Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Huyu dogo usela,unyamwezi au
Ila ninachojua alivyolelewa tu lbda
Ila ana sifa za kijinga alafu yule mtu
Mrefu ndiyo aliwapa jeuri
Mimi alipotoka ndani nlijua atajirekebisha
Kumbe ndiyo kwanza bado

Ova
77 dash ndo anampa jeuri....Ila ni mabishoo tu...!!

Sema Nyandu Kama anampotezea tu anamuona dogo hajakua kiakili...
 
77 dash ndo anampa jeuri....Ila ni mabishoo tu...!!

Sema Nyandu Kama anampotezea tu anamuona dogo hajakua kiakili...
Anampakazia huyo dogo alipotoka jela
Alitakiwa ajitafakari lkn naona bado anapenda maisha ya sinema

Ova
 
Huyu namjua mama yk huyu dogo anakuwa namuona,ana usela wa kuiga au ni sawa wale waliyoathiriwa na movie za kiniga za mbele

Ova
Lakini tofauti na nyandu anaonekana saivi katulia sio kama bosheni

Mkuu huwa unauwa unapojipigilia yaani dar kwa kweli chochoro zote unazo
 
77 dash ndo anampa jeuri....Ila ni mabishoo tu...!!

Sema Nyandu Kama anampotezea tu anamuona dogo hajakua kiakili...
Nyandu sasa hivi simsikii tena na uhuni inaonekana katulia sana si naskia ameoa jamaa katulia
 
Machoni kwa watu anajifanya msela, wakati alikuwa ombaomba kwa Damon dash
Msela wa kweli hawezi kuombaomba, dogo huwa namdharau Sana.
Kingine kilichompa jeuri ni mama yake kuwa punda, basi walijionaga kino yote yao
Huyu mama yake malezi aliyomlea kamdekeza sana...
Mama yake namjua vzr sana nanilishawahi
Kumkanya anavyo mtreat mtoto
Damn dsh chch yeye anapenda kuzungukwa
Na mdg kama hawa,ye ndy anawapa jeuri

Ova
 
Lakini tofauti na nyandu anaonekana saivi katulia sio kama bosheni

Mkuu huwa unauwa unapojipigilia yaani dar kwa kweli chochoro zote unazo
Watoto hawa wanakuwa tunawaona
Wenyewe wanatutambua,mafile yetu ya zamani wanayajua
Kuna mdg wangu mwingine naye naskia anahangaika na jike shupa watoto wana kazi sana hawa

Ova
 
Watoto hawa wanakuwa tunawaona
Wenyewe wanatutambua,mafile yetu ya zamani wanayajua
Kuna mdg wangu mwingine naye naskia anahangaika na jike shupa watoto wana kazi sana hawa

Ova
Hivi mrangi huyu nyandu to s yule dogo HAMIDU au

Maana nayeye ashawah kuwa punda Sana na bro angu mmoja sahiz yeye n mteja mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…