Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Ushahidi: Video inayodaiwa ni ya Gwajima nilikuwa nayo kwenye simu yangu tangia 2018, siyo ya Gwajima

Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?

Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Amekulipa shs ngapi kumsafisha!! Uchafu wa oil hausafishwi kwa siku moja endelea kufua mkuu.
 
Mnavyozidi kumtetea huyu fala ndio atakavyozidi kuwat0mba waumini wake!! Muulizeni Emanuel mbasha alit0mbewa mkewake na gwajima
 
Kumekuwa na sintofahamu na wakati mwingine masikio huwa yanawasha. unaposikia na kuwaza kitu gani kilitokea kwa Askofu wetu mpendwa kwenye ile video chafu iliyohalibu ukristo na imani yetu.

Ok, Let it be true.

Swali ni nani aliyedukua simu au laptop ya mchungaji wetu?

Je maisha yetu binafsi bado yana thamani?

Je bado kuna haja ya kuviamini vyombo vyetu vya usalama, hasa pale wanapokuja na kubeba kila kitu hasa simu na computer na storage devices kama cds, flash nk kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Hivi ile si,u ya Kijana wa ujiji ZZK ilisharudishwa na watawala?

Kuna sheria yeyote inayomlinda mtu pale anapokabidhi simu, laptop, cds nk kwa ajili ya upelelezi zaidi.


Mchungaji wetu ameonewa! amedhurumiwa, ameumizwa sana.
 
Lengo la hii mada yako imeegemea upande upi?
Kwa maoni Yangu hata kama amedukuliwa je kitendo alichokifanya gwajima ni halali?

Privacy.

Usiri wa jambo. (faragha)

Kama kila mtu tutakuwa tunamuanika akiwa faragha. si nzuri sana. Labda apende mwenyewe.
 
Privacy.

Usiri wa jambo. (faragha)

Kama kila mtu tutakuwa tunamuanika akiwa faragha. si nzuri sana. Labda apende mwenyewe.
Faragha ni haki ya kila mtu ila swali langu bado liko palepale je kufanya ngono nje ya ndoa ni halali?
Je gwajima anafundisha kitu gani maumini wake juu hiki alichokifanya?
Vipi Kwa maaskofu wenzake wanajisikiaje baada ya haya madudu aliyofanya?
 
Sasa nimepata jibu sahihi nani wako nyuma ya aliyesambaza video ile ya Askofu

Hongera mkuu
 
Faragha ni haki ya kila mtu ila swali langu bado liko palepale je kufanya ngono nje ya ndoa ni halali?
Je gwajima anafundisha kitu gani maumini wake juu hiki alichokifanya?
Vipi Kwa maaskofu wenzake wanajisikiaje baada ya haya madudu aliyofanya?

Ok Kumbe ni haki yake kuwa faragha.
 
Mkuu huu msemo wa Mkono wa Mungu mrefu unamaana gani? au Mungu atashuka au nyoosha mkono wake awaumbue wanafiki? Kama kweli hiyo clip ni yake basi huu utakuwa mpango wa Mungu kuwaokoa watu wake waliopotea! Kumbuka shetani hutamalaki kwa Muda tu!
 
Sasa nimepata jibu sahihi nani wako nyuma ya aliyesambaza video ile ya Askofu

Hongera mkuu
Mkuu tafadhali nimegee na mimi hilo jibu ulilopata la aliyesambaza ile video
 
Back
Top Bottom