Ushamba na Ulimbukeni wa watanzania kuhusu Zari na Hamisa Mobetto

Ushamba na Ulimbukeni wa watanzania kuhusu Zari na Hamisa Mobetto

Hapa ndo umenifanya niamini watanzania ni wapuuzi yani hili ndo la kukuumiza hadi kulifungulia uzi
 
Watanzania wengi washamba sana.. Baba Nyerere angefufuka leo nadhani angewatia mboko asilimia 80 ya watanzania wote kwa akili zenu zilizojaa upupu. Mzee nyerere hakuacha taifa la majitu majinga hivi. Leo watanzania wamekuwa watu wa kumthamini mgeni kuliko mtanzania mwenzao. Au hutotuvingereza mkimsikia huyo zari basi mnashoboka ebu usee nyinyi. Unamtukana bint wa watu kosa lake nini. Diamond yupo na zari amekwenda kutembea na huyo Hamisa, Kosa la Hamisa ni nini.. Kutembea na Diamond au. Acheni ulimbukeni nyinyi,. Eti timu Zari..hamna za kufanya nyinyi.

Huyu binti Hamisa bado mdogo sana hana hata 25..Kila siku mnamtukana kisa huyo bibi wa Kiganda. Eti timu Zari badala muwe timu kilimo au timu biashara..mnakaa siku nzima mnashinda kwenye mitandao badala ya kufanya Kazi. Taifa la watu wambeya na usengenyaji. Mnatukana binti wa watu eti kaingilia mapenzi. Diamond i support mziki wako..lakini drama zako unafanya huyu Binti anatukanwa sana, Kumbuka unamtoto naye..sidhan km mtoto atafurahi akikuwa Mkubwa aone jinsi Mama yake alivyokuwa anatukanwa kisa wewe. Sikuchagulii mtu wa kumuoa but udhalilishaji huu kwa Hamisa uliusababisha interview yako ya Clouds fm.

Eti Hamisa malaya..nani siyo malaya Tanzania..huyo Zari kwani siyo malaya..si mdangaji tu.. ..Eti Zari ana pesa sana Tununu hana pesa..Pesa za Zari zinakuhusu..Acheni usee nyinyi. Na hii Tabia kubwa ya Midada ya kitanzania hata ikiwa nje ya Nchi kushoboka na wageni..ushamba mzigo sana.

Watanzania nawasihi sana acheni kushoboka na wageni, wapambane mastar wenu, Zari hana mashabiki sehemu yeyote zaidi ya Tz. Kabinti kadogo mnakachukia kwa ulimbukeni tu. Mishamba

unamchukiaje mtu ambae humjuii wala hujui anaishi vipi

kiukwel cwezag kushuhulika na hyo maswalaaa
 
usengee tu yaan mara zalii mara mobetooo ndo akina nan atiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hivi Leo kuna debate nini maana naona opposer's na proposer mnavyobishana,sasa nisubirieni secretary wenu nitoe majibu upande UPI umeshinda OK.
 
Hapa ndo umenifanya niamini watanzania ni wapuuzi yani hili ndo la kukuumiza hadi kulifungulia uzi
upload_2018-6-9_22-46-0.png
upload_2018-6-9_22-46-0.png
😀😀😀😀
 
Inasikitisha sana...

Mambo yao waachie wenyewe... unatumia nguvu nyingi kupambana na watu, kumbe wenyewe wapo kibiashara...


Cc: mahondaw
 
Ukitaka kujuwa ulimbukeni wa watanzania ona wanavyoshadadia bongo fleva. Watu wanapiga miziki ya watu wanaonekana masupastaa wakati wanakopi tu.
 
Na ukiona demu 'anatimu' sjui Zari au Mobeto au team Wema bas ujue huyo dem bado anasafari ndefu sana
 
blindspot naomba nikuulize, upewe choice kati ya Zari a businesswoman na Hamisa asiyejitambua bado, utachagua nani kati yao? 99% ya wanaume wanaojitambua LAZIMA wataoa mwanamke anayejitambua na mwenye uwezo na si kiruka njia au mdandia lift.
 
Lkn ukiangalia asilimia kubwa ya wanaoshabikia ujinga huo ni vijana Wa DSM ambao kila uchwao wanagombaniana remote za TV na Dada zao wakitoka hapo hugombaniana dressing table na Dada zao.. Yaan hovyo kabisa.
Huwezi kukuta kujana Wa korimije, au ileje anazungumzia mambo ya zari kwanza hawajui ni nn zari wala mobeto
 
Hili jambo umelifanya kuwa la kitaifa wakati wanashabikia ukute hawafiki hata buku.
 
blindspot naomba nikuulize, upewe choice kati ya Zari a businesswoman na Hamisa asiyejitambua bado, utachagua nani kati yao? 99% ya wanaume wanaojitambua LAZIMA wataoa mwanamke anayejitambua na mwenye uwezo na si kiruka njia au mdandia lift.
nani kakwambia Hamisa ajitambui. Hamisa ana miaka 26 unamfananisha na mtu ana miaka 38 ..hata hamisa akifika hizo miaka anaweza kua na maendeleo..Zari siyo self made..unachokiona ni mali za mumewe tu. Hamisa ana biashara zake bado ni movie actor soon Mungu na yeye atamjalia. Binafsi ntamchagua Hamisa..
 
Back
Top Bottom