Ushakuwa na mpenzi mbabe ambaye ukimtest kukaa kimya na yeye anabaki kimya?

Mtu yyte ambae ana Mtazamo huria na hisia huria huwezi mpelekesha!!
Hata mm niko hivo.

mimi huwa napata moto au na follow in love na mtu anaenikataa
 
Kuna mtu ananiambiaga chakorii unadharau sana.lakini ukweli ni kwamba sina dharau.kama nimekukwaza kwanini unizire/kunilia bati wakati tunaweza kukaa chini na kuzungumza?

Ni upuuzi hakuna cha maana.nimekukwaza sema tuweke mambo sawa.
Nilie bati at your own risk babe😁

Ukinimute nakumute tu kikubwa uhai
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii inafaa sana.
Wewe tena.....
Huwa ukichangia mada kwa uzi wowote ule lazima nipitie tena huo uzi mara 2 2
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…