Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Yani umesha admit kuwa Tp Mazembe ni wabovu still unawapa hope ya kufika mbali, means wawe na muendelezo wa kukutana na wabovu wa namna hiyo

Sisi wengine tulisha tabiri uwezekano wa Uto kupata pointi 3 huko Kongo, wala sio jambo la kustua kuona wameshinda

Uto haijakutana na upinzani mkubwa wa kutisha mpaka uanze kuwa picture katika level za juu wakati washindani wake wote almost ni weak.

Simba amepita kwenye mabonde na majabali amejitengenezea ufalme wake kwa kupambana na miamba mikubwa, Simba ni role model wa Uto.

Uto kila akifikiria mafanikio makubwa kimataifa basi sehemu ya kwanza kutazamia ni kumuangalia Simba anafanyaje fanyaje mpaka inawezekana.
U.h.a.r.o.w
 
Kuna sehemu Simba iliteleza

Sajili zilijaa utapeli

Wachezaji hawachezi

Yanga wamejitahidi hadi kufika hapo walipofika
 
Simba alishafika fainali ya mashindano haya,mafanikio yapi yanga atayapita?
 
Watanzania tuache Roho mbaya kwenye ukweli tuseme yanga n tishio kwa Sasa baran Africa
 
Simba alishafika fainali ya mashindano haya,mafanikio yapi yanga atayapita?
Mashindano haya yameanzishwa mwaka 2004 eeh hiyo Simba alifika Fainali mwaka gani na alicheza na nani?
 
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
Huu ujinga ungeuandika wakati michuano ya Klabu Bingwa inaanza Yanga na Simba zote zikishiriki. Kuandika sasa hivi ni kuonesha ni mjinga kiasi gani.
 
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
Simba yuko nane Bora Afrika...hapo Yanga anampitaje sijui?!
 
Ushabiki umeweka pembeni lakini mwiko uliouweka huko MATAKONI umesahau kuutoa,,

Simba Hakuna shabiki kama wewe,,

UTOPOLO wahed.

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Japo mm Simba ila yanga wako vzr
Japo mm Chadema ila Ccm
Japo mm ni timu konde ila wasafi
Japo mm mwalimu ila
Izo kauli huwa zinanipa raha sana ni kauli ya hovyo sana na hainaga maana kbsa
 
Back
Top Bottom