Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Wewe tuambie SHIRIKISHO aliyoshiriki SIMBA 1993 alishiriki kwa kigezo kipi?
Bingwa wa Muungano alikuwa MALINDI
PAMBA bingwa wa FA
Na hao ndio walituwakikisha kimataifa. Haya tuambie wewe vigezo gani vilitumika wewe ushiriki shirikisho??
Aaahaaaaa
 
Siyo kweli, kombe la shirikisho lilikuwa likiitwa kombe la Washindi.
1993 klabu Bingwa walishiriki Malindi ya Zanzibar ndio walikuwa mabingwa wa Tanzania.

Kombe la wahindi walishiriki Pamba ya Mwanza ambao waliokuwa ni mabingwa wa Nyerere Cup ambayo Sasa hivi Ndio Azzam Cap yani FA.

Na Simba walishiriki bonanza la Chief Mashood Abiola ambalo lilijurikana kama CAF Cup ambalo kwa Sasa halipo kabisa.

Do your home work.
Kumbe hata shirikisho hawana jipya

Ahahahhahah
 
Sishangai na nakusamehe kwa kunipotezea muda wangu ila kwa kuwa mimi ni mtu wa Mungu, watu kama nyie ni wa kuwasamehe tu. Nimekwambia usome hizo references, either umegoma au haujaelewa au hautaki kukubaliana na ulichokisoma. Mkifeli mnasema elimu ngumu.

CAF CUP pamoja na kwamba zawadi ya mshindi ilitolewa na Abiola yalibaki kuwa ni mashindano ya yaliyoendeshwa na CAF na yalifanyika kwa miaka 10 na mwaka 2004 mashindano hayo hayo yaliunganishwa na hayo mengine kutengeneza kombe la shirikisho. Hili nilishakwambia hapo juu lakini kwa kuwa kichwa chako chepesi bado unalileta.

Kuhusu timu zilizoshiriki baada ya hapo, kwa taarifa yako Yanga alishiriki mwaka uliofuata 1994 na kwa kuwa ni jadi yenu kutofanya vizuri mashindano ya kimataifa, mlitolewa round ya kwanza, imagine aibu hiyo!

Baada ya hapo walioshiriki Malindi 1995, Small Simba ya Zanzibar 1996, Simba 1997, Mlandege 1998, Yanga 1999 (mkatupwa tena round ya kwanza), Mtibwa 2000, 2001, 2002.

2004 ndiyo yakaunganishwa na kombe la washindi kutengeneza kombe la shirikisho.

Kukusaidia zaidi, vigezo vilikuwa timu oliyoshika nafasi ya pili katika ligi ya nchi yao, kwa hiyo vigogo wengi tu wameshiriki mashindano hayo.

Kwa lugha nyingine, mashindano hayo ambayo Simba alicheza fainali na kombe uwanjani, Yanga ameshiriki mara mbili na haijawahi kuvuka round ya kwanza.
Mkuu kumbe hat shirikisho hamna Cha kuonyesha

Aahahahahaha
 
Mkuu kumbe hat shirikisho hamna Cha kuonyesha

Aahahahahaha
Naona umekuja kumbeba mwenzio 🤣😂🤣

Ila Yanga anavyojitutumua sasa hivi utadhani kwenye historia yake amewahi kufanya lolote la maana hadi anakebehi waliofika robo fainali. Ukiangalia hizi rekodi zenu unabaki kucheka tu 🤣😂🤣
 
Naona umekuja kumbeba mwenzio 🤣😂🤣

Ila Yanga anavyojitutumua sasa hivi utadhani kwenye historia yake amewahi kufanya lolote la maana hadi anakebehi waliofika robo fainali. Ukiangalia hizi rekodi zenu unabaki kucheka tu 🤣😂🤣
Relax

Tunaenda kufuta rekodi zenu zote

Ziwe za ukweli au uongo
 
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
Useless fact
 
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
Msimu mmoja kivipi wakati mwaka jana mmepigwa na wanaijeria nje ndani?
 
Relax

Tunaenda kufuta rekodi zenu zote

Ziwe za ukweli au uongo
Hapo ndiyo Yanga mnapokoseaga. Mnatakiwa kuwa inspired na mafanikio ya Simba badala ya kutaka kushindana nayo.

Hauwezi KUFUTA mafanikio ya mtu hata ukija na wewe kuyapata au hata kumzidi. Ndiyo maana TP Mazembe pamoja na kushuka kwao, bado tunataja mafanikio yao ya nyuma.

Yanga hata ikitokea bahati mbaya amechukua kombe mwaka huu la shirikisho, haitafuta mafanikio ya Simba (ndiyo kufika robo, nusu fainali au fainali bila kuchukua kombe ni mafanikio pia ndiyo maana timu huwa zinatambulika kwa mafanikio hayo).
 
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana
Utaambiwa we ni manara
 
Yanga ina watu wapumbavu sana,utasikia yanakebehi Hakuna Kombe la robo fainali huku yanajitapa kuwa tm ya kwanza tz kumpiga TP nje ndani kwani Kuna kombe la kumpiga mtu nje ndani? Takataka hizi inzi za kijani
Naona umekuja kumbeba mwenzio [emoji1787][emoji23][emoji1787]

Ila Yanga anavyojitutumua sasa hivi utadhani kwenye historia yake amewahi kufanya lolote la maana hadi anakebehi waliofika robo fainali. Ukiangalia hizi rekodi zenu unabaki kucheka tu [emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Yanga ina watu wapumbavu sana,utasikia yanakebehi Hakuna Kombe la robo fainali huku yanajitapa kuwa tm ya kwanza tz kumpiga TP nje ndani kwani Kuna kombe la kumpiga mtu nje ndani? Takataka hizi inzi za kijani
Wanakejeli mafanikio ya Simba kwa kufika fainali wakiita bonanza, kumbe hawajui timu yao imeshiriki mara mbili na mara zote wakatupwa round ya kwanza ndiyo maana hakuna anayekumbuka wala kuwaongelea. Niliwahi kumwambia mtu humu naijua hiyo Yanga yao kuzidi wao wenyewe.
 
Hawana akili utopolo
images%20(22).jpg
 
Hadi shoga maarufu wa jf nae anashabikia mpira!
 
 
Back
Top Bottom