ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kazi ya shemeji yako hio anaweza join nae jikoni ukakate vitunguu na nyanyaHuo mkono si bora ungeutumia kuunga mboga
sisi wana simba tuliridhika sana na robo fainali ona sasa yanga naona kabisa wanaenda kufanya makubwa zaidi ya hapo dahhh... INAUMIZA SANA JAMANI,INAUMIZAAAATimu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.
Binadamu tumeumbwa kusahau na sifa ya wanamichezo wa Tanzania ni unafikiYani umesha admit kuwa Tp Mazembe ni wabovu still unawapa hope ya kufika mbali, means wawe na muendelezo wa kukutana na wabovu wa namna hiyo
Sisi wengine tulisha tabiri uwezekano wa Uto kupata pointi 3 huko Kongo, wala sio jambo la kustua kuona wameshinda
Uto haijakutana na upinzani mkubwa wa kutisha mpaka uanze kuwa picture katika level za juu wakati washindani wake wote almost ni weak.
Simba amepita kwenye mabonde na majabali amejitengenezea ufalme wake kwa kupambana na miamba mikubwa, Simba ni role model wa Uto.
Uto kila akifikiria mafanikio makubwa kimataifa basi sehemu ya kwanza kutazamia ni kumuangalia Simba anafanyaje fanyaje mpaka inawezekana.
Makolo mbwa tuUtopolo TAKATAKA tu
That was me kabla sijaona kikosi na performance ya Tp MazembeBinadamu tumeumbwa kusahau na sifa ya wanamichezo wa Tanzania ni unafikiView attachment 2574330View attachment 2574333View attachment 2574334
maisha bila unafki hayaendi.Binadamu tumeumbwa kusahau na sifa ya wanamichezo wa Tanzania ni unafikiView attachment 2574330View attachment 2574333View attachment 2574334
Hayo yote uliyoonesha hapa ni baada ya TP Mazembe kufungwa na Yanga. Ungekuwa unajua mpira ungesema kabla ya Yanga hajacheza na TP Mazembe au baada ya TP Mazembe kumfunga Real Bamsko ungeyaandika hayo ungeonekana unajua kuchambua. Shida ya mashabiki wa Simba ni kuamini kuwa timu yoyote inayofungwa na yanga ni mbovuThat was me kabla sijaona kikosi na performance ya Tp Mazembe
Hapo nilikiwa naikadiroa kwa makali yake ya kipindi kile ipo on peak.
Sasa angalia hizi screenshots baada ya kuona kiwango chake
Hapa nilikuwa kwenye mabishano na wewe ambaye kwa wakati huo ulikuwa unaitetea Tp Mazembe ionekane mmeifunga timu ngumu.
View attachment 2574341
Hapa nilitabiri ushindi wa Yanga kabla mechi haijaanza, na ndio maana kwa chini u aona kuna comment ya shabiki wa Uto akiomba dua mechi isiishe kwa sareView attachment 2574343
Hapa chini nilii underrate Tp Mazembe kutokana na poor performance
View attachment 2574346
Hapa nilikuwa natoa maoni kuhusu mechi ya Monastir na Tp Mazembe na kuonesha ninsi gani Tp Mazembe ni wabovuView attachment 2574348
Na hapa chini ndio niliweka prediction yangu kwenye mechi yenu ya leo
View attachment 2574349
Naamini hizo screenshots uliziona ila kwakua hazikuwa zina feed ego yako ukaamua uzipotezee.
Hoja ya msingi bado iko palepale kuwa Tp Mazembe ni Zalan wa kikongo tu
Sio baada ya kufungwa na YangaHayo yote uliyoonesha hapa ni baada ya TP Mazembe kufungwa na Yanga. Ungekuwa unajua mpira ungesema kabla ya Yanga hajacheza na TP Mazembe au baada ya TP Mazembe kumfunga Real Bamsko ungeyaandika hayo ungeonekana unajua kuchambua. Shida ya mashabiki wa Simba ni kuamini kuwa timu yoyote inayofungwa na yanga ni mbovu
Angalau kidogo we kolo Leo umeongeo pwentiKwa mwaka huu yanga kule shirikisho team ya kuiogopa ni pyramids tyuuh. Wale wengine akichanga karata vizuri anafika final km sio kuchukua kombe kabisaa.
Mwaka huu team za shirikisho sio za kutisha wala nn.
Mbona tayari kuna timu imedhawahi kuleta kombe la robo fainali mara mbili. Yanga haiwezi kuwa ya kwanza bhana.Yanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuleta kombe la Africa.
Kwa hiyo unataka kusema simba itavuka hatua ya robo fainali!Kwa hiyo vile mnawaza vichwani mwenu mnaamini itakuwa hivyo hivyo. Kwamba Simba itaishia robo halafu uto itafika final. Yaani mnaiuchukulia football kama netball.
Hata kama yanga wakifika fainali kwenye hilo kombe la losers bado itakuwa haijafikia mafanikio ya Simba!! Wakitaka kufikia na kuvuka mafanikio ya Simba basi itawabidi wafike nusu fainali au fainali ya caf champions league!! Kumsukuma mlevi mzembe tena mweleka mmoja to kwa dk90 siyo mafanikio ya kujivunia!! Ajisifu huko huko kwa losers wenzake!!Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.
Kwano na nyie utopolo mnashiriki supa kapu. Mashindano makubwa kuliko ukubwa wa bara la afrika?Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.