Pre GE2025 Ushahidi wa Jinsi Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi alivyotapeliwa na kudanganywa huko Itilima huu hapa

Pre GE2025 Ushahidi wa Jinsi Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi alivyotapeliwa na kudanganywa huko Itilima huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ji
kujaribu kuufaya ukweli kuonekana si kweli ni kazi nzito na ngumu sana,

mbaya zaidi,
inaumiza moyo sana na kukatisha tamaa mno, kwamba mna wanachama na wafuasi wachache tu kindakindaki eneo hilo, halafu tena katika uchache huo, wanahamia upande mwingine na kukuacha mikono mitupu dah 🤣

hii siasa saa zinngine bana, unaweza kuzeeka wiki moja tu, unajenga huku, huku kunabomolewa na usaliti juu 🤣
Jibu hoja tlatlaah!
 
Ji

Jibu hoja tlatlaah!
watu wamehama chama kwa hiyari, haki na uhuru wao hadharani, tena mchana kweupe, kila mtu anaona, halafu eti muungwana mtoa hoja analeta matokeo ya uchaguzi sijui ya miaka gani huko kukanusha ukweli huo bayana 🤣

hiyo ni useless,
acheni waTanzani huru wajiamulie mambo yao kwa uhuru wao gentleman 🐒
 
Mdau amekuuliza swali lenye HOJA nzito kuwa,

Sheria zile zile kandamizi na Sasa mlizolalamikia kuwanyanganya ushindi 2020 hakuna hata Moja iliyorekebishwa,

Badala ya kupambania kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, tunawaambia wananchi wajiandikishe,

Sasa mkihujumiwa kwenye uchaguzi mliouingia Kwa Ishara ya kukubaliana na matokeo, mnawezaje kurudi kulalamikia hujuma endapo zitatokea?
Mimi nafikiri na ninyi wote wenye fikra hizi, bila shaka mna shida ktk vichwa vyenu

Hoja zenu hizi ni sawa na kumwambia mtu kuwa unapambana kujenga nyumba bora zaidi, basi isuse hiyo duni ya sasa isiyo na ubora unayoishi kisha peleka watoto wako kwa jirani au porini mkaishi huko...

HOJA YANGU NI HII:

Mapambano ya kupigania KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI yako palepale, ni endelevu (progressive)...

Kwa ma - CCM haya, haipaswi kuwasusia kushiriki michakato ya kisiasa inayoendelea hususani chaguzi kama hizi...

Ni katika kushiriki huko ktk michakato hii, ndiyo platform muhimu ya inayoweza kutumika kusukuma na kupitisha agenda kama hizi kwa wananchi...

Zipo njia zingine pia ambazo hata sasa ziko online, zinatumika kudai CHAGUZI HURU, ZA WAZI na ZA HAKI. Mojawapo ni kupitia mfumo wa kimahakama ambako nako matatizo ni yale yale kwani mahakama haziko huru kivile kwa CCM huko nako ipo ina mahakimu na majaji wake wa kuhakikisha wanalinda maslahi yake...

Lakini Je, kwa kuwa mahakama zina dosari hii, basi tusitumie mifumo hiyo kudai haki zetu..?

Bila shaka jibu ni HAPANA, bali ktk mazingira ya udhaifu na upogo wa mifumo hii hii mibaya ya chaguzi na utoaji haki (mahakama), ni lazima kupambana...

Na tujue na kukumbuka kuwa, haya mambo bila msaada wa Mungu, hawa watesi wetu wataendelea kutamalaki tu. Tupambane huku Mungu akiwa ndiye msaada wa ushindi wetu...!!
 
Mimi nafikiri na ninyi wote wenye fikra hizi, bila shaka mna shida ktk vichwa vyenu

Hoja zenu hizi ni sawa na kumwambia mtu kuwa unapambana kujenga nyumba bora zaidi, basi isuse hiyo duni ya sasa isiyo na ubora unayoishi kisha peleka watoto wako kwa jirani au porini mkaishi huko...

