Naomba usiwe mvivu wa kupata taarifa.
Umoja wa Mataifa hauitambui Hamas kama kikundi Cha kigaidi.
Unaitambua Hamas kama chama Cha kupigania uhuru wa Palestine.
Hamas iliwekwa kundi moja na
ANC,SWAPO,chama Cha kupigania haki Cha Sudan kusin enzi za John Garang n.k
Hivyo vyama vilikua vinasaidiwa fedha na nchi rafiki.
Vikindi vya kigaidi ni kama Al Qaida, ISIS,Al Shabab n.k