Ushamba na Ulimbukeni wa watanzania kuhusu Zari na Hamisa Mobetto

Ushamba na Ulimbukeni wa watanzania kuhusu Zari na Hamisa Mobetto

nani kakwambia Hamisa ajitambui. Hamisa ana miaka 26 unamfananisha na mtu ana miaka 38 ..hata hamisa akifika hizo miaka anaweza kua na maendeleo..Zari siyo self made..unachokiona ni mali za mumewe tu. Hamisa ana biashara zake bado ni movie actor soon Mungu na yeye atamjalia. Binafsi ntamchagua Hamisa..

We mzima kweli. Hamisa kasomea nini. Mfano gani anaweza kumpa Binti Wa Leo. UMBEYA hautawaacha Wtz salama. Mtu anadanga wewe unamletea uzi hapa. Eti Movie actor. Simshabikii hata huyo Zari.
 
Ha haaaa haaaa hili povu noma sana!

Ungejifungia ndani ilieeeee upunguze hasira au kunywa maji!
 
nani kakwambia Hamisa ajitambui. Hamisa ana miaka 26 unamfananisha na mtu ana miaka 38 ..hata hamisa akifika hizo miaka anaweza kua na maendeleo..Zari siyo self made..unachokiona ni mali za mumewe tu. Hamisa ana biashara zake bado ni movie actor soon Mungu na yeye atamjalia. Binafsi ntamchagua Hamisa..
Hamisa ana miaka 26? Mbona post yako inasema hajafika hata miaka 25..
 
mtoa post wee sio kabisa. hamisa anaishi kwa kumtegemea D, zari ni tajiri toka hajaktana na D. hategemei kabisa push kutoka kwa D, zari ni mke halali wa D ila hamisa ni kibaka flani tu alidandia kwenye tuta, zari akaona aache kujisumbua na mapenzi ya kiswahili aachane nayo, D akapima na kupimua akaangalia ni wapi anapendwa na anapewa mapenzi ya kweli akalazia mzani huko. zari is a wife material woman sema anakutana na wanaume ambao sio wastarabu anzia yule wa kwanza na huyu dogo janja. tatizo la baba T anasakwa sana na vidosho kila upande hivyo kuepuka hiki kishawishi kwa mwanaume yeyote ni vigumu kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, hata kama ningekuwa mm ningewacharaza mpaka waombe po. maana wanakuja tu hawaangalii
 
Lkn ukiangalia asilimia kubwa ya wanaoshabikia ujinga huo ni vijana Wa DSM ambao kila uchwao wanagombaniana remote za TV na Dada zao wakitoka hapo hugombaniana dressing table na Dada zao.. Yaan hovyo kabisa.
Huwezi kukuta kujana Wa korimije, au ileje anazungumzia mambo ya zari kwanza hawajui ni nn zari wala mobeto


Achana na habari za kukariri. Vijana wa Dar wanajua kupiga mishe kuliko hao mambuyagi wa Kolomije. Kama wewe sio wa kutoka hapa town huwezi kulitambua hili kwa hiyo kaa huko huko kwenu
 
nani kakwambia Hamisa ajitambui. Hamisa ana miaka 26 unamfananisha na mtu ana miaka 38 ..hata hamisa akifika hizo miaka anaweza kua na maendeleo..Zari siyo self made..unachokiona ni mali za mumewe tu. Hamisa ana biashara zake bado ni movie actor soon Mungu na yeye atamjalia. Binafsi ntamchagua Hamisa..


Yes naelewa Hamisa ana genge kule Mbagala na anauza mkaa pembeni ya nyumba ya Mama yake. Hamisa hajitambui na ndiyo maana mchafu mpaka Mama Diamond hamtaki, wewe demu mwenye miaka 26 anashindwa kujisafisha sehemu za siri na kupiga mswaki? Licha ya hayo, Hamisa bado anajikojolea kitandani mpaka leo hii na ndiyo maana Majizo alimuacha.
 
