Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaahaaaaaWewe tuambie SHIRIKISHO aliyoshiriki SIMBA 1993 alishiriki kwa kigezo kipi?
Bingwa wa Muungano alikuwa MALINDI
PAMBA bingwa wa FA
Na hao ndio walituwakikisha kimataifa. Haya tuambie wewe vigezo gani vilitumika wewe ushiriki shirikisho??
Kumbe hata shirikisho hawana jipyaSiyo kweli, kombe la shirikisho lilikuwa likiitwa kombe la Washindi.
1993 klabu Bingwa walishiriki Malindi ya Zanzibar ndio walikuwa mabingwa wa Tanzania.
Kombe la wahindi walishiriki Pamba ya Mwanza ambao waliokuwa ni mabingwa wa Nyerere Cup ambayo Sasa hivi Ndio Azzam Cap yani FA.
Na Simba walishiriki bonanza la Chief Mashood Abiola ambalo lilijurikana kama CAF Cup ambalo kwa Sasa halipo kabisa.
Do your home work.
Mkuu kumbe hat shirikisho hamna Cha kuonyeshaSishangai na nakusamehe kwa kunipotezea muda wangu ila kwa kuwa mimi ni mtu wa Mungu, watu kama nyie ni wa kuwasamehe tu. Nimekwambia usome hizo references, either umegoma au haujaelewa au hautaki kukubaliana na ulichokisoma. Mkifeli mnasema elimu ngumu.
CAF CUP pamoja na kwamba zawadi ya mshindi ilitolewa na Abiola yalibaki kuwa ni mashindano ya yaliyoendeshwa na CAF na yalifanyika kwa miaka 10 na mwaka 2004 mashindano hayo hayo yaliunganishwa na hayo mengine kutengeneza kombe la shirikisho. Hili nilishakwambia hapo juu lakini kwa kuwa kichwa chako chepesi bado unalileta.
Kuhusu timu zilizoshiriki baada ya hapo, kwa taarifa yako Yanga alishiriki mwaka uliofuata 1994 na kwa kuwa ni jadi yenu kutofanya vizuri mashindano ya kimataifa, mlitolewa round ya kwanza, imagine aibu hiyo!
Baada ya hapo walioshiriki Malindi 1995, Small Simba ya Zanzibar 1996, Simba 1997, Mlandege 1998, Yanga 1999 (mkatupwa tena round ya kwanza), Mtibwa 2000, 2001, 2002.
2004 ndiyo yakaunganishwa na kombe la washindi kutengeneza kombe la shirikisho.
Kukusaidia zaidi, vigezo vilikuwa timu oliyoshika nafasi ya pili katika ligi ya nchi yao, kwa hiyo vigogo wengi tu wameshiriki mashindano hayo.
Kwa lugha nyingine, mashindano hayo ambayo Simba alicheza fainali na kombe uwanjani, Yanga ameshiriki mara mbili na haijawahi kuvuka round ya kwanza.
Naona umekuja kumbeba mwenzio 🤣😂🤣Mkuu kumbe hat shirikisho hamna Cha kuonyesha
Aahahahahaha
RelaxNaona umekuja kumbeba mwenzio 🤣😂🤣
Ila Yanga anavyojitutumua sasa hivi utadhani kwenye historia yake amewahi kufanya lolote la maana hadi anakebehi waliofika robo fainali. Ukiangalia hizi rekodi zenu unabaki kucheka tu 🤣😂🤣
Useless factTimu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.
Msimu mmoja kivipi wakati mwaka jana mmepigwa na wanaijeria nje ndani?Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana.
Hapo ndiyo Yanga mnapokoseaga. Mnatakiwa kuwa inspired na mafanikio ya Simba badala ya kutaka kushindana nayo.Relax
Tunaenda kufuta rekodi zenu zote
Ziwe za ukweli au uongo
Utaambiwa we ni manaraTimu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.
Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.
Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.
In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.
Hongereni sana
Naona umekuja kumbeba mwenzio [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Ila Yanga anavyojitutumua sasa hivi utadhani kwenye historia yake amewahi kufanya lolote la maana hadi anakebehi waliofika robo fainali. Ukiangalia hizi rekodi zenu unabaki kucheka tu [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Wanakejeli mafanikio ya Simba kwa kufika fainali wakiita bonanza, kumbe hawajui timu yao imeshiriki mara mbili na mara zote wakatupwa round ya kwanza ndiyo maana hakuna anayekumbuka wala kuwaongelea. Niliwahi kumwambia mtu humu naijua hiyo Yanga yao kuzidi wao wenyewe.Yanga ina watu wapumbavu sana,utasikia yanakebehi Hakuna Kombe la robo fainali huku yanajitapa kuwa tm ya kwanza tz kumpiga TP nje ndani kwani Kuna kombe la kumpiga mtu nje ndani? Takataka hizi inzi za kijani
Basi hapo roho kwatuuu.[emoji3059][emoji8]
Tar 16/04/2023Yanga ni timu mbovu sana, eeh tuambie nyie SIMBA mliifunga lini hiyo YANGA??
ijumaa iyoo mamamaee mtatafutana cku iyo[emoji23][emoji23][emoji23]Basi hapo roho kwatuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutawashangazaaa hiyo ijumaa.ijumaa iyoo mamamaee mtatafutana cku iyo[emoji23][emoji23][emoji23]