HOJA YANGU NI HII:

Mapambano ya kupigania KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI yako palepale, ni endelevu (progressive)...

Kwa ma - CCM haya, haipaswi kuwasusia kushiriki michakato ya kisiasa inayoendelea hususani chaguzi kama hizi...

Ni katika kushiriki huko ktk michakato hii, ndiyo platform muhimu ya inayoweza kutumika kusukuma na kupitisha agenda kama hizi kwa wananchi...

Zipo njia zingine pia ambazo hata sasa ziko online, zinatumika kudai CHAGUZI HURU, ZA WAZI na ZA HAKI. Mojawapo ni kupitia mfumo wa kimahakama ambako nako matatizo ni yale yale kwani mahakama haziko huru kivile kwa CCM huko nako ipo ina mahakimu na majaji wake wa kuhakikisha wanalinda maslahi yake...

Lakini Je, kwa kuwa mahakama zina dosari hii, basi tusitumie mifumo hiyo kudai haki zetu..?

Bila shaka jibu ni HAPANA, bali ktk mazingira ya udhaifu na upogo wa mifumo hii hii mibaya ya chaguzi na utoaji haki (mahakama), ni lazima kupambana...

Na tujue na kukumbuka kuwa, haya mambo bila msaada wa Mungu, hawa watesi wetu wataendelea kutamalaki tu. Tupambane huku Mungu akiwa ndiye msaada wa ushindi wetu...!!
Asante kwa elimu kabambe, Hawa si kwamba hawajui ila wanataka kutusumbua tu
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Kumbe wote walikua Chadema..., mi nilijua wamewatafuta watu tu from no where. Kuna cha kujifunza kwa Chadema, mbona wanahama wengi hivyo??
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
HAHHAAAA CHADEMA MMEISHIWA MNAANZA KUKIMBIWA SASA MNAKUJA KUKANUSHA KWA NGUVU NYINGIIII KWA FAIDA YA NANI?? CHAMA HUKO KIMESHAJIFIA VIONGOZI WAMEWAKIMBIA
 
Kumbe wote walikua Chadema..., mi nilijua wamewatafuta watu tu from no where. Kuna cha kujifunza kwa Chadema, mbona wanahama wengi hivyo??
halafu mtu anakuja kukanusha eti hawajahama wa chadema hovyooo kabisa
 
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi

View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107

Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Hadi wakistuka kua pasta Kinyambe wanaembatana nae ni tapeli a lower an opportunist watakua washaharibikiwa sana
 
HAHHAAAA CHADEMA MMEISHIWA MNAANZA KUKIMBIWA SASA MNAKUJA KUKANUSHA KWA NGUVU NYINGIIII KWA FAIDA YA NANI?? CHAMA HUKO KIMESHAJIFIA VIONGOZI WAMEWAKIMBIA
Hivi wewe kapuku unajua kusoma na kuandika kweli?
 
Kwa hiyo Chama chenu cha Chadema ni Chama cha watu wa level ya middle class na elites wa kibiashara? Kazi mnayo!
Screenshot_2024-09-12-15-13-25-78-1.png
 
watu wamehama chama kwa hiyari, haki na uhuru wao hadharani, tena mchana kweupe, kila mtu anaona, halafu eti muungwana mtoa hoja analeta matokeo ya uchaguzi sijui ya miaka gani huko kukanusha ukweli huo bayana 🤣

hiyo ni useless,
acheni waTanzani huru wajiamulie mambo yao kwa uhuru wao gentleman 🐒
Huu ni wakati wakuwalia hela zenu

Ova
 
Huu ni wakati wakuwalia hela zenu

Ova
hakuna hela za mtu CCM, ni ruzuku ya serikali ambayo ni matokeo ya tozo, ushuru na kodi ambayo mimi na wewe tunalipa,

so,
CCM haina hela ya mtu inatumia rasilimali kulingana na jitihada yako na yangu kupitia kodi ambayo tunalipa kwa mujibu wa sheria na CCM inatumia kwa mujibu wa sheria 🐒
 
Back
Top Bottom