Unaweza kuta muanzisha uzi huu ni kijana wa kiume, ntasikitika sana
 
nani kakwambia Hamisa ajitambui. Hamisa ana miaka 26 unamfananisha na mtu ana miaka 38 ..hata hamisa akifika hizo miaka anaweza kua na maendeleo..Zari siyo self made..unachokiona ni mali za mumewe tu. Hamisa ana biashara zake bado ni movie actor soon Mungu na yeye atamjalia. Binafsi ntamchagua Hamisa..
Kama wewe sio ‘Hamisa’ mwenyewe, basi utakuwa una ukaribu mno na huyo Hamisa. Umeandika kwa hisia mno asee.
Lakini kwa nini utake kuwapangia Watanzania upande wa kushabikia?! Labda hawavutiwi na huyo ‘Hamisa’ wako?! na kwanini ulazimishe kupendwa na Watanzania wote? wakati anachezeshewa ‘Mkuyenge’ huko mbona huhitaji msaada wa Watanzania?
We Pambana na Hali yako tu,Mwana kulitaka,Mwana Kulipewa.
 
Watanzania wengi washamba sana.. Baba Nyerere angefufuka leo nadhani angewatia mboko asilimia 80 ya watanzania wote kwa akili zenu zilizojaa upupu. Mzee nyerere hakuacha taifa la majitu majinga hivi. Leo watanzania wamekuwa watu wa kumthamini mgeni kuliko mtanzania mwenzao. Au hutotuvingereza mkimsikia huyo zari basi mnashoboka ebu usee nyinyi. Unamtukana bint wa watu kosa lake nini. Diamond yupo na zari amekwenda kutembea na huyo Hamisa, Kosa la Hamisa ni nini.. Kutembea na Diamond au. Acheni ulimbukeni nyinyi,. Eti timu Zari..hamna za kufanya nyinyi.

Huyu binti Hamisa bado mdogo sana hana hata 25..Kila siku mnamtukana kisa huyo bibi wa Kiganda. Eti timu Zari badala muwe timu kilimo au timu biashara..mnakaa siku nzima mnashinda kwenye mitandao badala ya kufanya Kazi. Taifa la watu wambeya na usengenyaji. Mnatukana binti wa watu eti kaingilia mapenzi. Diamond i support mziki wako..lakini drama zako unafanya huyu Binti anatukanwa sana, Kumbuka unamtoto naye..sidhan km mtoto atafurahi akikuwa Mkubwa aone jinsi Mama yake alivyokuwa anatukanwa kisa wewe. Sikuchagulii mtu wa kumuoa but udhalilishaji huu kwa Hamisa uliusababisha interview yako ya Clouds fm.

Eti Hamisa malaya..nani siyo malaya Tanzania..huyo Zari kwani siyo malaya..si mdangaji tu.. ..Eti Zari ana pesa sana Tununu hana pesa..Pesa za Zari zinakuhusu..Acheni usee nyinyi. Na hii Tabia kubwa ya Midada ya kitanzania hata ikiwa nje ya Nchi kushoboka na wageni..ushamba mzigo sana.

Watanzania nawasihi sana acheni kushoboka na wageni, wapambane mastar wenu, Zari hana mashabiki sehemu yeyote zaidi ya Tz. Kabinti kadogo mnakachukia kwa ulimbukeni tu. Mishamba na miseee sana nyie.

Mdogo wangu wewe ni mzuri sana unayofanyiwa Mungu anaona. Nakushauri move on na endelea kuwa strong. Matusi ya watz yasikuondoe kwenye malengo yako. Diamond we msanii Mkubwa acha drama za kipuuzi.


Wewe ni part of the problem...umeishia kumsifia huyo mobeto...kumbe wewe nae ni team what the fvk!
 
Achana na habari za kukariri. Vijana wa Dar wanajua kupiga mishe kuliko hao mambuyagi wa Kolomije. Kama wewe sio wa kutoka hapa town huwezi kulitambua hili kwa hiyo kaa huko huko kwenu
Tulia ww hivi utajiita unaakili kweli .wanaume mzima unaanza kumchambua mwanamke tena binti mdogo mbaya zaidi huyo mwanamke hakuhusu hivi kama wewe sio mshinda kwenye dressing table na Dada zenu?? Badliken bana mambo ya kike achaneni nayo
 
Wabongo tunashoboka na watu nje mno mondi angezaa na mdada wa nje ya Tanzania isingekua ishu
 
Yes naelewa Hamisa ana genge kule Mbagala na anauza mkaa pembeni ya nyumba ya Mama yake. Hamisa hajitambui na ndiyo maana mchafu mpaka Mama Diamond hamtaki, wewe demu mwenye miaka 26 anashindwa kujisafisha sehemu za siri na kupiga mswaki? Licha ya hayo, Hamisa bado anajikojolea kitandani mpaka leo hii na ndiyo maana Majizo alimuacha.
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji6][emoji16][emoji16]yaani wewe unaonekana kabisaa hujielewi kaah!
 
