Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
sisi wana simba tuliridhika sana na robo fainali ona sasa yanga naona kabisa wanaenda kufanya makubwa zaidi ya hapo dahhh... INAUMIZA SANA JAMANI,INAUMIZAAAA
 
Yani umesha admit kuwa Tp Mazembe ni wabovu still unawapa hope ya kufika mbali, means wawe na muendelezo wa kukutana na wabovu wa namna hiyo

Sisi wengine tulisha tabiri uwezekano wa Uto kupata pointi 3 huko Kongo, wala sio jambo la kustua kuona wameshinda

Uto haijakutana na upinzani mkubwa wa kutisha mpaka uanze kuwa picture katika level za juu wakati washindani wake wote almost ni weak.

Simba amepita kwenye mabonde na majabali amejitengenezea ufalme wake kwa kupambana na miamba mikubwa, Simba ni role model wa Uto.

Uto kila akifikiria mafanikio makubwa kimataifa basi sehemu ya kwanza kutazamia ni kumuangalia Simba anafanyaje fanyaje mpaka inawezekana.
Binadamu tumeumbwa kusahau na sifa ya wanamichezo wa Tanzania ni unafiki
IMG_20230402_204348.jpg
IMG_20230402_204228.jpg
IMG_20230402_204051.jpg
 
Binadamu tumeumbwa kusahau na sifa ya wanamichezo wa Tanzania ni unafikiView attachment 2574330View attachment 2574333View attachment 2574334
That was me kabla sijaona kikosi na performance ya Tp Mazembe

Hapo nilikiwa naikadiroa kwa makali yake ya kipindi kile ipo on peak.

Sasa angalia hizi screenshots baada ya kuona kiwango chake

Hapa nilikuwa kwenye mabishano na wewe ambaye kwa wakati huo ulikuwa unaitetea Tp Mazembe ionekane mmeifunga timu ngumu.

Screenshot_20230402-205534.png


Hapa nilitabiri ushindi wa Yanga kabla mechi haijaanza, na ndio maana kwa chini u aona kuna comment ya shabiki wa Uto akiomba dua mechi isiishe kwa sare
Screenshot_20230402-205428.png


Hapa chini nilii underrate Tp Mazembe kutokana na poor performance
Screenshot_20230402-205350.png


Hapa nilikuwa natoa maoni kuhusu mechi ya Monastir na Tp Mazembe na kuonesha ninsi gani Tp Mazembe ni wabovu
Screenshot_20230402-205325.png


Na hapa chini ndio niliweka prediction yangu kwenye mechi yenu ya leo

Screenshot_20230402-210614.png

Naamini hizo screenshots uliziona ila kwakua hazikuwa zina feed ego yako ukaamua uzipotezee.

Hoja ya msingi bado iko palepale kuwa Tp Mazembe ni Zalan wa kikongo tu
 
That was me kabla sijaona kikosi na performance ya Tp Mazembe

Hapo nilikiwa naikadiroa kwa makali yake ya kipindi kile ipo on peak.

Sasa angalia hizi screenshots baada ya kuona kiwango chake

Hapa nilikuwa kwenye mabishano na wewe ambaye kwa wakati huo ulikuwa unaitetea Tp Mazembe ionekane mmeifunga timu ngumu.

View attachment 2574341

Hapa nilitabiri ushindi wa Yanga kabla mechi haijaanza, na ndio maana kwa chini u aona kuna comment ya shabiki wa Uto akiomba dua mechi isiishe kwa sareView attachment 2574343

Hapa chini nilii underrate Tp Mazembe kutokana na poor performance
View attachment 2574346

Hapa nilikuwa natoa maoni kuhusu mechi ya Monastir na Tp Mazembe na kuonesha ninsi gani Tp Mazembe ni wabovuView attachment 2574348

Na hapa chini ndio niliweka prediction yangu kwenye mechi yenu ya leo

View attachment 2574349
Naamini hizo screenshots uliziona ila kwakua hazikuwa zina feed ego yako ukaamua uzipotezee.

