Ushahi wa Mabilioni ya Ford kwa Maria Sarungi kuchochea migogoro.

Ushahi wa Mabilioni ya Ford kwa Maria Sarungi kuchochea migogoro.

The West has a functioning brain, wanaangalia na historia ya nchi, na pia wanaangalia na vitu vya ku-react vile vile. Unafikiri hawaoni ya kina Kagame, Paul Biya, ya huko Sudani Kusini , huko Nigeria + na huko Chad yanayoendelea.

Kuna mitafaruku mengine wont bring good PR to them, wakijiingiza. Huu wameuona unawafaa
Ishu ya bandari imeishia wapi ? Hao CCM wamekaa pamoja kujadili , wapo wasomi wame'calculate risk before deciding on a single step forward....Sio rahisi hata ikitokea kesi wanajua wanajitetea vip wanazo points za kutosha .

Nina uhakika serikali hapo inaenda kujenga mradi wa kiuchumi tena eneo ya kimkakati ..Hataa wawe wanyama kiasi gani sio rahisi kufanya unyama kwa wananchi tena wamasai ni jamii safi inayotambulisha TZ kimataifa .

Wazung wanajua watanzania halisi ni jamii ya kimasai .
 
Ishu ya bandari imeishia wapi ? Hao CCM wamekaa pamoja kujadili , wapo wasomi wame'calculate risk before deciding on a single step forward....Sio rahisi hata ikitokea kesi wanajua wanajitetea vip wanazo points za kutosha .

Nina uhakika serikali hapo inaenda kujenga mradi wa kiuchumi tena eneo ya kimkakati ..Hataa wawe wanyama kiasi gani sio rahisi kufanya unyama kwa wananchi tena wamasai ni jamii safi inayotambulisha TZ kimataifa .

Wazung wanajua watanzania halisi ni jamii ya kimasai .
Yani, kumbe wewe unaamini waliopo serikalini ni good-faith actors???Lol! hivi ni miradi mingapi imepita na mikataba yake tumegundua ilikuwa ni upigaji tu wa watu wachache after the fact??

Kosa lako ni kuamini viongozi wako pale ku-represent wananchi wao! Wrong
 
Yani, kumbe wewe unaamini waliopo serikalini ni good-faith actors???Lol! hivi ni miradi mingapi imepita na mikataba yake tumegundua ilikuwa ni upigaji tu wa watu wachache after the fact??

Kosa lako ni kuamini viongozi wako pale ku-represent wananchi wao! Wrong
Ngoja tuone si tupo hapa ,Dp world tulikuwepo pia tambua watu awamu ya kwanza walishahama...
 
ask the Americans(Biden,Obama FDR n.k), British(under Starmer) etc. Serikali zote duniani as long as zinaongozwa na wanadamu zina asili ya udhalimu dhidi ya raia wanaowatawala.
Hatuna Marafiki katika hizo nchi hivyo tusaidie wewe kuuliza kwa Waamerika Biden, Obama, FDR wamewafanyia ukatili gani, pia tusaidie kuuliza kwa Waingereza Starmer amewafanyia ukatili gani.
 
Kama Dola inanyanyasa Wapinzani na Wamasai basi Ford Foundation na Taasisi nyingine zitasaidia ili tupaze sauti.
 
Pamoja na juhudi na nia njema za Serikali, kumekuwepo na makundi mbalimbali yanayopokea fedha kutoka nje ili kufitinisha Wamasai na wananchi dhidi ya serikali.

Mfano wa hili ni taasisi ya Mwanzo inayoongozwa na Maria Sarungi, ambayo imepokea zaidi ya dola za Kimarekani 400,000, sawa na zaidi ya shilingi bilioni moja, kwa ajili ya kuendesha kampeni ya kuhamasisha Wamasai wasihame na pia kuichafua serikali.

Swali la kujiuliza ni kwa nini mashirika ya kimataifa yanawekeza mabilioni kuyafadhili mashirika kama yale ya Maria Sarungi na mengineyo kwa lengo la kuleta mgongano kati ya serikali na wananchi wake?

Hali ilivyo Sasa

Kwa sasa, mchakato wa uhamisho unaendelea, huku idadi kubwa ya familia za Wamasai zikiwa zimehamia maeneo mapya kwa hiari.

