Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Lile bonanza la Abiola siyo kombe la Washindi, kombe la wahindi ni hili wanaloshiriki Yanga.Wanasahau Simba ana medali kombe la washindi barani afrika
U.h.a.r.o.wYani umesha admit kuwa Tp Mazembe ni wabovu still unawapa hope ya kufika mbali, means wawe na muendelezo wa kukutana na wabovu wa namna hiyo
Sisi wengine tulisha tabiri uwezekano wa Uto kupata pointi 3 huko Kongo, wala sio jambo la kustua kuona wameshinda
Uto haijakutana na upinzani mkubwa wa kutisha mpaka uanze kuwa picture katika level za juu wakati washindani wake wote almost ni weak.
Simba amepita kwenye mabonde na majabali amejitengenezea ufalme wake kwa kupambana na miamba mikubwa, Simba ni role model wa Uto.
Uto kila akifikiria mafanikio makubwa kimataifa basi sehemu ya kwanza kutazamia ni kumuangalia Simba anafanyaje fanyaje mpaka inawezekana.
Yanga anashiriki kombe baada yakushindwa kwa wakubwa kuleLile bonanza la Abiola siyo kombe la Washindi, kombe la wahindi ni hili wanaloshiriki Yanga.
Ndo ukweli wenyewe, Yanga mwaka huu wakiwa makini na serious wanarudi na kombe LA CAFCC jangwani.Angalau kidogo we kolo Leo umeongeo pwenti
[emoji3059][emoji8]Ndo ukweli wenyewe, Yanga mwaka huu wakiwa makini na serious wanarudi na kombe LA CAFCC jangwani.
Yanga ni timu mbovu sana, eeh tuambie nyie SIMBA mliifunga lini hiyo YANGA??Mngekuwa na timu nzuri msingetolewa CAFCL.
Mashindano haya yameanzishwa mwaka 2004 eeh hiyo Simba alifika Fainali mwaka gani na alicheza na nani?Simba alishafika fainali ya mashindano haya,mafanikio yapi yanga atayapita?
Huu ujinga ungeuandika wakati michuano ya Klabu Bingwa inaanza Yanga na Simba zote zikishiriki. Kuandika sasa hivi ni kuonesha ni mjinga kiasi gani.Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.
Yani bonanza la Abiola ndio unafananisha na mashindano haya!?Simba alishafika fainali ya mashindano haya,mafanikio yapi yanga atayapita?
Simba yuko nane Bora Afrika...hapo Yanga anampitaje sijui?!Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.
Hapana..angetumia kuchambia kinyesiHuo mkono si bora ungeutumia kuunga mboga
Kwa Malooser wenzieWatanzania tuache Roho mbaya kwenye ukweli tuseme yanga n tishio kwa Sasa baran Africa