Hoja ya msingi bado iko palepale kuwa Tp Mazembe ni Zalan wa kikongo tu
Hayo yote uliyoonesha hapa ni baada ya TP Mazembe kufungwa na Yanga. Ungekuwa unajua mpira ungesema kabla ya Yanga hajacheza na TP Mazembe au baada ya TP Mazembe kumfunga Real Bamsko ungeyaandika hayo ungeonekana unajua kuchambua. Shida ya mashabiki wa Simba ni kuamini kuwa timu yoyote inayofungwa na yanga ni mbovu
 
Hayo yote uliyoonesha hapa ni baada ya TP Mazembe kufungwa na Yanga. Ungekuwa unajua mpira ungesema kabla ya Yanga hajacheza na TP Mazembe au baada ya TP Mazembe kumfunga Real Bamsko ungeyaandika hayo ungeonekana unajua kuchambua. Shida ya mashabiki wa Simba ni kuamini kuwa timu yoyote inayofungwa na yanga ni mbovu
Sio baada ya kufungwa na Yanga

Ni baada ya kuona performance yake kwa mara ya kwanza kwenye game yake na Yanga. Angalia usichanganye mambo hapo.

Maana yake ningeweza kusema maneno hayo hayo endapo ningeshuhudia performance ya namna hiyo kwenye mechi dhidi ya timu nyingine

Na hiyo ndio ilikuwa game yakwanza naishuhudia Tp Mazembe ikicheza, so awali nilikuwa nafikiria katika ubora ule wa miaka ya nyuma ambayo ilikuwa ni tishio.

Timu inaweza ikafungwa ila performance yake ikaweza kukupa makadirio ya kuweza kutegemea matokeo mazuri kwenye mechi zingine.

Na ndio maana hata leo sikutaka kupoteza muda kuangalia mechi yenu kwasababu sikutegemea kuona kitu cha tofauti na nilivyo bashiri
 
Kwa mwaka huu yanga kule shirikisho team ya kuiogopa ni pyramids tyuuh. Wale wengine akichanga karata vizuri anafika final km sio kuchukua kombe kabisaa.

Mwaka huu team za shirikisho sio za kutisha wala nn.
 
Kwa mwaka huu yanga kule shirikisho team ya kuiogopa ni pyramids tyuuh. Wale wengine akichanga karata vizuri anafika final km sio kuchukua kombe kabisaa.

Mwaka huu team za shirikisho sio za kutisha wala nn.
Angalau kidogo we kolo Leo umeongeo pwenti
 
Kwa hiyo vile mnawaza vichwani mwenu mnaamini itakuwa hivyo hivyo. Kwamba Simba itaishia robo halafu uto itafika final. Yaani mnaiuchukulia football kama netball.
Kwa hiyo unataka kusema simba itavuka hatua ya robo fainali!
 
Mngekuwa na timu nzuri msingetolewa CAFCL.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
Hata kama yanga wakifika fainali kwenye hilo kombe la losers bado itakuwa haijafikia mafanikio ya Simba!! Wakitaka kufikia na kuvuka mafanikio ya Simba basi itawabidi wafike nusu fainali au fainali ya caf champions league!! Kumsukuma mlevi mzembe tena mweleka mmoja to kwa dk90 siyo mafanikio ya kujivunia!! Ajisifu huko huko kwa losers wenzake!!
 
Timu iliyotolewa kwenye michuano ya awali caf champions league haiwezi kujisifu mbele ya timu iliyofikia robo fainali kwenye caf champions league!! Msijifanye hamlijui hilo!! You lost as far as CAFCL is concerned and you joined a company of losers in the CAF Confederation cup which is meant as a consolation cup for losers!!
 
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
Kwano na nyie utopolo mnashiriki supa kapu. Mashindano makubwa kuliko ukubwa wa bara la afrika?
 
Back
Top Bottom