TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nimeona na niya 2017. Sasa kama mnamuamini Twaweza wa 2017....mpaka Leo. Ndiyo maana mwanzoni nilisema kazi mnayo. Kila la heri.Hiyo ni Twaweza, wala siyo sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona na niya 2017. Sasa kama mnamuamini Twaweza wa 2017....mpaka Leo. Ndiyo maana mwanzoni nilisema kazi mnayo. Kila la heri.Hiyo ni Twaweza, wala siyo sisi
Tafiti hupingwa kwa Tafiti mpya, hazipingwi na mudaNimeona na niya 2017. Sasa kama mnamuamini Twaweza wa 2017....mpaka Leo. Ndiyo maana mwanzoni nilisema kazi mnayo. Kila la heri.
Kula CCM kura Chadema.Huu ni wakati wakuwalia hela zenu
Ova
HakikaKula CCM kura Chadema.
Kwahiyo kamanda wewe kubaki huku kwa Mh.Mbowe ndiyo kutabadirisha kitu?Mkuu sasa kama CCM imeongoza miaka yote hiyo ukiwa mzima na ujapata unafuu wa maisha si bora ukae pembeni upambanie maisha nje ya vyama? Au unadhani ukienda CCM kutokea CHADEMA kuna kitu utwkibadilisha kilichomshinda mwenyekiti wao Mama Samia?
Sawa najua kamanda tukiulizwa mambo kama hayo njia rahisi nikusema hivyo..ata mwenyekiti anajua.Swali lako ni la kijinga
Sayansi ni mtambuka... Siasa za ccm ni sayansi za giza!ni muhimu sana kujiepusha na ushirikina, siasa ni sayansi 🐒
basi kama za wale wengine ni sayansi za mwanga, waache basi kutoa watu kafara na kuwafanya vijanaa wao misukule kwasabb tu ya uongozi, halafu wanasingizia wengine sijui vitu gani huko 🐒Sayansi ni mtambuka... Siasa za ccm ni sayansi za giza!
Ushahidi upo wa wazi tena (kwa maneno na matendo) kutoka kwa viongozi waandamizi wa ccm ukionesha kuwa ccm inashiriki kuteka, kutesa, kudhuru, kuua na kupoteza watu.basi kama za wale wengine ni sayansi za mwanga, waache basi kutoa watu kafara na kuwafanya vijanaa wao misukule kwasabb tu ya uongozi, halafu wanasingizia wengine sijui vitu gani huko 🐒
ushahidi ni pamoja na ule wa mtu wa watu, mwanachama mpole maskini ya Mungu kutolewa kafara, Lakini na vijanaa kuchukuliwa msukule HQ wanajua wako wapi na chairman aliwahi kusema anajua wako wap, umesahau gentleman?🐒Ushahidi upo wa wazi tena (kwa maneno na matendo) kutoka kwa viongozi waandamizi wa ccm ukionesha kuwa ccm inashiriki kuteka, kutesa, kudhuru, kuua na kupoteza watu.
Kama una ushahidi wa upande mwingine uweke mezani!
na Mumeo.Basi ndio maana mwanafunzi hana akili kama alifundishwa na..
😆😆😆😆na Mumeo.
Wacha weeee!!!Sisi tunaamini taarifa za vyombo vya Habari kama zilivyotueleza, hii ya kwenu mmepika ndio maana imekosa uhalisia.