Angekuwa Mzungu ndiyo anajibu huyo ujumbe basi angeandika kwa kiswahili au hata angetafuta Mkalimani lakini kamwe asingeweza kuchanganya lugha kama ulivyofanya, Ushahidi mwingine wa kuwa na akili ndogo!
Kuchanganya lugha ni kipimo cha IQ ya mtu???? Inabidi nikubaliane na wewe kwa kuwa ndio mtazamo wako na uelewa wako unapoishia. Ungejikita kwenye content ungenufaika zaidi