Ushahidi: Sikubaliani na hoja ya kwamba walimu wengi ni failure wa kidato cha nne au sita

Ushahidi: Sikubaliani na hoja ya kwamba walimu wengi ni failure wa kidato cha nne au sita

Sasa kama mpaka leo hii walimu hawajui kwamba huwa kuna mitihani ya usaili, unadhani hapo hatujapigwa kweli. Eti anauliza hiyo mitihani inatungwa na nani..
Ualimu ni tofauti na program nyingine

interview za walimu mara nyingi huwa zinabase kwenye masomo, mfano unaenda interview wanakupiga paper la form six, au form four vitu ambavyo ni ngumu kukumbuka hasa kama hujafanya kazi hii miaka kadhaa

Mtu ambaye anasoma BSc education anakuwa na sehemu tatu
1. somo la kwanza
2. somo la pili
3. masomo ya ualimu

na masomo ya kufundisha yapo;

1. ya O level
2. Advance
3. na masomo waliyosoma chuo

Hapo lazima waulize au tuulize mitihani hiyo itabase wapi?

sometimes inatokea mtu amesoma chemistry lakini ana miaka 5 hafundishi hilo somo

ukimwambia afanye mtihani wa advanve au chuo hatoboi
 
Ualimu ni tofauti na program nyingine

interview za walimu mara nyingi huwa zinabase kwenye masomo, mfano unaenda interview wanakupiga paper la form six, au form four vitu ambavyo ni ngumu kukumbuka hasa kama hujafanya kazi hii miaka kadhaa

Mtu ambaye anasoma BSc education anakuwa na sehemu tatu
1. somo la kwanza
2. somo la pili
3. masomo ya ualimu

na masomo ya kufundisha yapo;

1. ya O level
2. Advance
3. na masomo waliyosoma chuo

Hapo lazima waulize au tuulize mitihani hiyo itabase wapi?

sometimes inatokea mtu amesoma chemistry lakini ana miaka 5 hafundishi hilo somo

ukimwambia afanye mtihani wa advanve au chuo hatoboi
Hizo ni interview za taasisi binafsi. Interview za serikali hazipo hivyo, mara nyingi zinakua na maswali matano tu, yanayohusu nafasi uliyoomba. Wala sio maswali ya kuumizana. Na maswali yanatoka kwenye kozi ulizosomea chuoni. Wanaotunga mitihani ni hao wa wavyuoni au wakati mwingine taasisi husika. Wanaosahihisha ni wale waliotunga. Huu utaratibu upo kote duniani.
 
Wapo wengi wana division IV ya kidato cha nne wakaenda cheti, diploma na degree ya sheria leo wanajiita wakili wasomi.
Lakini wako walimu wana division I kidato cha nne wametulia tu wanawaangalia
 
Wapo wengi wana division IV ya kidato cha nne wakaenda cheti, diploma na degree ya sheria leo wanajiita wakili wasomi.
Lakini wako walimu wana division I kidato cha nne wametulia tu wanawaangalia
Sasa mwenzio si wakili msomi kweli,
Na ww ungesomea Law na wewe uitwe wakili msomi,
 
Ukiwa Advance, darasa la PCB wanataka kuwa madaktari, darasa la HGL wanataka kuwa wanasheria darasa la PCM wanataka kuwa mainjinia n. K Hakuna wanaosema waziwazi kuwa wanapenda kuwa walimu ngoja matokeo yaje sasa 😀😀😀

Chuoni wengi wamechagua kozi wasizozipenda ili wapate "bumu " ,

Walimu wakiwa darasani utasikia MSINIONE HIVI, nilikuwa kipanga 😀😀😀We know better

Nionyeshe one ya 3 PCM aliyesoma education, au HGL, I rest my case 👷
 
Ukiwa Advance, darasa la PCB wanataka kuwa madaktari, darasa la HGL wanataka kuwa wanasheria darasa la PCM wanataka kuwa mainjinia n. K Hakuna wanaosema waziwazi kuwa wanapenda kuwa walimu ngoja matokeo yaje sasa 😀😀😀

Chuoni wengi wamechagua kozi wasizozipenda ili wapate "bumu " ,

Walimu wakiwa darasani utasikia MSINIONE HIVI, nilikuwa kipanga 😀😀😀We know better

Nionyeshe one ya 3 PCM aliyesoma education, au HGL, I rest my case 👷
Kila Engineer ana division I ?
Kila daktari ana division I ?
Kila mwanasheria ana division I ?
Kwenye kila Kada kuna wenye division I na wenye division IV.
Masharti ya kusoma Diploma ya ualimu ni magumu kuliko Diploma ya kozi yeyote hapa Tanzania
Walimu Dploma zao lazima upite kidato cha sita.
 
Rudia tena kusoma hapo juu, ndipo utaelewa! Usipanick sijamaanisha Wanasheria wote wana 1 ,lakini nakuambia wengi wanachagua ualimu Kama option ya 3 hadi nne!!! Siyo choice ya wengi inawalazimu tu
Kila Engineer ana division I ?
Kila daktari ana division I ?
Kila mwanasheria ana division I ?
Kwenye kila Kada kuna wenye division I na wenye division IV.
Masharti ya kusoma Diploma ya ualimu ni magumu kuliko Diploma ya kozi yeyote hapa Tanzania
Walimu Dploma zao lazima upite kidato cha sita.
 
Sasa mwenzio si wakili msomi kweli,
Na ww ungesomea Law na wewe uitwe wakili msomi,
Huwezi kusema walimu wamefeli wakati ili usome Diploma
Rudia tena kusoma hapo juu, ndipo utaelewa! Usipanick sijamaanisha Wanasheria wote wana 1 ,lakini nakuambia wengi wanachagua ualimu Kama option ya 3 hadi nne!!! Siyo choice ya wengi inawalazimu tu
Sahihi sababu maslahi duni
 
Rudia tena kusoma hapo juu, ndipo utaelewa! Usipanick sijamaanisha Wanasheria wote wana 1 ,lakini nakuambia wengi wanachagua ualimu Kama option ya 3 hadi nne!!! Siyo choice ya wengi inawalazimu tu
Na wengi inawalazimu hasa kwa sababu za kiuchumi.
Ukiona mtu kaenda kusomea ualimu ujue anazo sifa stahiki za kusomea hizo laws, uhasibu n.k.
 
Habarini wadau, kwa muda mrefu kumekuwa na uongo na propaganda kuhusu ualimu.

Watu wengi husema kwamba ualimu huenda watu waliofeli katika mitihani yao ya kidato cha nne au sita

Binafsi nimejaribu kufuatilia hili kwa muda mrefu, na nimekuwa nikisoma guide books za kila mwaka.

Ninachoona ni kwamba program za ualimu kwa muda mrefu zimewekewa vigezo vigumu kuliko 90% ya program nyinginezo ikiwemo za afya

Nitaanza kutoa maelezo ya program za diploma, kisha nitamaalizia kwa degree (hapa angalau kuna point japo sio 100%)

Mfano, diploma za program za afya huwa wanahitaji D nne tu, lakini diploma ya ualimu ilikuwa lazima uende advance, japo kwa sasa unaweza ukaenda ukiwa umemaliza form four ukiwa na division one hadi three

JE NI PROGRAM GANI INAIZIDI UALIMU KWA VIGEZO (MINIMUM REQUIREMENTS) kwa diploma??
I'm ready to be corrected

NO EVIDENCE NO RIGHT TO SPEAK

View attachment 2664842View attachment 2664866
Vigezo vigumu vinapaswa kuendana na ukubwa wa maslahi. Vinginevyo....!
 
Back
Top Bottom