Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Machoni kwa watu anajifanya msela, wakati alikuwa ombaomba kwa Damon dashHawana uhusiano washkaji tu wamekua pamoja
Ova
wote ndio walikuwa South sio?Hawana uhusiano washkaji tu wamekua pamoja
Ova
77 dash ndo anampa jeuri....Ila ni mabishoo tu...!!Huyu dogo usela,unyamwezi au
Ila ninachojua alivyolelewa tu lbda
Ila ana sifa za kijinga alafu yule mtu
Mrefu ndiyo aliwapa jeuri
Mimi alipotoka ndani nlijua atajirekebisha
Kumbe ndiyo kwanza bado
Ova
Ukijibiwa unitag...Kwani alibakwa?
Huo mdomo wakwako peke yako au umeunganishwa na wa hamorapaHivi Amber Luli useme naye ni mke kabisa[emoji23][emoji23]
Huyu namjua mama yk huyu dogo anakuwa namuona,ana usela wa kuiga au ni sawa wale waliyoathiriwa na movie za kiniga za mbelewote ndio walikuwa South sio?
Najua watakuwa wanakuelewa mzeebaba dar yote yako
Anampakazia huyo dogo alipotoka jela77 dash ndo anampa jeuri....Ila ni mabishoo tu...!!
Sema Nyandu Kama anampotezea tu anamuona dogo hajakua kiakili...
Lakini tofauti na nyandu anaonekana saivi katulia sio kama bosheniHuyu namjua mama yk huyu dogo anakuwa namuona,ana usela wa kuiga au ni sawa wale waliyoathiriwa na movie za kiniga za mbele
Ova
Nyandu sasa hivi simsikii tena na uhuni inaonekana katulia sana si naskia ameoa jamaa katulia77 dash ndo anampa jeuri....Ila ni mabishoo tu...!!
Sema Nyandu Kama anampotezea tu anamuona dogo hajakua kiakili...
Huyu mama yake malezi aliyomlea kamdekeza sana...Machoni kwa watu anajifanya msela, wakati alikuwa ombaomba kwa Damon dash
Msela wa kweli hawezi kuombaomba, dogo huwa namdharau Sana.
Kingine kilichompa jeuri ni mama yake kuwa punda, basi walijionaga kino yote yao
Madogo Fulani Wala ngada na wasukuma "danga" kwa wote wanao sniff na smoke.B0B - Botion - 26 Masela Nya tu.
Watoto hawa wanakuwa tunawaonaLakini tofauti na nyandu anaonekana saivi katulia sio kama bosheni
Mkuu huwa unauwa unapojipigilia yaani dar kwa kweli chochoro zote unazo
Watoto hawa wanakuwa tunawaona
Wenyewe wanatutambua,mafile yetu ya zamani wanayajua
Kuna mdg wangu mwingine naye naskia anahangaika na jike shupa watoto wana kazi sana hawa
Ova
Mrangi Ni born town mtoto wa mjini .Lakini tofauti na nyandu anaonekana saivi katulia sio kama bosheni
Mkuu huwa unauwa unapojipigilia yaani dar kwa kweli chochoro zote unazo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watoto hawa wanakuwa tunawaona
Wenyewe wanatutambua,mafile yetu ya zamani wanayajua
Kuna mdg wangu mwingine naye naskia anahangaika na jike shupa watoto wana kazi sana hawa
Ova
Kweli tukitakaga kujua mafile ya watu wa dar tunamcheki mrangiMrangi Ni born town mtoto wa mjini .
Watu wa.chato mtulie[emoji1787]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hahaha usijilaumu Kuna watu tupo mpitimbi songea huku mkisimulia hayo ya kwa KUNENGE na ss tunajiona wa mjini
Mrangi ni dar assistant AI.
Hivi mrangi huyu nyandu to s yule dogo HAMIDU auWatoto hawa wanakuwa tunawaona
Wenyewe wanatutambua,mafile yetu ya zamani wanayajua
Kuna mdg wangu mwingine naye naskia anahangaika na jike shupa watoto wana kazi sana hawa
Ova