Ushakuwa na mpenzi mbabe ambaye ukimtest kukaa kimya na yeye anabaki kimya?

Ushakuwa na mpenzi mbabe ambaye ukimtest kukaa kimya na yeye anabaki kimya?

Hii Game hua niliipenda Sanaa, sio unakua na kajitu kanyonge, masaa hayapiti kanalia.

Mda mwingine inabidi uwe na mtu anayekutingisha kidogo, hata thamani yake utaiona.

Mimi nilikuaga na Mchezo, demu tukipishana kidogo tuu na mute, yaani piga ua simtafuti mpaka awe mpole mwenyewe, hili lilinilea vibaya mno, daadeki nikakutana na Mwingine, yaani Niki mute na yeye ana mute,
Sasa huyu aliyenitingisha ndio nikamkubali, Mwaka ni mwaka hanitafti simtafuti, kinacho turudishaga ni mazingira ya kazi tunapokutanaga Katikati/Mwanzo au Mwisho wa Mwaka ofisi zote.

Wengine ndio hua imetoka hio, labda mkutane physical au kwenye social media tuu kusalimiana.

NOTE: Hii Nilifanyaga kwa Pisi niliyoilewa, kama ni hawa wa kupita tuu, hua hata Sikua nawaza, Namtafuta mwenyewe hata kama kafura, ili nimvimbishe, aji brand.

Too much excuses zinaboa kwenye mapenzi, mda mwingine inabidi makaziane, Ili kila mtu amvalue mwenzake...

Pia kuna raha, hata kama mmeachana na mtu una ka ahueni kama hukuachwa kinyonge, heshima ipo.
Sio kubembeleza ubembeleze wewe, kuachwa uachwe wewe.

SIJAWAHI KUACHANA NA DEMU KWA MANENO/LUGHA KALI.
Mtu yyte ambae ana Mtazamo huria na hisia huria huwezi mpelekesha!!
Hata mm niko hivo.

mimi huwa napata moto au na follow in love na mtu anaenikataa
 
Kuna mtu ananiambiaga chakorii unadharau sana.lakini ukweli ni kwamba sina dharau.kama nimekukwaza kwanini unizire/kunilia bati wakati tunaweza kukaa chini na kuzungumza?

Ni upuuzi hakuna cha maana.nimekukwaza sema tuweke mambo sawa.
Nilie bati at your own risk babe😁

Ukinimute nakumute tu kikubwa uhai
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii inafaa sana.
Wewe tena.....
Huwa ukichangia mada kwa uzi wowote ule lazima nipitie tena huo uzi mara 2 2
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom