Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
sio Iran tu ni nchi nyingi zinasaidia Palestina kwa silaha,fedha na mafunzo ya vita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas ni magaidiHamas na Ukrain
Hamas ni magaidi
Mbowe hajawahi kushika hata panga unamlinganisha na magaidi yaliyoua maelfu ya raia wasokua na hatia?!Hata Mbowe aliitwa gaidi lkn mahakamani ulikuwa hutoki unalia lia
Nchi za Ulaya na Marekani na kanada na Australia na New Zealand zinaitambua Hamas kama kundi la kigaidiNaomba usiwe mvivu wa kupata taarifa.
Umoja wa Mataifa hauitambui Hamas kama kikundi Cha kigaidi.
Unaitambua Hamas kama chama Cha kupigania uhuru wa Palestine.
Hamas iliwekwa kundi moja na
ANC,SWAPO,chama Cha kupigania haki Cha Sudan kusin enzi za John Garang n.k
Hivyo vyama vilikua vinasaidiwa fedha na nchi rafiki.
Vikindi vya kigaidi ni kama Al Qaida, ISIS,Al Shabab n.k
Ni wao kwa matakwa yao.Nchi za Ulaya na Marekani na kanada na Australia na New Zealand zinaitambua Hamas kama kundi la kigaidi