Pre GE2025 Ushahidi wa Jinsi Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi alivyotapeliwa na kudanganywa huko Itilima huu hapa

Pre GE2025 Ushahidi wa Jinsi Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi alivyotapeliwa na kudanganywa huko Itilima huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
No offence hii ni perception ya jamii ya watanzania kuanzia mama yetu shuka chini hadi kwa machawa wa level za chini kbs kama hapa nilipo cholesamvula.
Andiko lako refu, ambalo baadae umelifanya kuwa kama maandiko ya Mwashamba na ho wengine limekosa hitimisho.
Kwa hiyo jaribu sasa kukamilisha huo utafiti wako na ueleze inakuwaje "Dude" hilo, ambalo ni CHADEMA; bado halitafua dafu mbele za hao mahasimu wao wakuu.

Weka ushabiki pembeni, wewe eleza tu kwa maoni yako kwa nini "dude" hili linaendelea kuminywa. Achana na hizo habari za mapolisi, kwani hakuna polisi anayemzidi polisi mkuu, ambaye ni hao watu ulio wazungumzia kwenye hilo andiko lako.
Kwa nini CHADEMA hafurukuti, na dalili tayari zimeanza kujionyesha kuwa anaanza kulazwa chali hata kabla ya kipenga.
 
Andiko lako refu, ambalo baadae umelifanya kuwa kama maandiko ya Mwashamba na ho wengine limekosa hitimisho.
Kwa hiyo jaribu sasa kukamilisha huo utafiti wako na ueleze inakuwaje "Dude" hilo, ambalo ni CHADEMA; bado halitafua dafu mbele za hao mahasimu wao wakuu.

Weka ushabiki pembeni, wewe eleza tu kwa maoni yako kwa nini "dude" hili linaendelea kuminywa. Achana na hizo habari za mapolisi, kwani hakuna polisi anayemzidi polisi mkuu, ambaye ni hao watu ulio wazungumzia kwenye hilo andiko lako.
Kwa nini CHADEMA hafurukuti, na dalili tayari zimeanza kujionyesha kuwa anaanza kulazwa chali hata kabla ya kipenga.

Yani utalinywa tu ili uwe relevant kaka mkubwa! Ukiacha unasahaulika. Kufurukuta kwenyewe ndio huko mama mkubwa hadi machawa hawalali na ili upate mkate wako lazima ulioge tu, upate upako
 
Yani utalinywa tu ili uwe relavant kaka mkubwa! Ukiacha unasahaulika. Kufukuta kwenyewe ndio huko mama mkubwa hadi machawa hawalali na ili upate mkate wako lazima ulioge tu, upate upako
EEEeeeenHEEeeeee!
Kwa namna hii hatufiki mbali.
 
EEEeeeenHEEeeeee!
Kwa namna hii hatufiki mbali.

Kweli kabisa, yani bila kutaja chadema kwa ccm utaonekana huna akili, wote waliotaja na kusema vibaya walipata ulaji kuanzia mkumboz na wenzie, usione mwashamba kajitoa ufahamu hapa bure, wanahesabu post zake soon atapata upako utaona! Asipotaja chadema nani atasoma upuuzi wake unafikiri?
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Liganga/dokta/dakitari/dokuta Nchimbi amatapeliwa?🤣🤣🤣🤣🙏
 
Kuwa na mtoto zwazwa kama Lucas Mwashambwa bora kumtoa ndagu upige hela tu.
Kama namuona Lucas Mwashambwa akiwa amekaa kibarazani kwao huku mikono na miguu imejikunja na domo limekaa upande muda wote likibubujisha udenda ambao umelowesha shati lake lililoshonwa kwa kitamba cha sanda.
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Haina tofauti nyie wafuasi wa mbowe mnavyomtapeli mbowe kwenye maandamano na kura!
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Shetani ni mwongo na ni baba wa huo.
Hivyo ndio mlivyokuwa mnadanganywa kipindi cha jiwe sijui uchumi wa kat, sijui kati juu, sijui dona kantri yani mambo vulululu.
 
kujaribu kuufaya ukweli kuonekana si kweli ni kazi nzito na ngumu sana,

mbaya zaidi,
inaumiza moyo sana na kukatisha tamaa mno, kwamba mna wanachama na wafuasi wachache tu kindakindaki eneo hilo, halafu tena katika uchache huo, wanahamia upande mwingine na kukuacha mikono mitupu dah 🤣

hii siasa saa zinngine bana, unaweza kuzeeka wiki moja tu, unajenga huku, huku kunabomolewa na usaliti juu 🤣
Siasa za kisanii, hadaa na ahadi hewa ya vitu zitakupa watu. Lakini ujinga, utegemezi na uchawa vitadumu!
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
CCM kama waliweza kututapeli Magu ni mzima kumbe yupo mortuary watashindwa kutapeli kuhusu wanachama?
 
ila hukatai kwamba walikua chadema na sasa wameamua kurudi nyumbani. u just wante to say the leader is not have like many kuras may be
 
Back
Top Bottom