Tena shabiki kindaki ndaki wa sokaa.Hadi shoga maarufu wa jf nae anashabikia mpira!
Laana hii masikini, kwa hiyo unafurahia kabisa!Tena shabiki kindaki ndaki wa sokaa.
Kuna watu wanateseka na watu wasiowajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena shabiki kindaki ndaki wa sokaa.
AahaaaaKuna watu wanateseka na watu wasiowajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tenaaa haswaaa, afu najikubaliii sasa.Laana hii masikini, kwa hiyo unafurahia kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ugumu wa maisha mchezoo??Kuna watu wanateseka na watu wasiowajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Elewa maana ya neno ''itayapita mafanikio'' mbona kama vile mwalimu wako alikuwa na kazi kubwa darasani!!Unaposema mafanikio yote una maana Gani?
Ungesema Kwa upande wa shirikisho ungeeleweka.
Ni lini yanga kafika robo club bingwa?
Muda mwingine akil zetu ni,[emoji706][emoji706]
Yanga alifika robo klabu bingwa 1998Unaposema mafanikio yote una maana Gani?
Ungesema Kwa upande wa shirikisho ungeeleweka.
Ni lini yanga kafika robo club bingwa?
Muda mwingine akil zetu ni,[emoji706][emoji706]
Watafika finalHawa jamaa wanaenda nusu fainali kama mzaha
Unaweza kuwa role model wa mtu akakupita mafanikioYani umesha admit kuwa Tp Mazembe ni wabovu still unawapa hope ya kufika mbali, means wawe na muendelezo wa kukutana na wabovu wa namna hiyo
Sisi wengine tulisha tabiri uwezekano wa Uto kupata pointi 3 huko Kongo, wala sio jambo la kustua kuona wameshinda
Uto haijakutana na upinzani mkubwa wa kutisha mpaka uanze kuwa picture katika level za juu wakati washindani wake wote almost ni weak.
Simba amepita kwenye mabonde na majabali amejitengenezea ufalme wake kwa kupambana na miamba mikubwa, Simba ni role model wa Uto.
Uto kila akifikiria mafanikio makubwa kimataifa basi sehemu ya kwanza kutazamia ni kumuangalia Simba anafanyaje fanyaje mpaka inawezekana.
Hahaha hili naona likitimia mkuuYanga itakuwa timu ya kwanza Tanzania kuleta kombe la Africa.