Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Anakunyima kama anafanya utani ila ndo yupo serious na haupati
πππππ
πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia mwanamke akichoka ni huwa anachoka kwelikweli, au hisia zao zikifa ni zinakufa kiukweliukweli.
Huyo alikuaa mwanamke wa commitment hapo ulipoteza mwanamke aisee.
MTU unayemjua sura yake sauti yake majina yake.Na nilishamove on, ila Kila akinipigia Hio mara moja kwa mwaka napata ukakasi sana sijui kwanini
Ufafanuzi poa sana πNi akili tu hiyo huitwa self-pity inaweza kumpata hata mwanaume.
Mtu akipitia changamoto hiyo changamoto inaweza mpatia mambo matatu...
MTU unayemjua sura yake sauti yake majina yake.
Unaweza kuwasiliana muda wowote pasipo kukutana physically
Kinachokutokea wewe ni sahihi kupata Goosebumps (msisimko) hii pia inamtokea hata yeye.
Ila Kama nilivyosema hapo x wako amepata self-pity ambayo imempa Victim na kuwa victimized she is Afraid to be in touch with you anymore. Maana anajihurumia
Fed up (kuchoka) husababishwa na kupata self pity and unfortunately ungemuoa na mkaachana ingekuwa mbaya Sana.
So watu wanaojuana kisura , sauti majina huwa wapo closed Sana umbali huwa haupo ,
Ndo maana ni rahisi Sana kuongea na x wako bila hata kumpigia simu na yeye akiwa mbali
Nimejitahidi kukuelewa mpaka mishipa ya kichwa inauma...
IPole Sana mkuu
Na wewe unakubali? Vipi ana nyapu ya dhahabu au?Ye mwenyewe hua ananiambia "hutokaa upate mwanamke kama Mimi"
Wanawake wa hivyo huwa wanatokea mara chache sana na ukiwapoteza kuwapata ni ndoto ya mchana. Mwanamke alievumilia makwazo akiamua kubadilika itachukua muda sana kuja kujirudi na akijirudi hawezi kuwa yule wa mwanzo tena.Mwanamke sijui ana roho Gani aisee, inabidi Hawa viumbe wachunguzwe upya, nilikua na wangu, tokea enzi za shule, nikaja kutoa bikra mwenyewe!! Sijawahi ona mtu ananipenda kama huyu, ishi nae sana, kanifumania sana lakini bado akawa loyal na humble kwangu, siku narudi nakuta kaondoka kaniambia tu it's enough
Nikacheka sana nikasema huyu atarudi tu hapa ndo kafika, sikua hata na wasiwasi, kumbe ndo mazima aisee, ishapita miaka kadhaa ashaolewa huko na hua ananipigia siku ya birthday yangu tunaongea mawili matatu basi, siku zingine nikipiga hatapokea na sms hatojibu, ushakua utaratibu Kila mwaka tunaongea mara moja tu na si vinginevyo
Nilishatest mitambo akaniambia chupi hawezi nivulia tena mpaka tuzikwe. Ananiambia Mimi ni mwanamke wa mwanaume mmoja, kipindi nipo na wewe sikuwahi kukusaliti na huyu siwezi msaliti
Nilicheza blunder nikapoteza mtu makini sana na haangalii nyuma
Daah! Mzee, ulicheza big fault...Mwanamke sijui ana roho Gani aisee, inabidi Hawa viumbe wachunguzwe upya, nilikua na wangu, tokea enzi za shule, nikaja kutoa bikra mwenyewe!! Sijawahi ona mtu ananipenda kama huyu, ishi nae sana, kanifumania sana lakini bado akawa loyal na humble kwangu, siku narudi nakuta kaondoka kaniambia tu it's enough
Nikacheka sana nikasema huyu atarudi tu hapa ndo kafika, sikua hata na wasiwasi, kumbe ndo mazima aisee, ishapita miaka kadhaa ashaolewa huko na hua ananipigia siku ya birthday yangu tunaongea mawili matatu basi, siku zingine nikipiga hatapokea na sms hatojibu, ushakua utaratibu Kila mwaka tunaongea mara moja tu na si vinginevyo
Nilishatest mitambo akaniambia chupi hawezi nivulia tena mpaka tuzikwe. Ananiambia Mimi ni mwanamke wa mwanaume mmoja, kipindi nipo na wewe sikuwahi kukusaliti na huyu siwezi msaliti
Nilicheza blunder nikapoteza mtu makini sana na haangalii nyuma
π we unamchukulia kama kila kitu kwako alafu yeye anakuona wa ziada.Mambo ya ku-mute ni kipaji usiwe na roho ndogo, maana siku unarudi kujisemesha unakutana na block kubwa.
Huyo anakurusha roho wanawake wenye thamani hizo huwa hawasemi hivyo, huyo anasema hayo ili kukutesa kisaikolojia uone umepoteza sana kumbe kawaida.Ye mwenyewe hua ananiambia "hutokaa upate mwanamke kama Mimi"
Hii ni kweli kabisa.Wanawake wa hivyo huwa wanatokea mara chache sana na ukiwapoteza kuwapata ni ndoto ya mchana. Mwanamke alievumilia makwazo akiamua kubadilika itachukua muda sana kuja kujirudi na akijirudi hawezi kuwa yule wa mwanzo tena.
Inaumaga hio ππ we unamchukulia kama kila kitu kwako alafu yeye anakuona wa ziada.
Naelewa maumivu yake ila nowdays n kuwapotezea tu ni mwendo wa kuishi uhalisia, ukiniona wa ziada nakufutilia mbali.Inaumaga hio π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii inafaa sana.Anakunyima kama anafanya utani ila ndo yupo serious na haupati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]