kawaida ila kakuta Tanzania kuna viwango duni ndiyo mnamuona mchezaji. Mayele si lolote zaidi ya kuabudiwa Yanga.
Ila aliingia kipindi cha pili dakika ya 74 wakati huo DRC ikiongoza goli moja na yeye dakika ya 83 akafunga la pili! Kwenye first eleven huwa hayumo kila DRC wanapocheza!Unazi pembeni!!!
Nikiwa kama mwana msimbazi nikiri tu kuwa mshambuliaji wa timu ya Taifa DRC, Fiston Kalala Mayele hastahili kucheza tena soka barani Afrika.
Nimeicheki game yao leo dhidi ya Gabon, jamaa amefunga goli safi sana na kwa kiwango chake, kama akipata mawakala wazuri basi tutegemee kumuona akisukuma kabumbu barani Ulaya.
Hongera Mayele kwa kuendelea kutetema ndani ya Jezi ya DRC. Umeiheshimisha NBC premier league. Umeiheshimisha Yanga.
NB
Eng. Hersi Said usimfanyie kauzibe huyu jamaa kama ulivyofanya kwa Fei Toto. Waache wachezaji wakatafute maisha mbele kwa mbele. Career ya wachezaji mpira ni fupi mno, wanapofikia kwenye peak waruhusu wakatafute changamoto mbele zaidi.
Na hakufunga goli mechi aliyoanzaMatch iliyopita mbona alianza?
Tunarudi pale pale kwenye upumbavu wako
Al Ahly ina wachezaji nyota karibu wote lakini mbona hakuna hata mmoja anayewaniwa Ulaya. Ulaya si mchezo bwana mdogo!Mayele no.1 Africa tuache nongwa,Mi Simba tena nacheo Msimbazi kikubwa lakini namkubali.....Ulaya anajua fresh.
Ww Ni mjingaAfrica ya DRC kwao tu ananza benchi bado unataka akacheze bara gani? Yule wa kawaida ila kakuta Tanzania kuna viwango duni ndiyo mnamuona mchezaji. Mayele si lolote zaidi ya kuabudiwa Yanga.
Swali zuri nami nilitaka kuuliza ukiwa nao wawili kwenye team mfano Jana unaanza na nani!?Mayele na Samatta nani mkali
Kikubwa ni kwenda kucheza, sio kuwindwa. Kama ni kuwindwa, hata Yikpe aliwindwa na Yanga na uzuri zaidi akafanikisha dili. Mayele hata awindwe vipi, hatumuachii kamwe, iwe kwa kumuuza au kwa kuvunja mkatabaMmoja anawindwa na timu nyingi kwa dau kubwa
Aende sasa, maneno matupu hayasaidii. Samatta ana miaka kadhaa anacheza Ulaya, hakuwa na muda wa longolongoMayele no.1 Africa tuache nongwa,Mi Simba tena nacheo Msimbazi kikubwa lakini namkubali.....Ulaya anajua fresh.
Ameingia dakika ya 74, makasiriko yako wapi hapa?Acha makasiriko na roho mbaya uishi maisha marefu
Eti niache makasiriko? Halafu mwishoni mwenyewe unakubali kuwa Mayele ni kijeba !! Anyway Njombe kuna kitongoji kinaitwa Ulaya-si, labda akacheze hukoPunguza makasiriko, sasa kama Samatta wanacheza ulaya Mayele ashindwe vipi?
Yanga walitoka kina Shabani Nonda na akacheza Monaco na Uingereza ndio sembuse Mayele?
Labda uongee factor ya umri unaweza kuwa na hoja.
First eleven huwezi kuingia tu ghafla ila kadri performance inavyoongezeka ndiyo unaaminiwa zaidi.Usishangae mechi kadhaa zijazo akaanza kikosi cha kwanzaIla aliingia kipindi cha pili dakika ya 74 wakati huo DRC ikiongoza goli moja na yeye dakika ya 83 akafunga la pili! Kwenye first eleven huwa hayumo kila DRC wanapocheza!
Naunga mkono hoja, Mayele ni Osmehen mtupuUnazi pembeni!!!
Nikiwa kama mwana msimbazi nikiri tu kuwa mshambuliaji wa timu ya Taifa DRC, Fiston Kalala Mayele hastahili kucheza tena soka barani Afrika.
Nimeicheki game yao leo dhidi ya Gabon, jamaa amefunga goli safi sana na kwa kiwango chake, kama akipata mawakala wazuri basi tutegemee kumuona akisukuma kabumbu barani Ulaya.
Hongera Mayele kwa kuendelea kutetema ndani ya Jezi ya DRC. Umeiheshimisha NBC premier league. Umeiheshimisha Yanga.
NB
Eng. Hersi Said usimfanyie kauzibe huyu jamaa kama ulivyofanya kwa Fei Toto. Waache wachezaji wakatafute maisha mbele kwa mbele. Career ya wachezaji mpira ni fupi mno, wanapofikia kwenye peak waruhusu wakatafute changamoto mbele zaidi.