Tulia ww hivi utajiita unaakili kweli .wanaume mzima unaanza kumchambua mwanamke tena binti mdogo mbaya zaidi huyo mwanamke hakuhusu hivi kama wewe sio mshinda kwenye dressing table na Dada zenu?? Badliken bana mambo ya kike achaneni nayo


Ndio maana nasema umekariri. Way back wakati niko teen navuka mipaka ya nchi kwenda ughaibuni kutafuta maisha, na huko nakutana na vijana wote under 25 wametokea Dar, labda wengine wachache wametokea Tanga. Ndio ujue vijana wa Dar sio watu wa kuuweka. Nimekupa mfano tu, Dar es salaam haipo Instagram mkuu, ni real life ambayo watu kama wewe mkulima wa viazi lazima uone maruweruwe.
 
Ndio maana nasema umekariri. Way back wakati niko teen navuka mipaka ya nchi kwenda ughaibuni kutafuta maisha, na huko nakutana na vijana wote under 25 wametokea Dar, labda wengine wachache wametokea Tanga. Ndio ujue vijana wa Dar sio watu wa kuuweka. Nimekupa mfano tu, Dar es salaam haipo Instagram mkuu, ni real life ambayo watu kama wewe mkulima wa viazi lazima uone maruweruwe.
Kwenda nje ya nchi sio shida unaweza kwenda nje ya nchi kwa kutaniwa kila kitu na ukfika huko bado ukawa muosha vyupi vya wazee..
Endeleen kushabikia mambo ya kike..

Huko nje hata jamaa zangu wako huko wanaogopa kurudi Tz wanaona aibu waliotuacha kipind hicho mitaan lakn sasa hivi tunauwezo Wa kuwaajili..
Mtu mwenye kazi maalumu hawezi kushupalia mambo ya kina hamisa sijui zari hayo mambo tumewaachia Dada zetu ila kwakuwa nyinyi ni sample yao basi hakuna namna
 
mm siwezi mfananisha hamisa na zari, ndo maana zari alidharau akajiondokea zake south, zari pamoja na umri mkubwa kwa hamisa still zari ni mzuri ja mschana kuliko hamisa. yule mwanamke hazeeki sababu yupo bize kumantain mwonekano wake. pia sio used kama watoto wa kibongo kutwa kucha kumlazimisha mapenzi baba T. zari alifuatwa na baba T, still kamshit baba T na baba T kaenda kumbembeleza zari, Ila hamisa pamoja na kujipelekapeleka kwa familia ya baba T amechezea mbata.
 
Kwenda nje ya nchi sio shida unaweza kwenda nje ya nchi kwa kutaniwa kila kitu na ukfika huko bado ukawa muosha vyupi vya wazee..
Endeleen kushabikia mambo ya kike..

Huko nje hata jamaa zangu wako huko wanaogopa kurudi Tz wanaona aibu waliotuacha kipind hicho mitaan lakn sasa hivi tunauwezo Wa kuwaajili..
Mtu mwenye kazi maalumu hawezi kushupalia mambo ya kina hamisa sijui zari hayo mambo tumewaachia Dada zetu ila kwakuwa nyinyi ni sample yao basi hakuna namna


Kama wewe ushabikii haya mambo uliingije hapa na tittle hapo juu imeeleza kila kitu. Anyway, nilikupa mfano watu wa Dar fani zao ni kusafiri au kupiga dili za pesa kwasababu hakuna mashamba ya viazi. Hiyo Instagram au Facebook sio Dar, acha jealous na Jiji, we kaa huko huko Impandelavua.
 
Back
Top Bottom