Serikali inaendelea kufuatilia hali hiyo kwa karibu, ikitoa msaada unaohitajika kwa wale waliohamia na kudumisha njia za wazi za mawasiliano na wale waliobaki.

Changamoto zilizopo Ngorongoro ni ishara ya masuala mapana yanayokabili jitihada za uhifadhi barani Afrika.

Mbinu ya serikali ya Tanzania inaonyesha sera yenye uwajibikaji na maono inayoleta usawa kati ya uhifadhi wa mazingira na watu walioishi kwa amani na mazingira hayo kwa karne nyingi.

Hitimisho

Uhamisho wa Wamasai kutoka Ngorongoro ni ushahidi wa kujitolea kwa serikali ya Tanzania kwa maendeleo endelevu.

Kwa kuweka kipaumbele uhifadhi na ustawi wa Wamasai, serikali inafanya kazi kuhakikisha kuwa Eneo la Hifadhi la Ngorongoro linabaki kuwa urithi wa dunia unaotambulika, huku pia ikiunda mustakabali mzuri kwa watu wa jamii ya Wamasai.

Suala hili tata linahitaji uelewa na msaada kutoka kwa pande zote zinazohusika. Hatua za serikali ni kielelezo cha kujitolea kwake kufanya yaliyo bora kwa mazingira na watu wake, sasa na katika siku zijazo.
hovyo vijisenti haviwezi kufua dafu, eti kuvuruga umaja, amani na utulivu humu nchini? thubutu....

kama taifa tumejipanga vizuri sana bana gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Pamoja na juhudi na nia njema za Serikali, kumekuwepo na makundi mbalimbali yanayopokea fedha kutoka nje ili kufitinisha Wamasai na wananchi dhidi ya serikali.

Mfano wa hili ni taasisi ya Mwanzo inayoongozwa na Maria Sarungi, ambayo imepokea zaidi ya dola za Kimarekani 400,000, sawa na zaidi ya shilingi bilioni moja, kwa ajili ya kuendesha kampeni ya kuhamasisha Wamasai wasihame na pia kuichafua serikali.

Swali la kujiuliza ni kwa nini mashirika ya kimataifa yanawekeza mabilioni kuyafadhili mashirika kama yale ya Maria Sarungi na mengineyo kwa lengo la kuleta mgongano kati ya serikali na wananchi wake?

Hali ilivyo Sasa

Kwa sasa, mchakato wa uhamisho unaendelea, huku idadi kubwa ya familia za Wamasai zikiwa zimehamia maeneo mapya kwa hiari.

Serikali inaendelea kufuatilia hali hiyo kwa karibu, ikitoa msaada unaohitajika kwa wale waliohamia na kudumisha njia za wazi za mawasiliano na wale waliobaki.

Changamoto zilizopo Ngorongoro ni ishara ya masuala mapana yanayokabili jitihada za uhifadhi barani Afrika.

Mbinu ya serikali ya Tanzania inaonyesha sera yenye uwajibikaji na maono inayoleta usawa kati ya uhifadhi wa mazingira na watu walioishi kwa amani na mazingira hayo kwa karne nyingi.

Hitimisho

Uhamisho wa Wamasai kutoka Ngorongoro ni ushahidi wa kujitolea kwa serikali ya Tanzania kwa maendeleo endelevu.

Kwa kuweka kipaumbele uhifadhi na ustawi wa Wamasai, serikali inafanya kazi kuhakikisha kuwa Eneo la Hifadhi la Ngorongoro linabaki kuwa urithi wa dunia unaotambulika, huku pia ikiunda mustakabali mzuri kwa watu wa jamii ya Wamasai.

Suala hili tata linahitaji uelewa na msaada kutoka kwa pande zote zinazohusika. Hatua za serikali ni kielelezo cha kujitolea kwake kufanya yaliyo bora kwa mazingira na watu wake, sasa na katika siku zijazo.

Na Shivji anapokea tsh ngapi?Mwabukusi, na sisi watanzania wengine bado hatujapewa zetu.tutapewa lini?though hatuachi kutetea wamasai
 
Yaan huo unaita ushahidi kweli mtu mzima?Nilifikili umeattach proof of payment from Ford to Maria Sarungi Acc?

Let us be serius tunapojadili mambo ya msingi Kama watu wazima hapa hakuna mtoto.
Leta Tangibile evidence
 
Back
Top Bottom