Ushakuwa na mpenzi mbabe ambaye ukimtest kukaa kimya na yeye anabaki kimya?

Ushakuwa na mpenzi mbabe ambaye ukimtest kukaa kimya na yeye anabaki kimya?

CONTRARIAN

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
982
Reaction score
3,137
Hii Game hua niliipenda Sanaa, sio unakua na kajitu kanyonge, masaa hayapiti kanalia.

Mda mwingine inabidi uwe na mtu anayekutingisha kidogo, hata thamani yake utaiona.

Mimi nilikuaga na Mchezo, demu tukipishana kidogo tuu na mute, yaani piga ua simtafuti mpaka awe mpole mwenyewe, hili lilinilea vibaya mno, daadeki nikakutana na Mwingine, yaani Niki mute na yeye ana mute,
Sasa huyu aliyenitingisha ndio nikamkubali, Mwaka ni mwaka hanitafti simtafuti, kinacho turudishaga ni mazingira ya kazi tunapokutanaga Katikati/Mwanzo au Mwisho wa Mwaka ofisi zote.

Wengine ndio hua imetoka hio, labda mkutane physical au kwenye social media tuu kusalimiana.

NOTE: Hii Nilifanyaga kwa Pisi niliyoilewa, kama ni hawa wa kupita tuu, hua hata Sikua nawaza, Namtafuta mwenyewe hata kama kafura, ili nimvimbishe, aji brand.

Too much excuses zinaboa kwenye mapenzi, mda mwingine inabidi makaziane, Ili kila mtu amvalue mwenzake...

Pia kuna raha, hata kama mmeachana na mtu una ka ahueni kama hukuachwa kinyonge, heshima ipo.
Sio kubembeleza ubembeleze wewe, kuachwa uachwe wewe.

SIJAWAHI KUACHANA NA DEMU KWA MANENO/LUGHA KALI.
 
Mwanamke sijui ana roho Gani aisee, inabidi Hawa viumbe wachunguzwe upya, nilikua na wangu, tokea enzi za shule, nikaja kutoa bikra mwenyewe!! Sijawahi ona mtu ananipenda kama huyu, ishi nae sana, kanifumania sana lakini bado akawa loyal na humble kwangu, siku narudi nakuta kaondoka kaniambia tu it's enough

Nikacheka sana nikasema huyu atarudi tu hapa ndo kafika, sikua hata na wasiwasi, kumbe ndo mazima aisee, ishapita miaka kadhaa ashaolewa huko na hua ananipigia siku ya birthday yangu tunaongea mawili matatu basi, siku zingine nikipiga hatapokea na sms hatojibu, ushakua utaratibu Kila mwaka tunaongea mara moja tu na si vinginevyo

Nilishatest mitambo akaniambia chupi hawezi nivulia tena mpaka tuzikwe. Ananiambia Mimi ni mwanamke wa mwanaume mmoja, kipindi nipo na wewe sikuwahi kukusaliti na huyu siwezi msaliti

Nilicheza blunder nikapoteza mtu makini sana na haangalii nyuma
 
Screenshot_20240323-224350_Instagram.jpg
 
Mwanamke sijui ana roho Gani aisee, inabidi Hawa viumbe wachunguzwe upya, nilikua na wangu, tokea enzi za shule, nikaja kutoa bikra mwenyewe!...
Nasikia mwanamke akichoka ni huwa anachoka kwelikweli, au hisia zao zikifa ni zinakufa kiukweliukweli.

Huyo alikuaa mwanamke wa commitment hapo ulipoteza mwanamke aisee.
 
Mwanamke sijui ana roho Gani aisee, inabidi Hawa viumbe wachunguzwe upya, nilikua na wangu, tokea enzi za shule, nikaja kutoa bikra mwenyewe!! Sijawahi ona mtu ananipenda kama huyu, ishi nae sana, kanifumania sana lakini bado akawa loyal na humble kwangu, siku narudi nakuta kaondoka kaniambia tu it's enough


Nikacheka sana nikasema huyu atarudi tu hapa ndo kafika, sikua hata na wasiwasi, kumbe ndo mazima aisee, ishapita miaka kadhaa ashaolewa huko na hua...
Sema ni kama mimi, ila tofauti ni kidogo, nilimtoa Mimi Bikira nikazama Dar chuo ubungo, dogo nikamwacha Kidato Cha pili, nikafika nikakutana na pisi ya kimeru (neema popote ulipo ulifanya nimpoteze mke wangu😂😂😂😂🙌🏿,) nikampa simu yangu mmeru usiku mmoja, aiseeh yule bnt akanitfuta wakatupiana maneno hatare, ahahah demu hapo yupo Cha nne, alipomaliza tu kaolewa, ila atakg atoke kwake awe mke wa pili kwangu sema hiyo dhambi niliikataa. Ni laana, Mawasiliano nilimwambia tusitishe kila mtu alee familia yake.

Ila wanaume sisi ndo chanzo cha visa vingi vya mapenzi
 
Mwanamke sijui ana roho Gani aisee, inabidi Hawa viumbe wachunguzwe upya, nilikua na wangu, tokea enzi za shule, nikaja kutoa bikra mwenyewe!! Sijawahi ona...
mshukuru Mungu, hao wanawake wenye kichwa kimoja(wenye maamuzi yao wasioshaurika) si wazuri, hata akitaka kukumaliza hashauriki, pengine uliepuka msala bila kujua, usihuzunike.

labda kama huko aliko aliolewa na malaika la sivyo story yake utakuja kuileta huku. Binadamu yeyote yafaa uwe na vichwa viwili(uwe unashaurika, ukijikwaa unatafakari unasonga mbele ama unaahirisha safari).
Alamsik
 
Inategemea if she is a value woman or a toxic woman

It just hardest to be in touch several time with a toxic woman

Mwanamke ni mwenye nyumba na mwanaume ni mpangaji

Sasa anayebidi kuwa makini ni mwenye nyumba kutoa huduma nzuri ili mpagaji asihame.
 
Back
Top Bottom